kimani Mibwi
Senior Member
- Mar 27, 2019
- 189
- 170
Revisiting OLD NEWS for self glorification??
Danganyikans you have a low intelligence quotient.
Danganyikans you have a low intelligence quotient.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mtu aliemdanga wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado unangoja uchumi uanguke 😂😂😂Ujuaji umewazi na majigambo ya sifa za kijinga "Let's bite their own tongues ".
People die.Huyu mtu aliemdanga wapi?
Mk254 revisited it, since September last year, wenye low IQ ni nyinyi mlowatelekeza wananchi wa north kenya. StupidRevisiting OLD NEWS for self glorification??
Danganyikans you have a low intelligence quotient.
Kama alikuchenga tulia hufai kutusi watu huo sio ungwana.Jinga sana huyo jamaa
Is it your best part still?My best part
"Two days from today, Kenya might find itself on a path to financial ruin should the International Monetary Fund (IMF) lock it out of a Sh100 billion precautionary credit facility.
Without a deal, Kenya could be in trouble as this could signal to international investors that the country is a 'high-risk' investor destination."
Mjinga, since when jinga ni tusi? Unajua maana ya mjinga.Kama alikuchenga tulia hufai kutusi watu huo sio ungwana.
Hiv wajua kuwa wazidi kuongeza madeni?!MiTanzania wenye wivu wajinyonge sababu Kenya haitazama wala kuanguka.
Politics
Kenya Gets $750 Million World Bank Loan, And Eyes Another One
Sisiemu haijamlipa msharaha wa mwaka moja tangu aanze blogging ya kusifia JPM. Ikabidi ajipe shuguli. Anapatikana kule maeneo ya Mwananyamala akisukuma maisha na kuwaza yaliyompataHuyu mtu aliemdanga wapi?
Hiv wajua kuwa wazidi kuongeza madeni?!
Oh shit.Mbona na Tzn njia ni hiyo hiyo ya kukopa so far deni limeongezeka sana hadi kufikia mwisho wa mwaka mpya wa fedha utakuta liko mara dufu maana sgr,umeme,ma flyover yote yametatuliwa mikopo ko hakuna sherehe ya kumcheka jirani
Sawa kopen kwingine ili mulipe kwingine BYEKwani nyinyi nd'o mtazilipa ama sisi?
Hivi wajua percentage ya debt relative to GDP inapungua? Hivi wajua budget deficit year on year inapungua?Hiv wajua kuwa wazidi kuongeza madeni?!
Response of a cornered dog.Sawa kopen kwingine ili mulipe kwingine BYE