COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Sawa we sio yatima kwakuwa umevuka umri wa miaka 18Nilizaliwa enzi ya Ben πββοΈπββοΈπββοΈ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa we sio yatima kwakuwa umevuka umri wa miaka 18Nilizaliwa enzi ya Ben πββοΈπββοΈπββοΈ
Ina maana mtoto wa Tunda anaishi kwa Wema?Daah mfano mzuri sana!maana yeye mashoga,wavuta bangi na Malaya wooote mjini geto lao ni nyumbani Kwa Wema,maskini kale katoto ka Tunda kazi kanayo[emoji16]
Mkuuu we tayari ni mhenga mhenguziNilizaliwa enzi ya Ben πββοΈπββοΈπββοΈ
Alimtia tu kisha akamtelekeza. malaya anaridhika na pisi moja toka lini? Alimsaidia tu akaenda kupiga kazi uarabuni.kwa hyo ndgu yako alimuoa au aliacha pisi ikasepa ethiopia
Lgbtq+ nenda ulaya ukaoe mwanamke mwenzio.Ndo mnachowazaga wabongo, mxxxiiieeew
Umaskini unawapeleka pabayaa, Lol
Kitambo na sikua na mawaaa naye.Tupe namba ya uyo bint
ila waethiopia wote wanafanana kama warwandaaa
Huyo alitelekeza mtoto kwa bibi sio kumtoa.Na tatizo ni uvivu.Maskini wanajulikana.na mtoto hana ugomvi na mzazi.watu wanajadili kitendo cha huyo mama kuibuka sasa baada ya mtoto kukua wakati taarifa zilizotolewa kwa jokie zilikua tofauti.Naona nyote mnafunga akili zenu. Twende taratibu. Huoni kitendo cha kumtoa mtoto wake akaasiliwe kilikuwa cha kumtakia mema mtoto wake? Si ajabu kama angalimg'ang'ania angelikufa kutokana na umaskini? Nyie vipi!
Sidhani,ila mara nyingi yupo na baba yake na WemaIna maana mtoto wa Tunda anaishi kwa Wema?
Hao WA chuo wameamuaje?Mkuu kwa wabongo tunafanya au tuliwahi fanya hiyo mambo lakini kwakweli wabongo ni tatizo.
Mimi niliwahi kuasili watoto 3 wawili walikuwa ndugu na mmoja ni wa familia nyingine
Tatizo lilikuja pale wale wawili walipo fika chuo kikuu wana boom akijitokeza mtu kuwa ni mzazi wao na mambo kibaaao!
Nilipata usumbufu wa kila aina ikabidi niache watoto waamue kwasababu tayari ni wakubwa.
Akabaki 1 ambae sasa yupo kidato 4 huyu nae mlezi wake akaanza longolongo kwakuwa sipendi vyesi nikamburuza Ustawi wa jamii kwasababu sikumchukua mtoto kienyeji. Akasalim amri amuache mtoto asome Mtoto ataamua pa kwenda akifikisha miaka 18.
Kuasili watoto wa watu wasiojielewa ni mtihani.
Ukitaka kuasili nenda kaasili kutoka vituo vya watoto yatima tofauti na hapo fanya shughuli nyingine za kusaidia wasiojiweza. Lakini usiali mtoto mwenye wazazi hatakama hajiwezi kupindukia.
Wapo kielimu zaidi lakini kibinaadamu nimewashuri kuwa wawapo na chochote wamsaidie ila wakimaliza chuo tufanye DNA kubaini uhalali wa kuwa ni mzazi wao.Hao WA chuo wameamuaje?
Pole sana
Hiyo ina mgogoro we nenda tu pale Turkana utawapata wengiiiiiNaomba mwenye namba za Huyo Angelina anipe naitaka hiyo pisi ya Kiethiopia
Ewaaah! Kwenye hii sekta ya mapicha ya warembo haujawahi kutuangusha Mideko
angemuoa tu aisee hao waabeshi wakiamua kutulia huwa wanatulia kwel, na angemzalia watoto wazuri kwel kwel, halafu wako vzuri kichwani naturally sema tu umaskini ndo kipengele.Alimtia tu kisha akamtelekeza. malaya anaridhika na pisi moja toka lini? Alimsaidia tu akaenda kupiga kazi uarabuni.
Hata ungekuwa wewe ungeibuka! Hivi hapa Tanzania hakuna akinamama wanaoafiki mabinti wakapigwe Miti huko ili mradi waje na mboga nyumbani?Huyo alitelekeza mtoto kwa bibi sio kumtoa.Na tatizo ni uvivu.Maskini wanajulikana.na mtoto hana ugomvi na mzazi.watu wanajadili kitendo cha huyo mama kuibuka sasa baada ya mtoto kukua wakati taarifa zilizotolewa kwa jokie zilikua tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan ukishakua mtoto wa Angelina,unakua na maokoto?..Mtoto kama ana maokoto amsaidie tu mama yake japo kuna uongo ulifanywa na kituo kilichokuwa kinamlea kwa angelina, na sidhani kama angelina atamkataza mtoto kumsaidia biological mother wake au kuwasiliana naye, japo kiukweli mtoto kwa sasa ni wa angelina.
Angalizo, huyo mama asije tu akaanza zile tamaa za kiafrica kumtaka mtoto kisa kaona anaweza kuponeapo
Ila mtoto kawa pisi aisee