Anguko la Makonda

Anguko la Makonda

Mbona mods maondoa threads za makonda? Why?

Kwa nini mnawahujumu wana JF?

Kuna thread zilikuwa zinaenda vizuri zikiwa na wachangiaji wa kutosha na viewers hazionekani! This is not fair.
Threads nyingine za uzushi wa Kigogo kwamba Makonda kakamatwa, wakati hajakamatwa.

Threads kama hizo kuzifuta ni sawa tu.

Kwa sababu ni za uongo, na Wabongo wengi huwa hawahoji kama ni za kweli au uongo, wanachangia uongo kama kweli vile.
 
Threads nyingine za uzushi wa Kigogo kwamba Makonda kakamatwa, wakati hajakamatwa.

Threads kama hizo kuzifuta ni sawa tu.

Kwa sababu ni za uongo, na Wabongo wengi huwa hawahoji kama ni za kweli au uongo, wanachangia uongo kama kweli vile.
Lkn haizui kutokuja kamatwa
 
Mwacheni apumue wakati huu, maana sasa hivi ni tia maji tia maji kuunganishwa kwenye ile saga ya Prince wa Hai.
 
Lkn haizui kutokuja kamatwa
Hizo habari za kuja kukamatwa ni tofauti, vyombo vya sheria vishasema vikimtaka vitamuita.

Mimi si mtetezi wa Makonda, ni mtetezi wa ukweli.

Kama ukweli ni kwamba Makonda hajakamatwa, halafu mtu analeta uzi wa uzushi wa Kigogo kwamba Makonda kakamatwa, na Wabongo wanachangia uzi wa uongo bila kuhakiki habari, uzi huo ukifutwa ni sawa tu.Kwa sababu ni uzi wa uongo, unapotosha ukweli.

Bado watu wana uwezo na uhuru wa kuanzisha uzi mwingine unaosema Makonda anastahili kukamatwa, ila hajakamatwa, uzi ambao hautakuwa wa uongo.Uzi huu ukifutwa nitatetea usifutwe.Kwa sababu hiyo ni fair discussion na uzi haujaanzishwa kwa habari ya uongo kama "Makonda kakamatwa".
 
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.

Tukumbuke Makonda ni nani

Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa

1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.

2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.

3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).

4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.

5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.

6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.

7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.

8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.

9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.

ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.

PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.

Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.

Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Nilichojifunza mimi ni kwamba hapa duniani kila kitu kina muda/msimu wake. Raha ya milele ni huko mbele.
 
Huyo kwanza hata msjina anayotumia si yake kwa hivyo basi anaweza kuishi maisha ya aina yoyote
 
Mkuu naona huzijui siasa za Tanzania,uliza akina Simbachimwene, Mwigulu,Nchimbi ya kesho huyajui na hujui aliyeaanguka juzi kesho kutwa anaweza akaamuka, angalia hata kule Zenj, makamu wa kwanza wa raisi ndie yule aliyetupiwa vilago miaka ya nyuma ,na hata Makonda unaweza shangaa kesho kaula tena zaidi ya huko nyuma,nani alitegemea Bashiru kuwa KMK?
Na kweli, Nani alitegemea Bashiru kuwa KMK kwa siku thelathini na baadae akawa Mbunge wa kuteuliwa? Hata Mr Slow pia na Mbunge!
 
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.

Tukumbuke Makonda ni nani

Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa

1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.

2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.

3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).

4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.

5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.

6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.

7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.

8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.

9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.

ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.

PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.

Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.

Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Bila kusahau kwamba bashite ni shoga aliyejificha kwenye kivuli cha ant gay muulize sheikh alhadi
 
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.

Tukumbuke Makonda ni nani

Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa

1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.

2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.

3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).

4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.

5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.

6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.

7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.

8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.

9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.

ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.

PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.

Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.

Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.

Number 6 umechemsha vibaya mno,alikataliwa kuingia USA kwasababu ya kupokonya watu haki ya kuishi.Usifikiri tumesahau bado tunakumbuka sana kamwe hatuwezi kusahau kadhia hiyo kuwahi kutokea tangu Tanganyika kujipatia uhuru wake toka kwa 🇬🇧
 
Yote kumi, lakini sababu kuu ya anguko lake ni ugomvi wake na Mtumishi wa Mungu Askofu Dr Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima...

Unakumbuka maneno yake? Labda umesahau. Ngoja nikukumbushe..

Bishop Dr Josephat Gwajima alisema, "....Namfuta Paul Makonda katika tasnia ya uongozi na siasa..."

Kumbuka "NENO" la Mtoto wa Mungu ni kitu halisi. Mtumishi na Mtoto wa Mungu Yehova akitamka "NENO" linageuka kuwa kitu halisi...

Kumbuka pia kuwa, Ulimwengu na vitu vyote wanyama, miti, maji, anga nk nk viliumbwa kwa kutamka maneno toka ktk kinywa cha Mungu...

Mungu anaishi ndani ya watoto wake. Makonda akitaka ku - reverse hilo NENO, aende na kutubu dhambi yake, baasi...

Askofu Gwajima ndio nani ?.Sisi huku ufufuo na uzima tunamfahamu Askofu mmoja anaitwa Askofu Rashid huyo wako sijui umemwokota wapi.
 
Kule
Ni majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa

Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha

Makonda atarudi tu
Kama alikuwa wanamtaka angepewa tu kumbuka Magufuli alikuwa ndio mwamuzi wa mwisho Ila alimkata. Technically alifukuzwa maana walioambiwa wagoombee walipewa u unge akina Gambo na Katambi pamoja na Mnyeti.
 
Ni majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa

Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha

Makonda atarudi tu
Atarudi lkn lazima anyooshwe anyooke,aadabike kama hatokuja ku gain vitu hivyo atafute kazi ya kufanya hakuna atakayemuonea huruma...
 
Back
Top Bottom