Anguko la kiuchumi KENYA, Shirika la fedha kukutana na serikali ya Kenya

Anguko la kiuchumi KENYA, Shirika la fedha kukutana na serikali ya Kenya

un
Oh shit.
Miradi yetu siyo yote tuliyokopa.
Mengine ni kodi za watz
Hujui unachoongea dingi unaropoka tuu,,mradi upi mkubwa umekamilishwa kwa pesa zenu kila siku finance minister anaombeleza vikopo afu unanidanganya nani? Hakuna mradi mkubwa hata mmoja ambao Tzn inaugharamia na ukakamilika bila mkopo,condom tu za msaada afu unasaje
 
Metre gauge zinafufuliwa kwa hela zetu.
Huo mfano mdogo tu wacha ninyamaze
un
Hujui unachoongea dingi unaropoka tuu,,mradi upi mkubwa umekamilishwa kwa pesa zenu kila siku finance minister anaombeleza vikopo afu unanidanganya nani? Hakuna mradi mkubwa hata mmoja ambao Tzn inaugharamia na ukakamilika bila mkopo,condom tu za msaada afu unasaje
 
Na zile ndege hazikununuliwa kwa mkopo pia.
Wafaa kufaham hilo
un
Hujui unachoongea dingi unaropoka tuu,,mradi upi mkubwa umekamilishwa kwa pesa zenu kila siku finance minister anaombeleza vikopo afu unanidanganya nani? Hakuna mradi mkubwa hata mmoja ambao Tzn inaugharamia na ukakamilika bila mkopo,condom tu za msaada afu unasaje
 
Zile hela zilikua ni rambirambi kwa ajali ya watu waliozama ziwa victoria.
Isipokuwa ndio zikagawanywa kujenga na Vituo vya afya.
Mbona nyie tunawasaidia chakula?? embu funga bakuli.
Nataka uniletee evidence kenya imetoa hela ku finance mradi mkubwa Tz hapo ndio nitakuona mna uwezo.
Hizo 125 tsh ht hazikamilishi ht vituo viwili vya afya nahisi zimeliwa karanga tu.
Maana Tsh 125 zitajenga nini??
Ingekuwa zimetolewa $ 125 ningesema sawa zitajenga mradi WOWOTE.
Ila Tsh 125 ht nyumba ya kimara haikamiliki??!And not "give tz" it is a past tense say "gave Tz" because 2018 already passed by!
Remember Kenya give Tz grants to develop health centers.
 
We gave you money and we will continue giving you money whenever you are in need. On the other hand Kenya buy food from you, you don't give us. Do you see the difference?
Zile hela zilikua ni rambirambi kwa ajali ya watu waliozama ziwa victoria.
Isipokuwa ndio zikagawanywa kujenga na Vituo vya afya.
Mbona nyie tunawasaidia chakula?? embu funga bakuli.
Nataka uniletee evidence kenya imetoa hela ku finance mradi mkubwa Tz hapo ndio nitakuona mna uwezo.
Hizo 125 tsh ht hazikamilishi ht vituo viwili vya afya nahisi zimeliwa karanga tu.
Maana Tsh 125 zitajenga nini??
Ingekuwa zimetolewa $ 125 ningesema sawa zitajenga mradi WOWOTE.
Ila Tsh 125 ht nyumba ya kimara haikamiliki??!And not "give tz" it is a past tense say "gave Tz" because 2018 already passed by!
 
You were not giving us grants or donations at the back stage.
But due to friendship you gave us the money as condolence to our disaster.
So don't say that you are helpful to us while there is no any year Kenyan government financed any development project in Tanzania.
That Tsh125 what will it do if not to be given to the families whom their relatives died on the disaster ??
It can't even build a good bungalow.
Tengua kauli.
We were and until now we are in need of Sgr finance,why didn't you support us??
Kagera met a disaster of earthquake,where were you to finance us??
That the one and only time financing us as a condolence makes you to be that arrogant ??
Oh shit kweli bora githeri kuliko pilau la masimango.
We gave you money and we will continue giving you money whenever you are in need. On the other hand Kenya buy food from you, you don't give us. Do you see the difference?
 
Committee ya roho chafu.

They still waiting [emoji23][emoji23][emoji23]
1_w4DxUy0PMoqeq25UXfyL0g%402x.jpg


Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
 
My best part

"Two days from today, Kenya might find itself on a path to financial ruin should the International Monetary Fund (IMF) lock it out of a Sh100 billion precautionary credit facility.

Without a deal, Kenya could be in trouble as this could signal to international investors that the country is a 'high-risk' investor destination."
Vipi?
 
Ulidhani haitakuwa? POLE
Hehe, ila sio baada ya angukio la uchumi wa Kenya 'in two days' kama mlivotabiri. Miaka mitatu baadaye tupo ligi za @$100B+. Tupo njiani kuwapiga double double.
 
Hehe, ila sio baada ya angukio la uchumi wa Kenya 'in two days' kama mlivotabiri. Miaka mitatu baadaye tupo ligi za @$100B+. Tupo njiani kuwapiga double double.
Nasemaje wewe ulidhan hatutafika middle income nauliza maana uliandika kwa kejeli mwaka juzi.Sasa hata mngetriple GDP tuko league moja tu,mkiweza kuingia upper middle income ndio hatutakua league moja
 
Nasemaje wewe ulidhan hatutafika middle income nauliza maana uliandika kwa kejeli mwaka juzi.Sasa hata mngetriple GDP tuko league moja tu,mkiweza kuingia upper middle income ndio hatutakua league moja
Uchumi wa Kenya upo mikononi mwa TANZANIA a.k.a u humi wa mazingaobwe walichobaki nacho sasa hv nikitu kisichokua na maana tu ndio wanacholingia ambayo ni GDP na pia sio yao ya mkopo hata TZ ikiamua kukopa mpaka tuwe tunadaiwa sawa na wao bc GDP zetu zinaweza kua sawa .
 
Hehe, ila sio baada ya angukio la uchumi wa Kenya 'in two days' kama mlivotabiri. Miaka mitatu baadaye tupo ligi za @$100B+. Tupo njiani kuwapiga double double.
Uhuru anajua mikenya mizuzu ndio maana anacheza na akili zenu , wakenya wengi hawaangalii huduma bora wala mahitaji muhimu wao wanachoangalia cha Kwanza thaman yao ya pesa iwe juu kuliko ya TANZANIA cha pili GDP iwe kubwa bc washaridhika ndio maana Uhuru anajitahid Sana kukopa ili kufidia GDP isiotekelezeka au GDP hewa ili kuwafurahisha bendera fata upepo kama wewe
 
un
Hujui unachoongea dingi unaropoka tuu,,mradi upi mkubwa umekamilishwa kwa pesa zenu kila siku finance minister anaombeleza vikopo afu unanidanganya nani? Hakuna mradi mkubwa hata mmoja ambao Tzn inaugharamia na ukakamilika bila mkopo,condom tu za msaada afu unasaje
. Kiberaaaaaaaaaaa
Unanifurahisha Sana unapoandika utumbo, ivi wewe ni mchekeshaji uko kenya 🤪🤪
 
Back
Top Bottom