Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!

Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!

Huyu Profesa...Milioni 10 pesa ya mboga.

Prof. Tibaijuka
alipokuwa madarakani alitaka kuuza sehemu ya Kigamboni kwa mwekezaji,kwa ajili ya Mradi wa Kigamboni New City project.

Magufuli aliufuta.Mradi.
Unaacha kujadili hoja yake unaongea story ambazo haziko mezani.Tujadili hoja iliyoko mezani ambayo ni mkataba wa DP world
 
DPW hatakabidhiwa Bandari zote, wala Bandari yoyote, watakabidhiwa tuu zile Beth za makontena zilizokuwa chini ya Ticks kwenye bandiko moja tuu ya Dar es Salaam,
P
It doesn't matter where and what DP World is entrusted with, the most important question here is what agreement is DP World entrusted with?

The issue is contract and not foreign investment in our ports.
 
Wazenji huwa hawajiamini ni hadi wamuweke mtu mweupe mweupe mbele, wameedhirika na historia ya utumwa.

Mfano mwarabu hakai foleni zenji.
Kwenye kikao atatafutwa mwarabu japo teja akae meza ya mbele hata kama hajui aseme nini.
Kazi yoyote hawajiamini hadi wafanyiwe na mweupe (mwarabu au muhindi).
 
Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga

Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi

Mlale unono!

Hawa watu waishatoka kwenye asali ndiyo wanakuwa na mitazamo +ve.
 
Atalamba muda sio mrefu anyamaze kama wenging'ombe
Wazenji huwa hawajiamini ni hadi wamuweke mtu mweupe mweupe mbele, wameedhirika na historia ya utumwa.

Mfano mwarabu hakai foleni zenji.
Kwenye kikao atatafutwa mwarabu japo teja akae meza ya mbele hata kama hajui aseme nini.
Kazi yoyote hawajiamini hadi wafanyiwe na mweupe (mwarabu au muhindi).

Wazenji hawajui kuiba, hubeba vyote mchana peupeee😂😂😂
 
Tumeshasikia kauli hizi kutoka kwa wanasiasa hapa nchini katika vipindi tofauti. Tunataka kuifanya Zanzibar iwe Singapore au Tanzania iwe Dubai ya Afrika. Hivi kweli unaweza kutimiza azma hiyo kwa kuitumia Dubai? Ni seme hivi Dubai inaweza kukusaidia uwe mshindani wake ama uishinde kibiashara? Dubai inaweza kuwa na majuha kiasi hicho.

Wanasiasa wametumia kigezo cha wafanyakazi wa bandari kuwa wala rushwa sana kiasi cha kuhujumu ufanisi wa bandarini. Je kwenye siasa na wanasiasa hakuna rushwa? Rushwa ya wanasiasa haisababishi kuharibika ufanisi wa mambo nchini?
 
Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga

Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi

Mlale unono!
Huyu mama asipologwa sijui !
 
Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga

Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi

Mlale unono!
"Utarekebishwa" vipi wakati Bunge limekwisha ridhia?

Ni nani atarekebisha?

Ukirekebishwa utapelekwa tena Bungeni?
 
DPW hatakabidhiwa Bandari zote, wala Bandari yoyote, watakabidhiwa tuu zile Beth za makontena zilizokuwa chini ya Ticks kwenye bandiko moja tuu ya Dar es Salaam,
P
Unapotosha.

Kwenye ule mkataba, Part 2 General Obligations, na Article 2 ya ule mkataba, pale kwenye Objectives of the Agreement, panatamka wazi kabisa, Waarabu wamekabidhiwa ports zote za maziwa na bahari waziendeshe Tanzania Bara yote, tangu October 2022.

Wanaziendesha kwenye maeneo yafuatayo kulingana na makubaliano;

Development, improvement, management, and operation of lake ports, special economic zones, logistic parks, trade corridors...

Inshort, Samia msaliti amewakabidhi wajomba zake kila kitu kwenye bandari zetu zote Tanzania bara.
 
Back
Top Bottom