Edgar Bisoo
Member
- May 19, 2021
- 28
- 51
- Thread starter
- #41
Hatari sana mkuu. Kwa wenye bahati zao mhindi anapigika sana huko mashambaniKilimo ni sawa na betting, nilishindwa kumpiga mhindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana mkuu. Kwa wenye bahati zao mhindi anapigika sana huko mashambaniKilimo ni sawa na betting, nilishindwa kumpiga mhindi.
Sure mkuu..itapita tuHiyo ni pullback session kipindi cha mpito
Mkuu upo res sana kwa haya maswali yako[emoji3][emoji3]Pole sana Mkuu, huyo mtoto ni wa huyo aliyekukimbia au wa mwanamke tofauti?
Wengine tuna watoto wa nne, tegemezi watatu halafu hatuna kazi, biashara zimekufa na mke haelewi kama unahali mbaya....... Nimeamini ndo mana wanaume wanakufa mapemaAisee usiseme una matatizo kuna wengine yamezid mkuu pole sana tena sana tuendelee kupambana
Hakika mkuu, afya na uhai ni baraka tunayoihitaji sana.Pole sana kijana mwenzangu,,Hayo ndo maisha yana changamoto nyingi..Kikubwa Mungu akupe uzima na mapambano yaendeleee
Aoe kwanza wakati hata kodi ya nyumba tu mtihani kwake!!Mkubwa oa kwanza,Ila mbona kama hutaki kutaja umri wako kwa namba unaishia kusema tu umri wako umeenda,umeenda wapi huo umri wako
Wangari unamateso?Not only men....bt...
Sasa hivi sio nyie tu mna mateso mkuu hata wanawake tuna mateso kama nyie mkuu .najua unajua ika unajitoa ufahamu tu😒Wangari unamateso?
Ndugu yangu hatuwezi kulaumu wanawake kwa ujumla wao, lakini baadhi yao ni kama watoto. Mtoto anahitaji huduma tu hawezi kuelewa kuhusu mabadiliko yako ya kiuchumi au hali yako mbaya ya kila siku.Wengine tuna watoto wa nne, tegemezi watatu halafu hatuna kazi, biashara zimekufa na mke haelewi kama unahali mbaya....... Nimeamini ndo mana wanaume wanakufa mapema
Tukiwambiaga muwafungulie wake zenu walau kabiashara mnahis wanaenda kugongwa njeWengine tuna watoto wa nne, tegemezi watatu halafu hatuna kazi, biashara zimekufa na mke haelewi kama unahali mbaya....... Nimeamini ndo mana wanaume wanakufa mapema
ShukraniPole sana mkuu.
Amenutainuka tu hivi karibuni, amini nakuambia.
Kama shemeji yupo unayatoa wapi? .....sema natania, sometimes yes.Sasa hivi sio nyie tu mna mateso mkuu hata wanawake tuna mateso kama nyie mkuu .najua unajua ika unajitoa ufahamu tu😒
Hujui wanaume sasa hv wanapenda kulelewa?mnakwepa majukumu balaa....mfe tuKama shemeji yupo unayatoa wapi? .....sema natania, sometimes yes.
Hao sio wanaume sister, japo majukumu kusaidiana.Hujui wanaume sasa hv wanapenda kulelewa?mnakwepa majukumu balaa....mfe tu
Karibu sana mkuuMkuu nipo, nimechungulia kidogo. Ntakuja pm kukusalim mkuu wangu.
Wangari unamateso?
Just a strong women ndo wanaweza kuteseka kivyao, nimeona.Not only men....bt...
AminaMungu akufanyie wepesi ndugu yangu.