Anne Makinda awataka vijana kujitafutia ajira

Kilimo...? mtu analima mboga mboga zake hekari 10 anakaribia kuvuna then serikali inaziharibu kisa kalima sehemu isiyoruhusiwa.... WTH
 
Hakuna jambo linaloniudhi mimi kama hawa viongozi kusimama na kuwaambia vijana wawajiajir wenyewe bila ya kuweka wazi ni ajira gani wanazozisema na mtu atawezaje kujiajiri bila ya kuwa na mtaji? Ningelipenda sana tena sana kumsikia huyu bibi akizitaja areas ambazo vijana wataweza kujiajiri bila ya kuwa na kipato. Unategemea mtu aanze kujiajiri kwa kuchukuwa mkopo kutoka benki gani? Ni benki gani nchini ambayo iko tayari kutoa mamilioni ya mkopo kwa kijana ambae hana ajira, hana mtaji wala hata kibanda cha kuishi na hakuna uhakika kuwa mradi wake utaweza kurudisha mkopo? Hivi hawa viongozi wanaambia maneno hayo hayo watoto wao? Au wao ndio huwaendea mbio kila mahali na kutumia umaarufu wao kuwapatia kazi serikalini na katika mashirika ya umma?

Si mlishaambiwa kama ni kweli kujiajiri ni rahisi ni kwa nini nyinyi wenyewe ambao mna ma PhD na madude mengine mumenshindwa kujiajiri na mumekimbilia kwenye siasa? Ni kwa nini maprofesa na wahitimu tele wa fani toka za sheria hadi elimu mnakimbilia nafasi za bungeni na hamuanzishi ajira zenu wenyewe?

Ajira pekee ambayo kijana wa mtanzania mlala hoi ambayo anaweza kujiajiri ni ya kuiba, kutapeli watu, kuuza madawa ya kulevya au kuwa malaya mitaani kwa sababu ajira hizo hazihitaji mtaji kuanzisha. Oh well labda muuza madawa ya kulevya atahitaji mtaji lakini ni mdogo sana wa kuanzia.
 
Mwanao Moris Makinda, ambaye Hata baba yake hajulikani aliko alijitafutia ajira mwenyewe?
Huyo Moris atakuwa mtoto baadaye sana maana huyo mama Makinda wakati yupo UDSM alitoa mimba, wazee wa Punching anawajua sana jinsi walivyomdhalilisha kwa hilo tukio lake.
 
Wakongwe wang'atuke,wameshapata misingi tayari.Huyu kijana amemaliza Chuo hana ardhi wala mtaji, anawezaje kujiajiri na bank wanataka security

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwani ajira itapatikana vipi wakati kuna school of law inatema watu, ambao wangejiajiri japo nao wana kasoro zao
 
Moris makinda alikuwa zero akiwa private school moja huko arusha na alimaliza Form four 1987 .
Baada ya hapo alipelekwa ulaya na hana na hawezi kufanya chochote iwe biashara ila ameajiriwa eneo nyeti hapa nchini
Sasa kuna haja gani ya kunianika humu? Hujanitendea haki kabisa.

Kwanza iko wapi picha ya ghorofa arobaini maji ya chai Arusha?
 
Wewe jamaa ulitakiwa uwe mkufunzi wa Chuo Kikuu cha Harvard huko! adriz mshauri huyu jamaa akachukue PhD yake haraka pale SAUT, ili tuje tumpe nchi!

This fella is a genius, talented and bright! Ona haya madini aliyomwaga hapa jukwaani!
Jamaa GENTAMYCIME yuko vizuri sana,mm binafsi namkubali sana

Ova
 
Tena wangeanza kwenye kilimo huko
Waweke nguvu zote,waachane na kujengajenga mambo ambayo hayana faida kwa raia

Ova
 
Hahahahahajhahahaja Hahaha
Nmecheka mpaka konyagi imemwqgika hapa

Ova
 
Nilitaka kumtukana lakini kwa kuwa ni Mama basi bora nikae kimya tuu.
Kweli mama wewe ni kusema hivi?
 
Swala la Ajira ni Swala la Serikali wasilikimbie. Nchi kuwa na vijana Jobless ni aibu kwa Serikali.

Wawalazimishe watu wastaafu serikalini kwa wale bmving'ang'nizi wawaweke vijana.

Kama Serikalini nafasi zimejaaa wawalete wawekezaji wengi zaidi na wawapunguzie kodi ila wawekeze kwa Wingi hapa Tz na vijana wote wapate Ajira.

Tukiwa na Ajira vijana wote Serkali itapata Kodi nyingi.
 
Yeye ajira aliitafutia wapi? Tumeanza kumsikia tungali tumboni mwa mama zetu anakula pesa ya serikali mpaka sahizi tunasubilia wajukuu yeye yupo tu au anasubilia mpaka meno yang'oke mdomoni, watu wengine jamani.
 
Mbona yeye ameajiriwa na maraisi wa awamu zote na hajawahi kataa?
Hebu atulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…