Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa.nilichojifunza kilimo kifanyike ukiwa umesimama ila siyo tegemeo la kuinuka
pole sana Brother
Mbona kataja ana miaka 36Mkubwa oa kwanza,Ila mbona kama hutaki kutaja umri wako kwa namba unaishia kusema tu umri wako umeenda,umeenda wapi huo umri wako
Kakua kuamo ila aache mawazo ya kufikiri kuwa ni yeye peke yake aliyefirisikaMbona kataja ana miaka 36
Niliuza pikipiki ili kujaribu kuokoa biashara mama ambayo ndio ilinipa hizo pikipiki. Zilikua nne ambazo nilizininunua kwa vipindi tofauti.Kwanini uliuza pikipiki zako mkuu?? Na zilikua ngapi?
Sikujua kabla na pia kuna ambao wanafanikiwa. Kwa kifupi kila biashara ina faida na hasara zake hivyo siwezi kusema ni biashara mbaya ila kwangu haikua nzuri.Ufugaji wa kuku Ni risky Sana mkuu kufilisika nje nje
Tuwape heshima walimu mbona kaeleza hapo unakimbilia kucoment bila kusomaKwanini uliuza pikipiki zako mkuu?? Na zilikua ngapi?
Pamoja mkuuAisee usiseme una matatizo kuna wengine yamezid mkuu pole sana tena sana tuendelee kupambana
Mkuu upo?Pole mkuu, hebu tueleze hasa nini kilikuangusha kwenye ufugaji wa kuku na mpunga huko ifakara.
Shukrani mkuuPole sana ndugu yangu,maisha sometimes hayatabitiki hata kidogo ukianza kuona mambo yanakaa safi, Mungu anaye anakuja na mipango yake.
Mkuu nipo, nimechungulia kidogo. Ntakuja pm kukusalim mkuu wangu.Mkuu upo?
Not only men....bt...Wanaume tumeumbwa mateso pole sana mkuu.