granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
kwa hyo ndgu yako alimuoa au aliacha pisi ikasepa ethiopiaUmaskini hauna adabu kiranga. Mimi simlaumu mama yake kwa kumtelekeza kwa bibi.
Na Ethiopia kuna dhiki kali hakuna mfano.
Nimekumbuka kuna binti wa kihabeshi alikua mzuri mithili ya ajabu..alikua anabembeleza aolewe na ndugu yangu apate kubaki bongo akimbie dhiki za kwao. Noma sana haya maisha.
🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu aingilie kati[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sielewi tunakoelekea Cuzo.....Siyo salama kabisa.
Hawezi kula muhogo yule Zahara,, imagine being a daughter of Angelina jolie and Brad Pitt what a blessing!huyo mama ajitulize tuAmekulia maisha ya bata toka anajitambua.
Halafu arudi kwenye mihogo.. hata ningekuwa mimi.
Afanye kumsaidia mama yake atoke kwenye dimbwi la umasikini, na si yeye tena kurudi kwenye umasikini.
Na mama ametegeshea hadi amekuaHawezi kula muhogo yule Zahara,, imagine being a daughter of Angelina jolie and Brad Pitt what a blessing!huyo mama ajitulize tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila sis Una nn wee lakini??
Umechachuka siku hizi weyee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
At leastAngelina Jolie aliadopt mtoto wa kwanza wa kiume nchini Cambodia, akaja kuadopt mwengine wa kiume nchini Vietnam, akaja kuadopt mtoto mwengine wa kike nchini Ethiopia, hakua peke yake kwenye safari hiyo alikua na aliyekua mumewe Brad Pitt waliadopt wote,
Kwa mtoto wa Ethiopia jina lake Zahara, Angelina alimkuta kituo cha kulea watoto yatima akiwa ana miezi 7 tu, wahusika wa kituo wakamwambia mtoto yule ni yatima wazazi wake walifariki kwa virusi vya Ukimwi, huruma ilimjaa Jolie na kuamua kumchukua kwa taratibu zote stahiki,
Ukweli ukaja kujulikana miaka mitatu baadae, mama mzazi wa Zahara alikua hai, ni binti aliyepata ujauzito kwa kubakwa, huku akiishi na bibi yake na mjomba wake wakiwa katika maisha ya ufukara, baada ya kumzaa Zahara hali ilizidi kua mbaya, Mama Zahara akatoroka nyumbani na kumuachia mtoto bibi yake, bibi nae kwa hofu ya kumkosa mtoto kutokana na lishe duni akampeleka kituo cha kulea watoto yatima na kuomba msaada wampokee mtoto, atakufa kwa njaa,
Mama mtoto alichokiomba ni kuongea na mwanae hata kwa njia ya simu, kumjulisha kua ana familia Ethiopia na mama yake hajafa pia anampenda sana.
Wala hakutaka kumchukua ampeleke wapi na umaskini bado umemtawala.
Bado hamjasema na nasikia hata baba yake aliyembaka mama yake nae anataka mwanae hukoHawezi kula muhogo yule Zahara,, imagine being a daughter of Angelina jolie and Brad Pitt what a blessing!huyo mama ajitulize tu
Tunaomba picha za kutosha za Zahara akiwa na miaka 18 tumwone vizuri
Huyo mbakaji anyongwerBado hamjasema na nasikia hata baba yake aliyembaka mama yake nae anataka mwanae huko
Wewe huyo umechangia[emoji1787][emoji1787]Umechachuka siku hizi weyee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu Kuna mtu anataka Zahara akale zile chapati za Adis Ababa Kweli??huku ni kupimana imani
Huyu mama afungwe Kwa kosa la uhaini!Na mama ametegeshea hadi amekua
Sasa hivi anaangalika ,ndo ananza kuleta ukanjanja.
Kwanini asijitokeze kumchukua akiwa bado mdogo..angejitokeza kusema mtoto ni wake.
Amesubiri amekua ndo aanza kuleta porojo.
#kataa umaskini#Ayseeee
Umasikini mbaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kwelii.Wewe huyo umechangia[emoji1787][emoji1787]