ABLE04
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 976
- 2,391
Sure.Just a strong women ndo wanaweza kuteseka kivyao, nimeona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure.Just a strong women ndo wanaweza kuteseka kivyao, nimeona.
pole sana kaka, hiki unachoongea ndio kiliniangusha mimi kiuchumi kuanzia mwaka 2016 mwishoni kufika 17 mwishoni nikawa hoi kabisa..........Kifupi tu naona nili panic hivyo sikufanya utafiti. Yaani ile kuingia kichwa kichwa. Kwa upande wa kuku walikua wanakufa sana. Lakin kwenye kilimo msimu haukua mzuri na nililima kilimo cha kutegemea mvua hivyo mavuno yalikua hafifu sana. Kama ningechukua muda kufanya utafiti maana yake labda ningetafuta mashamba ya umwagiliaji. Mtu unapoanza kuanguka kiuchumi kama hautaweza kutuliza kichwa basi utaanguka mpaka chini kabisa. Kwa sababu kuna ile hali ya kutaka kurudi juu kwa haraka na hapo ndipo unaweza kufanya kitu kwa haraka na ukazidi kuporomoka.
Pole na usikate tamaa. Kuna wenye changamoto kubwa zaidi. Wahenga walisema ukitaka kujua una bahati tembelea hospital uone watu wanaoteseka japo fedha wanazo. All in all. Kwa kifupi ulikuwa hujafikia uchumi wa kati hata kidogo. Sema kipindi hicho deal la kubangaiza lilikuwa limekukubali hivyo ukawa unapata visenti vya matumizi vilivyokufanya udhani uko kwenye maisha mazuri.Mkuu ni vyema uwe unamaliza kusoma mpaka mwisho. Lakini zaidi tujifunze kusoma au kusikiliza ili kuelewa sio kujibu. Shukrani.
Sikua nabangaiza mkuu, nilikua napata pesa kutokana na vyanzo vinavyoonekana na sio deals za kuzuka. Na nilijijenga kwa muda kufikia hapo ndio maana nasema nilikua kwenye middle class economy. Hata hivyo nashukuru kwa hamasa.Pole na usikate tamaa. Kuna wenye changamoto kubwa zaidi. Wahenga walisema ukitaka kujua una bahati tembelea hospital uone watu wanaoteseka japo fedha wanazo. All in all. Kwa kifupi ulikuwa hujafikia uchumi wa kati hata kidogo. Sema kipindi hicho deal la kubangaiza lilikuwa limekukubali hivyo ukawa unapata visenti vya matumizi vilivyokufanya udhani uko kwenye maisha mazuri.
Kiukweli siwezi kuelekeza lawama au kumnyooshea mtu kidole kwamba amehusika na anguko langu kwa kuwa sababu ziko wazi. Kwa hiyo mkuu sikuungi mkono katika haya mawazo yako lakini pia sikupingi.Jiwe pia kahusika katika kuua biashara yako. Amini amini nakuambia.
Yule mzee kavuruga sana uchumi wa vijana wengi.
Pole.
Hili ni tatizo kubwa sana kwa kizazi na jamii kubwa ya africapole sana kaka, hiki unachoongea ndio kiliniangusha mimi kiuchumi kuanzia mwaka 2016 mwishoni kufika 17 mwishoni nikawa hoi kabisa..........
ninachowashauri vijana wenzangu kwa sasa ni kwamba ktk jambo lolote linalokupata maishani, hakikisha unapata maarifa mapya ya kukutoa ulipoangukia maana maarifa yaliyokufanya uanguke KAMWE hayawezi kukuinua tena.........
kizazi hiki (au niseme kwenye jamii zetu) tunaishi kama wanyama wa porini, hatuna washauri (mentors) wa kutufanya tutembee vizuri, ni maisha ya kubahatisha wengi ndio tunaishi
Shukuru kama wakwako anaendesha biashara ila usifikiria sie wajinga.Tukiwambiaga muwafungulie wake zenu walau kabiashara mnahis wanaenda kugongwa nje
Bro linapokuja kwenye ndoa na mna watoto wanasoma, hichi unachosema haki make sense anymore... Biblia inasema mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono miwili, hivyo pia anaweza kuijenga mwenyewe akiamua.Ndugu yangu hatuwezi kulaumu wanawake kwa ujumla wao, lakini baadhi yao ni kama watoto. Mtoto anahitaji huduma tu hawezi kuelewa kuhusu mabadiliko yako ya kiuchumi au hali yako mbaya ya kila siku.
🤣🤣🤸♂️🤸♂️🤸♂️ pole mwambaShukuru kama wakwako anaendesha biashara ila usifikiria sie wajinga.
Mke unamfungulia biashara lakini Kodi kila mwaka unalipa wewe na hell ya matumizi hatoi.... Ngoja ifike zamu yako hata Mimi nilikua na jeuri ka hizi
Mwanamume pesa Mzee Kama huna hata upige pump mpwimpo vip... ukishaitwa baba flani wewe ni fala tuu tu kwa mkeo🤣🤣🤸♂️🤸♂️🤸♂️ pole mwamba
Tuzitafute kichaa wangu watatuheshimu tu hao wanawake...Mwanamume pesa Mzee Kama huna hata upige pump mpwimpo vip... ukishaitwa baba flani wewe ni fala tuu tu kwa mkeo