Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Pia apitie sehemu ya 7 ya grand ziggurat of Ur, iliyokuwa ikitumiwa na Abraham hili kuthibitisha hiki ulichokiandika hapa.
 
mtukane Hata ki Hindi ebooo
Islamabad
Alaaaaa
Bangladesh!
Upo upo tu
Instabul!

Hayo matusi unapoyatamka uwe unayavuuutaaaa yanasaund vizuri!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kitu ambacho mpaka Sasa natamani nijue man Ni Nani mkali au mkuu mkubwa wa kila kitu kwa vyote yaaani!!
Na maanisha aliyewaumba hao miungu wote akina anunakki(Yesu,Allah,budhaa,etc..) Ni Nani huyo au yupo nje ya fikra zetu?
 
Mkuu hivi hao majamaa walivyokuja huku hawakukuta hata bahari au ardhi yenye majani? Kama wamekuta viliumbwa na nani?
 
Halafu; Kama walikuja kuchimba dhahabu, inamaana basi dhahabu kuna alieziumba ( aliefanya ziwe hapo) nae huyo mwenye ukuu kupita wao mpaka wana haja na vitu vyake ni nani? maana tumeambiwa vitu havitoki tu from no where[emoji849][emoji849][emoji849]
Yeah.. it's like that
 
Do not attack her like this!,anachomaanisha hizohizo process mpk kufikia kufanyika dhahabu. Kama hao annunaki wangekuwa na maarifa zaidi wangeweza pia kuzitengeneza na sio kuzitafuta!.
Kiufupi annunaki hawana sifa ya Uungu kwa asilimia mia.
 
Ah Kenzy!!

Mtu = Robots
Dhahabu = Mars
Annunaki = Elon

Hii ndio maana yangu kweye swali lako sehemu ya dhahabu uliza why elon awekeze kwenye robots kwenda Mars (Mtu kuchimba dhahabu) na sio Elon kutengenza Mars (Annunaki kutengeneza dhahabu).
Itachukua gharama kubwa sana ambayo kuimudu ni mzigo wa kubeba jua Kama binadamu akitengeneza mars!.. vivyohivyo kwenye dhahabu inachukua gharama kubwa sana kutengeneza dhahabu kwenye maabara kiasi kwamba hata ukitaka kuiza huwezi pata faida maana hakuna atakaenunua nakuacha hizo zinazojiunda physically ambazo hupatikana kwa sisi kuzitafuta tu.

Sasa swali langu linageuka tena ila hili sijui wanijibu annunaki wenyewe..πŸ˜‚
Ni kivipi na wao hawawezi ku afford gharama za kutengeneza dhahabu..?
Ikiwa wanaweza kutumia gharama kiasi cha kuweza kutoka sayari yao mpk yetu kwa wakati huo kupi Kuna gharama zaidi..??

Haya maswali ngoja nikaushe tu maana kupata majibu mpk niwapate annunaki..πŸ˜‚
 
Jibu la hili swali lazma ujue ni kiasi gan cha dhahabu waliondoka nacho na kwann dhahabu na sio madin mengne?
Unaweza kuta dhahabu walizoondoka nazo ni nyingi kuliko uwekezaji walioufanya na wenda kwenye ulimwengu wao dhahabu thamani ni kubwa kuliko ss tunavyo fikria.
 
swal lang dogo.
je viumbe wengime samak,panz chura nao waliumbwa na nani?
mifumo yao madhubut ya uumbwaji wao
mfano Nzi(musca domestica) ni sayans ipi ambayo imeweza kuumba bawa lake tu acha anayoyasababisha mfano kuleta ajira .kwa kusababisha kuwa na madaktat bingwa wa cholera gonjwa allisababishalo.yeye kwa migui yake
bawa lake moja lina dawa moja ugonjwa mpaka wa.leo sayans haijakasema gonjwa lipi dawa lipi.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutabaki kudhania haya mpaka lini..? Wasituzingue kila mmoja afanye mitikasi yake!.. wao Kama wanaona dhahabu ni dili waje mara hii waone tunavyowatoa baru Kama mbwai iwe mbwai tu.. wakatafute sayari nyengine wainyonye tumechoka ubepari wao..🀣
 
Tutabaki kudhania haya mpaka lini..? Wasituzingue kila mmoja afanye mitikasi yake!.. wao Kama wanaona dhahabu ni dili waje mara hii waone tunavyowatoa baru Kama mbwai iwe mbwai tu.. wakatafute sayari nyengine wainyonye tumechoka ubepari wao..🀣
KENZY pengine kwenye Galaxy ya milky way dhahabu zinapatikana duniani pekee na walishachota za kushato
 
Mambo maziti ya babeli ni yapi hayo
 
KENZY pengine kwenye Galaxy ya milky way dhahabu zinapatikana duniani pekee na walishachota za kushato
Sipendagi ubishi lakini kwa hili takubishia bure tu!πŸ˜‚
Possibility za kuwepo kwa dhahabu kwenye Galaxy yetu haifit kwenye dunia tu no and never!. Angalau hata ungeniambia quality aidha kiduchu ningekuelewa ila yote kwa yote bado hizi ni nadharia tu bado hata hatujatoka nje ya mfumo wa jua letu!.. nafikiri tuache nadharia sasa tuingie kwenye tafiti.
 
Huyu elohim ndo atachoma watu moto sio?
 
Hata Wasabato wanadai wanamuamini Yesu but is a Cult na zipo sababu,tena biblical!Kwa upande wa alicho present Artificial Intelligence,facts zina onyesha kwamba alicho present ni heresy,na nimeonyesha why.
We Jamaa mbona kama ni jinga sana , ni kitu gani ambacho siyo heresy,🀣🀣🀣, umekazana na heresy utazani Kuna kitu umekishuhudia kuhusu Dunia ambacho sio heresy,
 
Huyu elohim ndo atachoma watu moto sio?
huyo ndie Mungu wa Abraham na Israelites ana hasira Sana atatuchoma moto wote Kwa kushindwa kumtii yeye,
Mungu mbaguzi aliyejichagulia kakikundi ka familia Moja na kuita wabarikiwa huku akiacha maelfu ya makabila yakiangamia Kwa kushindwa kumjua, na Hapo Hapo aliwafungia vioo wasimjue Wala kumshobokea watakaowapinga Israelites wauawe kuanzia wanaume, wanawake na watoto zao
Huyo Huyo ndie Leo anaabudiwa na wakristo na Waislam wa buza Kwa mpalange na wamatumbi kua ni Mungu mkuu muumbaji,

Waafrika akili tulizizika mapangoni Aiseee!
😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…