financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hahah...Waatuuuu,
Ule mchepuko wako wa kipindi kile bado mnaendelea au mmeachana...!.!??π π
Kilichojificha/kilichofichwa kina hamu na ushawishi mkubwa wa kuonwa/onjwa/kuliwa halafu ni kitamu vs kilicho wazi/free/ available..
Hahah...
Mchepuko dawa yake ni kuuhalalisha tu uwe njia kuu...we si unaona hata serikali inapambana kuongeza upana wa barabara!
Bafana Bafana...!
Kuna siku jirani mwenye ugwadu alitaka kunifanya mchepuko baada ya kushikwa na ugwadu...
Kaja nigongea mlangoni usiku wa manane anaazima pasi.....!!π³π³π³
Nikamwambia imeeksipaya π
Nikavuta shuka nikaendelea kulala hadi asubuhi.
Ikishindikana tutatumia TAN BONDTafuta samli kabisa Mkuu ππππ
ππππkubabeki
ππππkubabeki
Ungempa ile ya mkaa yenye kijogoo kwa mbele akapambane nayo huo usiku mnene...
By the way Kasinde kwa mahaba uliyoumbwa nayo, wafaa sana kuwa njia ya kando π€Έπ€Έπ€Έ
Eti njemba nayo ina mke wakati mke hafanyi chochote bila ruhusa ya mchepuko. Mume anataka papuchi leo...,,usimpe si unajua tuna kutana weekend? Mwambie wewe unaumwa tukishakutana weekend ndiyo unaweza kumpa ππππππ
π π π π π embu imagine na wewe....15 fckn yrs si mchezoHapo kachoropoa mimba tatu zezeta hilo halijui chochote hahahahahaha nacheka kama mazuri!!!!
π π π π π embu imagine na wewe....15 fckn yrs si mchezo
Kuna siku niliskia tukio kama hili clouds mpka wakabadilishana mwenyr mke akaondoka na mke wa jamaa na yule jamaa akaondoka na huyu mdada.Duh 15yrs? Sasa si muachane tu na hizo ndoa zenu mhalalishe huo uchepukaji uwe ndoa? Na huenda hata mke wako na mume wake mchepuko wako wanapendana pia sasa why don't you do cross multiplication? π€
DaaEti njemba nayo ina mke wakati mke hafanyi chochote bila ruhusa ya mchepuko. Mume anataka papuchi leo...,,usimpe si unajua tuna kutana weekend? Mwambie wewe unaumwa tukishakutana weekend ndiyo unaweza kumpa ππππππ
Na kimboIkishindikana tutatumia TAN BOND
Muhimu sana washel lazma ipakwe grisi kidogoNa kimbo
Mada zinavunja moyo mda wote unaeza rudi home ukanza mwangalia mwezio vibayaLau Kama ningekua sijaoa sijui ingekuaje kwa ipande wangu kuhusu ndoa, maana mada za hapa jf Ni dhahiri bila Shari swala la ndoa halitakua lepesi kwa ambae hajaingia huko kuingia.
Yan uanweza ukaangalia story za jf ukajikuta unamtizama jamaa ako na kujiuliza hivi kwel nae hana ambae wanaenda kufikisha 20yrs of anniversary. Yan dunia ina mengiMuhimu sana washel lazma ipakwe grisi kidogo
Sasa mkeo anekukosea nini kikubwa mpaka uwe na mchepuko muda mrefu hivyo? Na huyu mchepuko wako mumewe amemkosea nini?Bro wivu yani kama yote. Kwanza hawezi toka na mumewe out bila ya ruhusa yangu. Kuna wakati tunagombana ndugu wanatuweka chini kutupatanisha.