Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
]Achana na hiyo unayosema,hivi unajua Diamond ana video ambayo inasumbua sana kimataifa inaitwa Bum bum kamshirikisha Iyanya!!!? Kama unakodoleaga Channel 0,Trace na tv zingne za kimataifa utaona kule jamaa anavyosumbua mpaka hiyo Number 1 unayoisema watu washaisahau kule sema tu humu ndani haijaanza kupigwa kawapa kwanza hiyo Mdogomdogo.....haaaaa haaaaa huyu jamaa utamsubir sana kama unategemea atashuka yan ni sawa na kusubir meli ubungo
achana na kitorondo wewe, lazima utikise kichwa lile dude likipigwa redioni. bonge moja la hit na litasumbua sana kwenye soko la ndani
hakuna mbongo wa kuvunja rekodi ya Mr Nice kwenye mziki
Una matatizo yako binafsi na marlow si bure
Binafsi Kitorondo Naupenda Vibaya sana kuliko hata hiyo Number one ,Yaani Umenibamba kinoma Kijana yupo Juu lazima Utafute soko kwa Watu wa Aina zote ,Wa Nje ya Mipaka , Wa Masaki , Na sisi Wa Mwananyamala + Mtogole hiyo ndio Biashara , Vannesa Mwenyewe Kashituka katoa wimbo wa Mipasho sasa hata sisi wa Mwananyamala Tunamsikiliza ...Diamond Mungu akuzidishie Uzidi Kusimama Imara Mtoto wa Bi Sandraaa
Binafsi Kitorondo Naupenda Vibaya sana kuliko hata hiyo Number one ,Yaani Umenibamba kinoma Kijana yupo Juu lazima Utafute soko kwa Watu wa Aina zote ,Wa Nje ya Mipaka , Wa Masaki , Na sisi Wa Mwananyamala + Mtogole hiyo ndio Biashara , Vannesa Mwenyewe Kashituka katoa wimbo wa Mipasho sasa hata sisi wa Mwananyamala Tunamsikiliza ...Diamond Mungu akuzidishie Uzidi Kusimama Imara Mtoto wa Bi Sandraaa
Ha ha ha ha R. Kelly ndo anaitwa Rashid kalindende ha haha lol....
Nimeiona kwenye Channel O wanaipiga sana kama unacheki DSTV utaiona.Kwenye net sijajuaMkuu embu tupia link ya hiyo ngoma maana nime google bila mafanikio
achana na kitorondo wewe, lazima utikise kichwa lile dude likipigwa redioni. bonge moja la hit na litasumbua sana kwenye soko la ndani
Sababu zingine za dogo kuanguka vibaya hizi hapa;
1. Mda Wote Yupo Angani!
Huyu dogo kila siku yuko bize na shoo, mpaka anafkia stage anakosa mda wa kutunga, na hata kama akpata akili inakuwa imechoka hivyo anashndwa kutengeneza mzki mzuri.
2. Law Of Diminishing Marginal Utility.
Kitu ukikaa nacho mda mrefu unakichoka, hivyo unabidi utafute kingine. Mfano wa hivyo vitu ni Gari, Mke, Nyumba na huyo Diamond Wenu. Wasikilizaji washaanza kumchoka, hivyo wanatafuta radha mpya.
Nakaribisha kejeli kwa wale wagumu kuelewa.
CC Viol
Ajitahidi amalizie ile nyumba naona ameconcentrate kwenye kile kisima ooopssss ni swiming pool mwaka sasa ... asije kufulia kabla hajahamia gheto lake