Wakuu sishabikii ,ila I predict nyimbo zote zinazokuja za Diamond Platnumz hazitahit tena,Katoa wimbo unaitwa Kitorondo,nimesikiliza but kaimba rubbish ukifananisha na ''My number one''
count one me hakutakuwa na wimbo mzuri na utakao mjulisha Diamond kimataifa kama ''My number one remix"
now atafunikwa hata na wasanii wa kawaida wa hapa bongo.
NB:ASIMDHARAU ALIKIBA WOTE WANAFANANA TU
Dua la kuku....
sio leo hiyo
Wakuu sishabikii ,ila I predict nyimbo zote zinazokuja za Diamond Platnumz hazitahit tena,Katoa wimbo unaitwa Kitorondo,nimesikiliza but kaimba rubbish ukifananisha na ''My number one''
count one me hakutakuwa na wimbo mzuri na utakao mjulisha Diamond kimataifa kama ''My number one remix"
now atafunikwa hata na wasanii wa kawaida wa hapa bongo.
NB:ASIMDHARAU ALIKIBA WOTE WANAFANANA TU
Watanzania hapana wanadamu kuna ambao hawapendi kuona flani akiwa pale.Ila lazima heaters wawepo ili watu wafanikiwe,ukiona watu hawapondi unachofanya hata kama ni kizuri jua something is wrong.Kwa hiyo unataka aporomokee auu???muombee ushindi tu sio mabayaa
Wakuu sishabikii ,ila I predict nyimbo zote zinazokuja za Diamond Platnumz hazitahit tena,Katoa wimbo unaitwa Kitorondo,nimesikiliza but kaimba rubbish ukifananisha na ''My number one''
count one me hakutakuwa na wimbo mzuri na utakao mjulisha Diamond kimataifa kama ''My number one remix"
now atafunikwa hata na wasanii wa kawaida wa hapa bongo.
NB:ASIMDHARAU ALIKIBA WOTE WANAFANANA TU
Ni lini
Hadi upate vitukuu...