Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Jana nimemuona kwenye habari ITV kapewa kitu kama Uenyekiti wa kamati ya kushughulikia maswala ya usawa wa jinsi na wazee.
 
Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Huyu hapa.
1652413279948.png
 
Nawaza mumewe huyu Mama kapitia misukosuko mingi sana ya ndoa tangu alipomuoa huyu Mama enzi zao wakiwa vijana.
Mi naamini mume wa huyu mama kama ni mkristo basi ka surrender mbele ya Mungu ili Roho yake iwe salama.
Na yawezekana wanaishi ili kulea watoto tu na sio kama Mume na mke ktk ndoa km watu wawaonavyo.
Kuishi na mwanamke anayemvutia kila mwanaume,maskini na wenye fedha,mpk Ma Rais inahitaji mwanaume uwe zuzu total,
La sivyo utakufa kifo cha kukatishwa na watu wala sio kifo cha Mungu.

Vyumba vya wana ndoa vina siri nyingi sana.
 
Kisa kinakumbusha Habari ya Mfalme Daudi na mke wa mtu (Huria).

Mfalme Daudi aliagiza jamaa akapangwe mstari wa mbele vitani ili auwawe ili amle mkewe Kwa nafasi [emoji848][emoji848]

Na ikawa hivyo!

Na akazaliwa Mfalme Suleiman!

Nahisi ilikua baada ya Mchepuko kupata mimba, Daudi alimuita mumewe arudi toka vitani kwa makusudi ili aje alale na mkewe wapate kisingizio kua mimba ni ya jamaa na si Daudi. Jamaa akachomoa kurudi hadi bita iishe, mjuba Daudi akatoa amri jamaa apangwe mstari wa mbele ili afe na ajihalalishie mke kisa ni mjane sasa..anamstiri.
 
MaCCM na matendo ya hovyo, hawataenda mbinguni. karudisha shombo kwa mumewe na mtoto wa kirundi juu, na maisha yanaendelea.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

kama mbowe nasikia mtoto wa nyerere
 
lakini mbowe anawatafuna sana wanawake wa chadema awe mbunge au mwanachama
 
Hivi humu ndani mbona mna mambo sana??...... Mmekuwa km vifadada vya kizaramooo? .....pwiiiii! Siwawezi mwenzangu!!! khaaa!!!
Uki..
 
Back
Top Bottom