TANZIA Anne Rwigara afariki dunia. Ni dada wa Diane aliyejaribu kugombea Urais dhidi ya Kagame. Mama asema kifo hicho ni fumbo

TANZIA Anne Rwigara afariki dunia. Ni dada wa Diane aliyejaribu kugombea Urais dhidi ya Kagame. Mama asema kifo hicho ni fumbo

Si bora CCM walau Rais anabadirika baada ya miaka 10, sasa tangu 2000 sura ni ile ile tena anaongoza kwa mkono wa chuma. Waliozaliwa 2000 leo hii wapo Vyuo vikuu hawajui hata kama kuna uwezekano wa Rais akachaguliwa mwingine zaid ya PAKA.

Rwanda na Uganda ni pacha lakini afadhali zaidi Uganda, Museveni siyo mbabe kiwango cha PAKA
Jiwe asingesogezwa alikua anakwenda kukamilisha utatu mtakatifu pale EAC
 
Mdada mzuri kama huyu kuwa mwanaharakati ni kujitakia balaa. The same nawaambia kina Maria Sarungi na Acheni mambo ya kujifanya wanaharakati wakati hao mnaowapigania wenyewe hawajui kujipigania.
Huyo dada ameteseka sana yeye na familia yake yeye na mama yake wamekaa ndani muda mrefu lakini pale Rwanda hakuna mwananchi aliyepaza sauti kuwatetea.
Hawa kina Mwabukusi pia nawaasa nchi hii unapoteza muda kujifanya unatetea sijui haki sijui nini wewe pambania familia yako na ndugu zako tena wa karibu. Mambo ya kufanya unatetea haki za wanyonge kwa hizi nchi za kusini mwa jangwa la sahara bado sana utaumia utakufa unaacha familia yako iliyokuwa inakutegemea.
Lissu na Mbowe wameanza kugundua hili, siku hizi wanafanya siasa kwa afya sio kujitesa.
Wewe ni mjinga
Nyerere NAE angesema hivyo asingekuwa mwanaharakati WA kupigania uhuru Licha ya Elimu yake nzuri kipindi hicho,wewe ni mbinafsi mno
 
View attachment 2856263
View attachment 2856340

Anne Rwigara wa Rwanda amefariki dunia huku Mamake Anne alinukuliwa akisema kifo cha bintiye kilikuwa "fumbo" kwani hakuwa mgonjwa.

Vyanzo kadhaa vinashiriki maelezo ya kuhuzunisha ya kifo chake, vikidai kwamba baada ya masaa nane ya kulalamika kuhusu maumivu ya tumbo, viungo vingi vya mwili wake vilishindwa kifanya kazi. Hatua hiyo inachochea uvumi wa sumu kuwa huenda aliwekewa sumu

Huku uchaguzi wa Rwanda ukikaribia, Watumiaji wengi wa mitandao ya Kijamii wanaelezea wasiwasi wao kwamba kifo chake kinaweza kuwa jaribio la kuzima sauti za upinzani kabisa, hata kama Jumuiya ya Kimataifa inaangalia kwa karibu maendeleo katika nchi ya Rwanda

Hii Familia ya Rwigara iliingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na Rais Kagame baada ya Diane ambaye ni Dada wa Anne kutangaza nia ya Kumpinga kwenye uchaguzi. Kwanza walikamatwa na kuwekwa gerezani, walinyang’anywa utajiri wa familia yao ikiwa ni pamoja na Kiwanda chao cha Tumbaku. Na wakowa gerezani inadaiwa walikuwa wakipatiwa mateso

Historia Fupi

Baba yake inadaiwa aliuawa katika ‘ajali ya gari iliyotengenezwa’ Mwaka 2015, baadaye dada yake mkubwa Diane Rwigara aliingia katika siasa za Rwanda na kutangaza kugombea urais; kwa bahati mbaya aliwekwa gerezani na Kagame kwa kujaribu kumpinga; baadae Mama yake na Anne mwaka 2017 pia waliwekwa gerezani kwa kusema juu ya mateso ya familia yao na baada ya hapo Waliachiwa na kukimbilia uhamishoni, Marekani.

