Anguko la Makonda

Laana za Waryoba hizo. Alimpiga mzee wa watu!
 
Tatizo lako ni dogo sana; ngoja nikufahamishe.

Umesoma na kujibu kwa papara, au pengine lugha imekupita pembeni. Maandishi hayo hayasemi Makonda aliteuliwa kuwa DC na JPM. Soma tena kwa utulivu utaona hivyo.

Hapa hakuna anaye"'attack mtu" kwa sababu ya kuwepo au kutokuwepo uhusiano na mtu huyo.

Huyo unayesema ana"attackiwa" alikuwa na nafasi ya uongozi kwenye serikali. Matendo yake yalijulikana. Utasemaje mtu huyo "ambaye hana uhusiano naye"? Kuwa kwenye nafasi ya uongozi hakumfanyi mtu huyo kuwa na uhusiano na watu anaowaongoza?

Kiufupi ni kwamba, umesoma na kujibu yaliyoandikwa kwa pupa.
 
Kwani mwenyeki wa pipoooòozi yuko wapi siku hizi jamaani
 
Huyo hana lolote ndio kutegemea mbeleko kulivyo ina maana hakuna anachoweza kufanya bila kubebwa kwa nini asijiajiri.

Watanzania tu wajinga sana tunashangilia eti mtu ana mpunga wakati tunafahamu fika kwamba hana biashara yoyote, ina maana ni mwizi tu huyo hana lolote.

Akiwa madarakani waliunda genge la wauaji "Death Squad" ili kuwateka na kuwauwa wale walioonekana kutokubaliana nao. Huyu ni mtu bure kabisa subirini huyu mtu wake atoke ikulu ndio ataswekwa gerezani kabisa.
 
Kuna wenye PhD wanashinda kwenye mchezo wa bao, wengine kwenye draft , wengine wanaangalia mpira, namimi nashinda jamii forums Kama hobby yangu,

Pili nikusahihishe kijana PhD si jambo la maajabu sana, nasisi wenye nazo ni binadamu, ratiba zetu ziko kama wengine cc Pascal Mayalla
 
Nimekutana naye mara kadhaa kule masaki mwisho jirani na police post.

Kwenye uwanja ule wa mpira yupo naye anapiga tizi...umeona peach ile walivyoitengeneza.

In short mwana fungu lipo mambo yake yanakwenda kama kawaida tu.

Ova
Kuna watu wanafikiri baada ya kutolewa atakuwa na njaa kama wao!
 
Ukiitwa kuthibitisha hizo tuhuma utaweza ?
 
nikipata huyu atanisaidia kazi yangu km Rais.mumtunze vyema anakarama ya uongozi hana tamaa.
Viva makonda viva ntakuchomeka ki aina km rais baada yangu uwapeleke hawa mbuzi wa bongo . Make vichwa maji sana hawa usiwalipe kisasi tu
 
Ila waTanzania tuache majungu + umbeya + roho mbaya,uzi unakimbiza balaa...

yangekuwa ni masuala ya jinsi gani tujikwamue kiuchumi ili tuepuke hili janga la kiumaskini,pasingekuwepo na mchangiaji humu!
Chakuchekesha na kushangaza zaidi na wewe pia umo humu unasoma comments na kuchangia pia!!
 
Natamani kujua kisababishi cha uzi huu
 
Ambition(Matamanio) za wanasiasa wengi..
1.Money(Wealthy)..Ukwasi
2.Power...Mamlaka
3.Prestige...Ufahari

Akikosa kimojawapo..Amani ya moyo inaweza isiwepo..


"Be Humble"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…