TANZIA Anne Rwigara afariki dunia. Ni dada wa Diane aliyejaribu kugombea Urais dhidi ya Kagame. Mama asema kifo hicho ni fumbo

Usiwacheke. Sisi hapa ccm inatusumbua tangu 1977. Heri ya Rwanda Kagame kaanza kuwatesa mwaka 2000
Si bora CCM walau Rais anabadirika baada ya miaka 10, sasa tangu 2000 sura ni ile ile tena anaongoza kwa mkono wa chuma. Waliozaliwa 2000 leo hii wapo Vyuo vikuu hawajui hata kama kuna uwezekano wa Rais akachaguliwa mwingine zaid ya PAKA.

Rwanda na Uganda ni pacha lakini afadhali zaidi Uganda, Museveni siyo mbabe kiwango cha PAKA
 
Kuna kipindi niliwahi ona mipicha picha yake ya bila nguo kwenye makochi na sehemu kadhaa .... nadhani kipindi iko alikuwa anataka wania uongozi fulani na alikuwa tishio sana
 
Ebu jipe muda utafute taarifa nyingi kumhusu kabla ya kujenga hoja, maana kwa ninavyokuhisi hata suala Entebbe unaweza kusema alisingiziwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…