Mwenyezi Mungu aipe haki familia ya Rwigara na Wanyarwanda wote wanaoteseka mikononi mwa utawala wa Kagame Rwanda.

View attachment 2856264
Scorpio ♏️ 🦂 Wana kisasi sana aisee! Fuatilia aina ya watawala walio katika kundi nyota hili utaelewa, Ingawa pia Maturity Soul zina wema mwingi mno, anyaway nature iko hivyo ili maisha yapate balance lakini yote katika yote kila mmoja atalipa Karma yake kwa wakati wake.
 
View attachment 2856263
View attachment 2856340

Anne Rwigara wa Rwanda amefariki dunia huku Mamake Anne alinukuliwa akisema kifo cha bintiye kilikuwa "fumbo" kwani hakuwa mgonjwa.

Vyanzo kadhaa vinashiriki maelezo ya kuhuzunisha ya kifo chake, vikidai kwamba baada ya masaa nane ya kulalamika kuhusu maumivu ya tumbo, viungo vingi vya mwili wake vilishindwa kifanya kazi. Hatua hiyo inachochea uvumi wa sumu kuwa huenda aliwekewa sumu

Huku uchaguzi wa Rwanda ukikaribia, Watumiaji wengi wa mitandao ya Kijamii wanaelezea wasiwasi wao kwamba kifo chake kinaweza kuwa jaribio la kuzima sauti za upinzani kabisa, hata kama Jumuiya ya Kimataifa inaangalia kwa karibu maendeleo katika nchi ya Rwanda

Hii Familia ya Rwigara iliingia kwenye mgogoro mkubwa zaidi na Rais Kagame baada ya Diane ambaye ni Dada wa Anne kutangaza nia ya Kumpinga kwenye uchaguzi. Kwanza walikamatwa na kuwekwa gerezani, walinyang’anywa utajiri wa familia yao ikiwa ni pamoja na Kiwanda chao cha Tumbaku. Na wakowa gerezani inadaiwa walikuwa wakipatiwa mateso

Historia Fupi

Baba yake inadaiwa aliuawa katika ‘ajali ya gari iliyotengenezwa’ Mwaka 2015, baadaye dada yake mkubwa Diane Rwigara aliingia katika siasa za Rwanda na kutangaza kugombea urais; kwa bahati mbaya aliwekwa gerezani na Kagame kwa kujaribu kumpinga; baadae Mama yake na Anne mwaka 2017 pia waliwekwa gerezani kwa kusema juu ya mateso ya familia yao na baada ya hapo Waliachiwa na kukimbilia uhamishoni, Marekani.

Mwenyezi Mungu aipe haki familia ya Rwigara na Wanyarwanda wote wanaoteseka mikononi mwa utawala wa Kagame Rwanda.

View attachment 2856264
Watanzania mnajifanya kumhurumia huyo bimdada kana kwamba ni mambo mageni Bongo.

Mara hii mumesahau ilivyokuwa miaka 3 Iliyopita? Acheni unafiki.
 
Wanyarwanda wanajua kabisa huyo mtu wao hapingwi, bado wanajitokeza waziwazi kumpinga mfalme wao wa kudumu. Wasubiri afe ndio waanzishe harakati zao la sivyo watamalizwa
Akifa yeye anarithisha Watoto tayari mmjawapo.ndio.kiongozi wa kikosi Cha kimlinda Rais.

Hako.Kanchi ni Mali binafsi ya familia ya Kagame kama Kina Kim wanavyomiliki.N.Korea.
 
Magufuli angetufikisha hapa
Ange au alishawafikisha? Pona pona ya nyie Wapinzani ni kwamba bwana yule alikuwa ba betri vinginevyo mungesaga meno.

Sio tuu Wapinzani hata wengine wote ambao wangejaribu kupinga chochote ndio maana alianza kupora watu pesa,kubanbikia Kodi ,kupekua account za watu na upuuzi mwingine kama huo.

Leo hii mnamtukana Samia wakati mlikimbia familia zenu?
 
Back
Top Bottom