Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
........Nigeria are through to the semi final
Duh Algeria na Egypt wanacheza tena, hao Ivory Coast mliokuwa mnawapa nafasi wameishia wapi?
Nadhani hiyo ni match ya kufungulia mwaka. Ni bonge la mpambano kwa hakika
sichezi tena kamari. mnaija kala dola yangu mia. siwapendi hawa wezi na hawatafika mbali.
sichezi tena kamari. mnaija kala dola yangu mia. siwapendi hawa wezi na hawatafika mbali.
Hapo nimecheka kweli mkuu. Unaingia dili na Wanaija?....😀