imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Haina maana kuwa ni ya bure, labda muanze kukopesha mitaji isiyo na riba.nchi yetu ina maeneo mengi wazi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina maana kuwa ni ya bure, labda muanze kukopesha mitaji isiyo na riba.nchi yetu ina maeneo mengi wazi,
Hata ukipewa mtaji kwa hali ya kibiashara ya Bongo tabu tupu. Labda ufanye biashara isiyo rasmi ukijidanganya kurasimisha tu unakutana na rungu la TRA na nduguze.Haina maana kuwa ni ya bure,labda muanze kukopesha mitaji isiyo na riba.
Tusipende kulaumu sana wakitupa mitaji tuchangamkie fursa.Hata ukipewa mtaji kwa hali ya kibiashara ya Bongo tabu tupu. Labda ufanye biashara isiyo rasmi ukijidanganya kurasimisha tu unakutana na rungu la TRA na nduguze.
Bongo ukitaka kutoboa kama huna pesa ya kujitosheleza anza kufanya biashara isiyo rasmi. Ukijiingiza tu kwenye system huku biashara haijasimama ni kujikaanga.Tusipende kulaumu sana wakitupa mitaji tuchangamkie fursa.
Unafiki wetu ndio unaotuangamiza msomi akipata kazi TRA anakandamiza Wafanyabiashara akikosa kazi ya Serikali anaogopa kujiajiri kwa kujua TRA itakuja kumkandamiza na Kodi zake za kinyonyaji.Bongo ukitaka kutoboa kama huna pesa ya kujitosheleza anza kufanya biashara isiyo rasmi. Ukijiingiza tu kwenye system huku biashara haijasimama ni kujikaanga.
Bro I speak from experience nipo na mwanangu tumeanzisha kikampuni chetu, hizo gharama tulizoingia kuanza kurasimisha from registration mpaka kupata leseni, then kumaliza na mambo ya TRA. Ni mchakato mrefu sana na unachosha kuna muda tunasema bora tungeanza kibubububu kwanza.Unafiki wetu ndio unaotuangamiza msomi akipata kazi TRA anakandamiza Wafanyabiashara akikosa kazi ya Serikali anaogopa kujiajiri kwa kujua TRA itakuja kumkandamiza na Kodi zake za kinyonyaji.
Unafiki ndio unaotumaliza.
Yaani tangu ujana wake, tangu enzi za utawala wa Mwalimu Nyerere! mpaka leo ni bibi kikongwe! Bado anakula tu hela za serikali. Halafu eti mtu huyo huyo leo anapata kabisa ujasiri wa kuwashauri vijana kujiajiri!huyu mama amekuwa kwenye ajira tangu apate akili hadi leo , mbona hakutoka ili akajiajiri ?
Wewe jamaa ulitakiwa uwe mkufunzi wa Chuo Kikuu cha Harvard huko! adriz mshauri huyu jamaa akachukue PhD yake haraka pale SAUT, ili tuje tumpe nchi!Serikali haitengenezi Ajira isipokuwa inaweka Sera nzuri ambazo zitachochea Uwekezaji ambako huko kunaweza kupatikana Ajira nyingi za Kutosha...