Angelina Jolie: Uvutaji wa bangi na mchepuko wasababisha ndoa na Brad Pitt kuvunjika

Kwani hili suala la talaka limemuathiri vipi Brad?
 
Hey Nifah take it easy wala sikuwa namaanisha kwa uzito ulivyochukulia
 
Brad Pitt alichomfanyia Jennifer Aniston mungu alimuona....dada wa watu alikuwa ka chizi, eti kamuacha ghafla anasema hazai kisa kamuona Jolie!...malipo ni hapa hapa chini ya jua!

Alaaaah, malipo ni hapahapa duniani eeeh?
 
Angelina mwenyewe pia anakauchizi flani hivi. ..sidhani kama network yake iko vizuri. ....Mwenye Enzi Mungu awalinde hao watoto. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…