Angelina Jolie aanza kusumbuliwa na Mama wa mtoto aliyemuasili

Angelina Jolie aanza kusumbuliwa na Mama wa mtoto aliyemuasili

Umaskini hauna adabu kiranga. Mimi simlaumu mama yake kwa kumtelekeza kwa bibi.
Na Ethiopia kuna dhiki kali hakuna mfano.
Nimekumbuka kuna binti wa kihabeshi alikua mzuri mithili ya ajabu..alikua anabembeleza aolewe na ndugu yangu apate kubaki bongo akimbie dhiki za kwao. Noma sana haya maisha.
kwa hyo ndgu yako alimuoa au aliacha pisi ikasepa ethiopia
 
Amekulia maisha ya bata toka anajitambua.
Halafu arudi kwenye mihogo.. hata ningekuwa mimi.

Afanye kumsaidia mama yake atoke kwenye dimbwi la umasikini, na si yeye tena kurudi kwenye umasikini.
Hawezi kula muhogo yule Zahara,, imagine being a daughter of Angelina jolie and Brad Pitt what a blessing!huyo mama ajitulize tu
 
Hawezi kula muhogo yule Zahara,, imagine being a daughter of Angelina jolie and Brad Pitt what a blessing!huyo mama ajitulize tu
Na mama ametegeshea hadi amekua
Sasa hivi anaangalika ,ndo ananza kuleta ukanjanja.

Kwanini asijitokeze kumchukua akiwa bado mdogo..angejitokeza kusema mtoto ni wake.


Amesubiri amekua ndo aanza kuleta porojo.
 
Angelina Jolie aliadopt mtoto wa kwanza wa kiume nchini Cambodia, akaja kuadopt mwengine wa kiume nchini Vietnam, akaja kuadopt mtoto mwengine wa kike nchini Ethiopia, hakua peke yake kwenye safari hiyo alikua na aliyekua mumewe Brad Pitt waliadopt wote,

Kwa mtoto wa Ethiopia jina lake Zahara, Angelina alimkuta kituo cha kulea watoto yatima akiwa ana miezi 7 tu, wahusika wa kituo wakamwambia mtoto yule ni yatima wazazi wake walifariki kwa virusi vya Ukimwi, huruma ilimjaa Jolie na kuamua kumchukua kwa taratibu zote stahiki,

Ukweli ukaja kujulikana miaka mitatu baadae, mama mzazi wa Zahara alikua hai, ni binti aliyepata ujauzito kwa kubakwa, huku akiishi na bibi yake na mjomba wake wakiwa katika maisha ya ufukara, baada ya kumzaa Zahara hali ilizidi kua mbaya, Mama Zahara akatoroka nyumbani na kumuachia mtoto bibi yake, bibi nae kwa hofu ya kumkosa mtoto kutokana na lishe duni akampeleka kituo cha kulea watoto yatima na kuomba msaada wampokee mtoto, atakufa kwa njaa,

Mama mtoto alichokiomba ni kuongea na mwanae hata kwa njia ya simu, kumjulisha kua ana familia Ethiopia na mama yake hajafa pia anampenda sana.

Wala hakutaka kumchukua ampeleke wapi na umaskini bado umemtawala.
At least
 
From-Baby-to-Teen-See-Zahara-Jolie-Pitt-Grow-Up-Through-Years-001.jpg
 
Kwani mama yake huyu wa Madonna hajapatikana?Mnaonaje tujiorganise tutafute mama yake akamchuke aje acharazwe bakora na sio Zahara?
 

Attachments

  • Screenshot_20231107-125316_1.jpg
    Screenshot_20231107-125316_1.jpg
    76.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231107-125316_1.jpg
    Screenshot_20231107-125316_1.jpg
    76.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom