Jiwe asingesogezwa alikua anakwenda kukamilisha utatu mtakatifu pale EACSi bora CCM walau Rais anabadirika baada ya miaka 10, sasa tangu 2000 sura ni ile ile tena anaongoza kwa mkono wa chuma. Waliozaliwa 2000 leo hii wapo Vyuo vikuu hawajui hata kama kuna uwezekano wa Rais akachaguliwa mwingine zaid ya PAKA.
Rwanda na Uganda ni pacha lakini afadhali zaidi Uganda, Museveni siyo mbabe kiwango cha PAKA
Wewe ni mjingaMdada mzuri kama huyu kuwa mwanaharakati ni kujitakia balaa. The same nawaambia kina Maria Sarungi na Acheni mambo ya kujifanya wanaharakati wakati hao mnaowapigania wenyewe hawajui kujipigania.
Huyo dada ameteseka sana yeye na familia yake yeye na mama yake wamekaa ndani muda mrefu lakini pale Rwanda hakuna mwananchi aliyepaza sauti kuwatetea.
Hawa kina Mwabukusi pia nawaasa nchi hii unapoteza muda kujifanya unatetea sijui haki sijui nini wewe pambania familia yako na ndugu zako tena wa karibu. Mambo ya kufanya unatetea haki za wanyonge kwa hizi nchi za kusini mwa jangwa la sahara bado sana utaumia utakufa unaacha familia yako iliyokuwa inakutegemea.
Lissu na Mbowe wameanza kugundua hili, siku hizi wanafanya siasa kwa afya sio kujitesa.
Tena kwny siasa wanawake Ni wakuogopwa Sana[emoji4]unamuua mwanamke mzuri hivi kwa sababu ya siasa
Yes, itakuwa ndio huyo.Alikaa kidogo akapata exile USA
Utakuwa unamsema Victoire Ingabire,Huyu yupo ndani bado
Scorpio ♏️ 🦂 Wana kisasi sana aisee! Fuatilia aina ya watawala walio katika kundi nyota hili utaelewa, Ingawa pia Maturity Soul zina wema mwingi mno, anyaway nature iko hivyo ili maisha yapate balance lakini yote katika yote kila mmoja atalipa Karma yake kwa wakati wake.View attachment 2856263
View attachment 2856340
Anne Rwigara wa Rwanda amefariki dunia huku Mamake Anne alinukuliwa akisema kifo cha bintiye kilikuwa "fumbo" kwani hakuwa mgonjwa.
Vyanzo kadhaa vinashiriki maelezo ya kuhuzunisha ya kifo chake, vikidai kwamba baada ya masaa nane ya kulalamika kuhusu maumivu ya tumbo, viungo vingi vya mwili wake vilishindwa kifanya kazi. Hatua hiyo inachochea uvumi wa sumu kuwa huenda aliwekewa sumu
Huku uchaguzi wa Rwanda ukikaribia, Watumiaji wengi wa mitandao ya Kijamii wanaelezea wasiwasi wao kwamba kifo chake kinaweza kuwa jaribio la kuzima sauti za upinzani kabisa, hata kama Jumuiya ya Kimataifa inaangalia kwa karibu maendeleo katika nchi ya Rwanda
Hii Familia ya Rwigara iliingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na Rais Kagame baada ya Diane ambaye ni Dada wa Anne kutangaza nia ya Kumpinga kwenye uchaguzi. Kwanza walikamatwa na kuwekwa gerezani, walinyang’anywa utajiri wa familia yao ikiwa ni pamoja na Kiwanda chao cha Tumbaku. Na wakowa gerezani inadaiwa walikuwa wakipatiwa mateso
Historia Fupi
Baba yake inadaiwa aliuawa katika ‘ajali ya gari iliyotengenezwa’ Mwaka 2015, baadaye dada yake mkubwa Diane Rwigara aliingia katika siasa za Rwanda na kutangaza kugombea urais; kwa bahati mbaya aliwekwa gerezani na Kagame kwa kujaribu kumpinga; baadae Mama yake na Anne mwaka 2017 pia waliwekwa gerezani kwa kusema juu ya mateso ya familia yao na baada ya hapo Waliachiwa na kukimbilia uhamishoni, Marekani.
Mwenyezi Mungu aipe haki familia ya Rwigara na Wanyarwanda wote wanaoteseka mikononi mwa utawala wa Kagame Rwanda.
