Angel Benard aolewa mara ya pili

Angel Benard aolewa mara ya pili

Mmh binamu kwani anateseka na ndoa yake? Naamini hata wao Wana ups and downs kama sisi tu; ila suala la kusema anateseka kwenye ndoa; nafikiri wengi wetu hapa hatuna uhakika nalo. Fact that alipambana hadi yeye akawa mshindi, haimaanishi anateseka sasa hivi. Sio Kila mtu anapata ndoa smoothly, especially kwenye ndoa ambazo zimebeba "purpose" kubwa kama Ile ya kina Rose. Sio rahisi utoke tu from nowhere na ukamlazimisha mtu akuoe; hadi anakubali kukuoa it means kuna sababu ameipata ya yeye kukuoa. As a matter of fact; as Christians hatuoani tu kwa sababu ya upendo ambao leo unaweza ukawepo na kesho ukapungua; tunaoa kwa sababu ya "kusudi" ambalo Mungu ameweka kati yetu.

Plus we learn to grow in love. Unaweza ukamuoa mtu kwa sanabu ana mimba yako tu, ila huko mbeleni ukaona daah kumbe huyu anafaa kuwa mke kweli, so ukakaa ukatulia kwelikweli. Na wapo wanaoana kwa upendo tu, ila ndani wanaishi kwa majuto

Kuhusu kumlinda mumewe; nafikiri ni wajibu wa kila mume/mke kumlinda mwenza wake physically na spiritually. Sisi tu ambao waume zetu hawajulikani; tunawalinda kwelikweli; sembuse kwa Shaboka mwenye influence yake na anakutana na wanawake wa Kila aina daily? Hivi mnawajua mabinti wa kilokole walivyojaa mitego na hizo "daddy this, daddy that"?
Hahaha, nimechekaa..utasikia yessss daddy Nicky yessss!...jamaani kazi wanayo mama wachungaji
 
Napiga picha utakuwa mtoto wa Nani
Au unanichora wewe [emoji23]
Mzee wangu mkubwa bado anafanya pale,licha ya kustaafu kitambo
No my dad got a higher government position na tukaondoka pale kabisa

Ila mimi napajua sababu babu na bibi they were still there so tulkua tunaenda kusalimia Isongole
 
Hivi Bina
Huyu dada kwani naye ana matatizo kwenye ndoa yake?

Clip yake moja niliona anasema bedroom siyo mahali pa maombi
Ni mahala pa kushughulikia,
Akasema yeye ni mchungaji kanisani,akiwa nyumbani ni mke,anashughulika bedroom.
Si Ndo wanasema Huko juu kua mwanaume wake macho juu,na dada mpk alikua anapigana na watu kisa mme
Ni jukumu lake pia kufundisha watu namna ya kuishi vzr ndoani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yaani hata mm huwa najiuliza, kwanini aisiongee tu kawaida?
Akiongea taratibu tu ana sauti bomba,na Ile lafudhi yake ya kaskazini basi sauti inakuwa nzuri..


Ila sasa anatumia nguvu kuongea sauti ya kumwaruza kama anafoka hivi,
Ile sauti ya mikwaruzo inaumiza masikio ,,, Kuna muda nikiona mtu anapayuka sana nahisi koo langu linaumia.


Mwakaseghe anaongeaga kawaida tu na watu wanamuelewa sana,wansfurika kwenye mikutano yake


Sasa Hawa wapentecoste wengi wanaona bila kupayuka ni kama hawajahubiri.
Mwakasege ni wa pekee binamu
Yaani yule baba siku nikiskia ana makando kando daahhhh
Yuko vzr mnoo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli
Kusikiliza mikwaruzo ile anayotumia nguvu zote kooni[emoji38]
Ukitoka hapo unaumwa kichwa.

Kama anasoma hapa abadilike aisee,,sauti ya kupayuka inaboa..
Aongee tu sauti yake ya kawaida ataeleweka .
Sauti inakoroma ka imekwaruzwa na kisude Cha coca-cola hata hainogi Wala nini
 
Mmh binamu kwani anateseka na ndoa yake? Naamini hata wao Wana ups and downs kama sisi tu; ila suala la kusema anateseka kwenye ndoa; nafikiri wengi wetu hapa hatuna uhakika nalo. Fact that alipambana hadi yeye akawa mshindi, haimaanishi anateseka sasa hivi. Sio Kila mtu anapata ndoa smoothly, especially kwenye ndoa ambazo zimebeba "purpose" kubwa kama Ile ya kina Rose. Sio rahisi utoke tu from nowhere na ukamlazimisha mtu akuoe; hadi anakubali kukuoa it means kuna sababu ameipata ya yeye kukuoa. As a matter of fact; as Christians hatuoani tu kwa sababu ya upendo ambao leo unaweza ukawepo na kesho ukapungua; tunaoa kwa sababu ya "kusudi" ambalo Mungu ameweka kati yetu.

Plus we learn to grow in love. Unaweza ukamuoa mtu kwa sanabu ana mimba yako tu, ila huko mbeleni ukaona daah kumbe huyu anafaa kuwa mke kweli, so ukakaa ukatulia kwelikweli. Na wapo wanaoana kwa upendo tu, ila ndani wanaishi kwa majuto

Kuhusu kumlinda mumewe; nafikiri ni wajibu wa kila mume/mke kumlinda mwenza wake physically na spiritually. Sisi tu ambao waume zetu hawajulikani; tunawalinda kwelikweli; sembuse kwa Shaboka mwenye influence yake na anakutana na wanawake wa Kila aina daily? Hivi mnawajua mabinti wa kilokole walivyojaa mitego na hizo "daddy this, daddy that"?
Nimekuelewa binamu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Amon nae kaoa juzi juzi ,Amon yupo Tanzania .
Ila safari hii Amon kachagua wa kufanana naye yaani ni Aneth Mushi kafiti haswaa. Upendo alikuwa shotii halafu kibonge 😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230506-155229.png
    Screenshot_20230506-155229.png
    187.1 KB · Views: 23
Back
Top Bottom