Anguko la Makonda

Anguko la Makonda

Ni majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa

Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha

Makonda atarudi tu
Labda atarudi kwenye familia yenu lakini si utumishi wa umma hafai mbinafsi na mtumia madaraka vibaya sana
 
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.

Tukumbuke Makonda ni nani

Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa

1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.

2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.

3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).

4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.

5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.

6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.

7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.

8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.

9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.

ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.

PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.

Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.

Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.


 
DAB kama hajapima HIV aende akapime kwa sababu alikua ni pika na kupakua na waathirika wa bongo movie kajala na Batuli

wazazi wa Makonda kuna kipindi walikua wana filial kwa kajala pindi waendapo Dar
 
Waziri mtarajiwa akipewa ubunge wa kuteuliwa kwanza.
 
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.

Tukumbuke Makonda ni nani

Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa

1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.

2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.

3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).

4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.

5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.

6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.

7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.

8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.

9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.

ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.

PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.

Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.

Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Madam president atajikaanga kama atamteua makonda nafasi yoyote, yule ni mpuuzi hafai kupewa nafasi yoyote kwenye hii nchi, makonda ni mgonjwa wa akili
 
DAB kama hajapima HIV aende akapime kwa sababu alikua ni pika na kupakua na waathirika wa bongo movie kajala na Batuli

wazazi wa Makonda kuna kipindi walikua wana filial kwa kajala pindi waendapo Dar
Unauhakika kajala kaathirika? Hayo mambo ni magumu
 
Was once the ring leader of the dreaded Death Squad created by the former departed Head of State John Magufuli to eliminate his political foes.

Today the disgraced Makonda, after the sudden demise of his protector, has completely lost the ground to stand on.
 
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.

Tukumbuke Makonda ni nani

Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa

1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.

2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.

3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).

4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.

5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.

6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.

7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.

8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.

9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.

ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.

PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.

Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.

Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Sasa hivi imebaki stori maana enzi zake zimeshafikia ukomo.
 
Mkuu naona huzijui siasa za Tanzania,uliza akina Simbachimwene, Mwigulu,Nchimbi ya kesho huyajui na hujui aliyeaanguka juzi kesho kutwa anaweza akaamuka, angalia hata kule Zenj, makamu wa kwanza wa raisi ndie yule aliyetupiwa vilago miaka ya nyuma ,na hata Makonda unaweza shangaa kesho kaula tena zaidi ya huko nyuma,nani alitegemea Bashiru kuwa KMK?
Bashite anaulaje tena hali alishaibomoa cv yake.Bashite ukimsaidia na akishapata atakacho ni lzm akunyee.
 
Bashite anaulaje tena hali alishaibomoa cv yake.Bashite ukimsaidia na akishapata atakacho ni lzm akunyee.
Ni ngumu sana kuula kwanza kuna bifu kubwa sana yeye na familia ya jk aliizalilisha sana na mkumbuke kwa sasa ushauri na mwongozo kwa mama unatoka kwa jk hivyo naona anavyozidi kupotea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom