Threads nyingine za uzushi wa Kigogo kwamba Makonda kakamatwa, wakati hajakamatwa.Mbona mods maondoa threads za makonda? Why?
Kwa nini mnawahujumu wana JF?
Kuna thread zilikuwa zinaenda vizuri zikiwa na wachangiaji wa kutosha na viewers hazionekani! This is not fair.
😂 😂 😂Anaweza kurudi kivingine kama makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Sharif!
Lkn haizui kutokuja kamatwaThreads nyingine za uzushi wa Kigogo kwamba Makonda kakamatwa, wakati hajakamatwa.
Threads kama hizo kuzifuta ni sawa tu.
Kwa sababu ni za uongo, na Wabongo wengi huwa hawahoji kama ni za kweli au uongo, wanachangia uongo kama kweli vile.
Hizo habari za kuja kukamatwa ni tofauti, vyombo vya sheria vishasema vikimtaka vitamuita.Lkn haizui kutokuja kamatwa
Na huo ndio ugonjwa wakeKabisa huyo mtu ni noma,ana pesa za hatari,kwasasa alichokosa ni media coverage tu.
Nilichojifunza mimi ni kwamba hapa duniani kila kitu kina muda/msimu wake. Raha ya milele ni huko mbele.Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.
Tukumbuke Makonda ni nani
Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa
1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.
2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.
3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).
4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.
5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.
6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.
7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.
8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.
9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.
ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.
PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.
Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.
Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Huyu keshakunya kwenye kila mlango. Ataingiaje ndani wakati kinyesi chake bado kinamsubiri mlangoni? The heavier they come, the heavier they fallAnaweza kurudi kivingine kama makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Sharif!
Na kweli, Nani alitegemea Bashiru kuwa KMK kwa siku thelathini na baadae akawa Mbunge wa kuteuliwa? Hata Mr Slow pia na Mbunge!Mkuu naona huzijui siasa za Tanzania,uliza akina Simbachimwene, Mwigulu,Nchimbi ya kesho huyajui na hujui aliyeaanguka juzi kesho kutwa anaweza akaamuka, angalia hata kule Zenj, makamu wa kwanza wa raisi ndie yule aliyetupiwa vilago miaka ya nyuma ,na hata Makonda unaweza shangaa kesho kaula tena zaidi ya huko nyuma,nani alitegemea Bashiru kuwa KMK?
Ni hadi uwe na akili ya kujua hayaNilichojifunza mimi ni kwamba hapa duniani kila kitu kina muda/msimu wake. Raha ya milele ni huko mbele.
Atarudi nyumbani kwako kenge weweNi majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa
Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha
Makonda atarudi tu
Bila kusahau kwamba bashite ni shoga aliyejificha kwenye kivuli cha ant gay muulize sheikh alhadiKijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.
Tukumbuke Makonda ni nani
Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa
1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.
2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.
3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).
4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.
5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.
6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.
7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.
8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.
9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.
ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.
PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.
Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.
Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Kwa hiyo Alhad alikuwa anapumzika kwenye ule msambwanda wa Bashite?Bila kusahau kwamba bashite ni shoga aliyejificha kwenye kivuli cha ant gay muulize sheikh alhadi
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.
Tukumbuke Makonda ni nani
Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa
1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.
2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.
3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).
4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.
5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.
6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.
7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.
8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.
9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.
ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.
PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.
Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.
Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Yote kumi, lakini sababu kuu ya anguko lake ni ugomvi wake na Mtumishi wa Mungu Askofu Dr Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima...
Unakumbuka maneno yake? Labda umesahau. Ngoja nikukumbushe..
Bishop Dr Josephat Gwajima alisema, "....Namfuta Paul Makonda katika tasnia ya uongozi na siasa..."
Kumbuka "NENO" la Mtoto wa Mungu ni kitu halisi. Mtumishi na Mtoto wa Mungu Yehova akitamka "NENO" linageuka kuwa kitu halisi...
Kumbuka pia kuwa, Ulimwengu na vitu vyote wanyama, miti, maji, anga nk nk viliumbwa kwa kutamka maneno toka ktk kinywa cha Mungu...
Mungu anaishi ndani ya watoto wake. Makonda akitaka ku - reverse hilo NENO, aende na kutubu dhambi yake, baasi...
Kama alikuwa wanamtaka angepewa tu kumbuka Magufuli alikuwa ndio mwamuzi wa mwisho Ila alimkata. Technically alifukuzwa maana walioambiwa wagoombee walipewa u unge akina Gambo na Katambi pamoja na Mnyeti.Ni majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa
Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha
Makonda atarudi tu
Atarudi lkn lazima anyooshwe anyooke,aadabike kama hatokuja ku gain vitu hivyo atafute kazi ya kufanya hakuna atakayemuonea huruma...Ni majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa
Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha
Makonda atarudi tu
Jiwe ndo nani???Hajaanguka,jiwe kuna kitu anamuandalia