Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Wakuu sishabikii ,ila I predict nyimbo zote zinazokuja za Diamond Platnumz hazitahit tena,Katoa wimbo unaitwa Kitorondo,nimesikiliza but kaimba rubbish ukifananisha na ''My number one''
count on me hakutakuwa na wimbo mzuri na utakao mjulisha Diamond kimataifa kama ''My number one remix"
now atafunikwa hata na wasanii wa kawaida wa hapa bongo.
NB:ASIMDHARAU ALIKIBA WOTE WANAFANANA TU
count on me hakutakuwa na wimbo mzuri na utakao mjulisha Diamond kimataifa kama ''My number one remix"
now atafunikwa hata na wasanii wa kawaida wa hapa bongo.
NB:ASIMDHARAU ALIKIBA WOTE WANAFANANA TU