Anniversary ya miaka 15 na mke wa mtu

kama mna watoto basi kuna sehemu mtu anahudumia watoto wasio wake either huko kwa mchepuko wako ama kwa mke wako...... anyway Happy Universally Mkuu.
 
Komaa umjue Mchepuko wa mkeo,huenda yeye amekuzidi miaka na mchepuko wake bila wewe kumstukia.

Hili kitaalamu tunaliita "DENI".
 
usikute wife naye katoka kusheherekea anniversary yake ya 16 years somewhere out there,

hujiulizi umewezaje kukaa miaka yote hiyo bila kushtukiwa,

maji yaliyotulia ndiyo yenye kina kirefu mkuu……………….

ulimwengu huu banah 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ina maana hata kanisani au msikitini haendi kwa muda wa miaka 15,au hata kama anaenda ni katika tu kuonekana na yeye anaabudu,ninavyojua mimi kabla ya kuingia kwenye ibada yoyote lazima kwanza ufanye toba ndio uendelee,sasa huyu yeye alikuwa anafanya toba gani wakati ana mchepuko kaushikilia kwa miaka 15 na bado hana mpango wa kuuacha...!
 
Ukute na mkeo naye ana anniversary yake huko nje yako haioni ndani
 
Bro wivu yani kama yote. Kwanza hawezi toka na mumewe out bila ya ruhusa yangu. Kuna wakati tunagombana ndugu wanatuweka chini kutupatanisha.
Eeeee,yaani hadi ndugu wanajua ufuska wenu???sio bure kuna shida mahali
 
Lau Kama ningekua sijaoa sijui ingekuaje kwa ipande wangu kuhusu ndoa, maana mada za hapa jf Ni dhahiri bila Shari swala la ndoa halitakua lepesi kwa ambae hajaingia huko kuingia.
 
Kamati ya wachepukaji Tanzania imekuandalia noble prize kwa hilo.

Tunakutakia kila la kheri kwenye shughuli yako hiyo tar 5th May 2021.
Mwambieni awe anatembea na mafuta kabisa,kuna siku yaja atakapoinamishwa na kisha kuingiziwa mashine kinyume na maumbile a.k.a kutatuliwa marinda.Mke wa mtu sumu.
 
Sasa si umuoe tu, kwa nini waficha ficha
 
Eeeee,yaani hadi ndugu wanajua ufuska wenu???sio bure kuna shida mahali

Kitu cha kawaida sana hicho, am sure watu wengu humu wanafanya ila unafiki ni mwingi sana.
The rate of infidelity is too high sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…