Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Kwenye chapaa atajitokeza, ngozi nyeusi hatujawai kufail kwenye maokoto 🤣🤣🤣Hahahahah huyo hayupo si alibaka akatembea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye chapaa atajitokeza, ngozi nyeusi hatujawai kufail kwenye maokoto 🤣🤣🤣Hahahahah huyo hayupo si alibaka akatembea
Eeh hana jeuri hio mkuuKwenye chapaa atajitokeza, ngozi nyeusi hatujawai kufail kwenye maokoto 🤣🤣🤣
Subiri na uone huyo mama apate kivuli, mwamba atakavyoibuka 😂😂😂Eeh hana jeuri hio mkuu
Hizo nazo ni mbinu za kulea. Kuliko angemuua. Mbona hii mbinu ni watu wengi wanafanya hivyo. Mfano India etc. Kuliko kubanana na mtoto ambaye hutakuwa na uhakika wa kumtunza, bora apelewe akalelewe huko. Hapo unaangalia uhai wa mtoto. Uhai wa mtoto unapewa kipaumbele.Yeye alimtelekeza mtoto, mtoto alichukuliwa kituo cha watoto yatima
Hahahah baba lazma apate nayeyeSubiri na uone huyo mama apate kivuli, mwamba atakavyoibuka 😂😂😂
Waafrika njaa na upwiru vinatufanya tuonekane umeme mdogo vichwani 😂😂😂Hahahah baba lazma apate nayeye
Waafrika njaa na upwiru vinatufanya tuonekane umeme mdogo vichwani 😂😂😂
Yote ulivyo taja ni hisia.Inaonesha bado wewe una akili za kitoto. Ubinadamu ni tofauti na makaratasi. Mtoto kimakaratasi ataitwa wa Angelina ila yeye atajua nilipita katika K ya muethiopia. Kitendo cha kukaa naye tumboni kwa miezi 9 ni cha muhimu maana kama asingetaka angeaboti. Ujue. Damu nzito kuliko maji bwashee
Shida inaanza pale ambapo pisi inataka ui adopt huku mwamba nae anataka awe adopted!Waafrika njaa na upwiru vinatufanya tuonekane umeme mdogo vichwani 😂😂😂
😂😂😂 mwamba nae anataka slopeShida inaanza pale ambapo pisi inataka ui adopt huku mwamba nae anataka awe adopted!
Tulia basi mtoto mzuri... Hii imeenda!!!Cazee umetukana 😂😂😂
😂😂😂😂😂mkuuuuu huwa hatu adop wahenga😍😍😍 Uko wapi uniadopt mkuu, hakuna wa kukusumbua ilo nakuhakikishia
Lakini na me yatima mkuu 😂😂😂Mkuu
😂😂😂😂😂mkuuuuu huwa hatu adop wahenga
😂😂😂😂😂una umri gani mkuu nikutafutie wa kuku adoptLakini na me yatima mkuu 😂😂😂
Nilizaliwa enzi ya Ben 🏃♀️🏃♀️🏃♀️😂😂😂😂😂una umri gani mkuu nikutafutie wa kuku adopt
Halafu ni mume wa mtu huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo Cuzoo...
Sasa hivi Anamuita Mond Daddy na Zuch ni Mumy[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii Dunia ni ngumu sana Wallah...
SanaAyseeee
Umasikini mbaya sana
Huyo mama tatizo sio umaskini ni uvivu.Ingekua ni umaskini angekua ameshakufa njaa au kachakaa kabisa.Huyo itakua alitelekeza mtoto akale maisha au kuna muhuni alimdanganya sasa maisha yamemgonga akakumbuka ana mtaji wa mtoto ulaya.Ata uku bongo ipo hiyo.wako wanawake wanakimbiaga na watoto kwa kiburi maisha yakimgonga ndo anajirudisha nakutafuta ubaya wa mwanaume uku akitegemea kuishi kwa mgongo wa mtoto.