View attachment 2856264
Mzee wa kataa Ndoa unataka kusemaje hapooo😅😅😅dah, dada mzuri kweli
Hata wewe ulihusika na siasa chafu nchini hasa humu JF nakukumbusha jinai haiozi, kiko wapi kiburi chako jeuri zako sahizi umekuwa mpole baada ya kutupwa na mfumo tuishi kwa wema tukumbukwe kwa wema🤝🤝Siasa mbaya sana
😅😅Sio kwamba naunga mkono ,hata baba yake huyo mwanamke nae kafinywa .Mjinga wewe
Ni hatari sanaJiwe asingesogezwa alikua anakwenda kukamilisha utatu mtakatifu pale EAC
Huoni sahizi amekuwa mtu wa kurukiarukia post tu, tofauti na nyuma anavowaambia akan ben sananeMfumo ulimkataa Mwamba!!
Halafu huyu kafia 🇺🇸 na habari ni nusuNadhani tunamchanganya na Dianne Rwigara .Aliyetiwa kwenye misukosuko na Mama yake alikua ni Dianne baada ya kutaka kugombea Urais mbele ya dikteta Paul Kagame
Wewe na nyeto ni pete na kidole, katibu wetu umekosa nini mpaka unatishia kuacha nyeto?asingemuua, anigeniletea mimi Chanika huku niache nyeto
Acha yauane hayo yote roho mbayaSasa kwanini wanamuacha aendele na kuuwa wanyarwanda.
Watanzania mnajifanya kumhurumia huyo bimdada kana kwamba ni mambo mageni Bongo.View attachment 2856263
View attachment 2856340
Anne Rwigara wa Rwanda amefariki dunia huku Mamake Anne alinukuliwa akisema kifo cha bintiye kilikuwa "fumbo" kwani hakuwa mgonjwa.
Vyanzo kadhaa vinashiriki maelezo ya kuhuzunisha ya kifo chake, vikidai kwamba baada ya masaa nane ya kulalamika kuhusu maumivu ya tumbo, viungo vingi vya mwili wake vilishindwa kifanya kazi. Hatua hiyo inachochea uvumi wa sumu kuwa huenda aliwekewa sumu
Huku uchaguzi wa Rwanda ukikaribia, Watumiaji wengi wa mitandao ya Kijamii wanaelezea wasiwasi wao kwamba kifo chake kinaweza kuwa jaribio la kuzima sauti za upinzani kabisa, hata kama Jumuiya ya Kimataifa inaangalia kwa karibu maendeleo katika nchi ya Rwanda
Hii Familia ya Rwigara iliingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na Rais Kagame baada ya Diane ambaye ni Dada wa Anne kutangaza nia ya Kumpinga kwenye uchaguzi. Kwanza walikamatwa na kuwekwa gerezani, walinyang’anywa utajiri wa familia yao ikiwa ni pamoja na Kiwanda chao cha Tumbaku. Na wakowa gerezani inadaiwa walikuwa wakipatiwa mateso
Historia Fupi
Baba yake inadaiwa aliuawa katika ‘ajali ya gari iliyotengenezwa’ Mwaka 2015, baadaye dada yake mkubwa Diane Rwigara aliingia katika siasa za Rwanda na kutangaza kugombea urais; kwa bahati mbaya aliwekwa gerezani na Kagame kwa kujaribu kumpinga; baadae Mama yake na Anne mwaka 2017 pia waliwekwa gerezani kwa kusema juu ya mateso ya familia yao na baada ya hapo Waliachiwa na kukimbilia uhamishoni, Marekani.
Mwenyezi Mungu aipe haki familia ya Rwigara na Wanyarwanda wote wanaoteseka mikononi mwa utawala wa Kagame Rwanda.
View attachment 2856264
Akifa yeye anarithisha Watoto tayari mmjawapo.ndio.kiongozi wa kikosi Cha kimlinda Rais.Wanyarwanda wanajua kabisa huyo mtu wao hapingwi, bado wanajitokeza waziwazi kumpinga mfalme wao wa kudumu. Wasubiri afe ndio waanzishe harakati zao la sivyo watamalizwa
Ange au alishawafikisha? Pona pona ya nyie Wapinzani ni kwamba bwana yule alikuwa ba betri vinginevyo mungesaga meno.Magufuli angetufikisha hapa