Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

mkuu ANNUNAKI wao hawakuelezea habari za Mungu ila Kazi walizokua wanazipiga ziliwatambulisha wao kama miungu mbele za watu maana raia kipindi hicho waliwaona jamaa ni kama Mungu wao Kwa zile Kazi zao,walipomaliza mission na kusepa watu wakaanza waabudu kama Miungu na kuwatengenezea nadharia nyingi na hiyo Ilikua Kwa Kila jamii walipokuwepo unajua nadharia ya kuabudu Mungu Jua kwenye jamii nyingi za kale ni Nini?
Waliamini wale ni miungu kutoka kwenye jua maana waliondoka na spaceships kwenda juu kwenye Sayari Zao,
Jamii kama Aztecs waliwatolea kafara mpaka za watu kule Chichen Itza wakiamini wanawarudisha miungu waje wachukue dhahabu kwenye madhabahu Ili wawaachie baraka nenda kacheki movie ya Mel Gibson ya Apocalypto utaelewa Nini namaaniisha Hata ule ujuzi wa Pyramid wanazotolea kafara ni Kazi za ANNUNAKI na Ndio maana walizigeuza temple za kuabudia miungu!
Pia apitie sehemu ya 7 ya grand ziggurat of Ur, iliyokuwa ikitumiwa na Abraham hili kuthibitisha hiki ulichokiandika hapa.
 
mtukane Hata ki Hindi ebooo
Islamabad
Alaaaaa
Bangladesh!
Upo upo tu
Instabul!

Hayo matusi unapoyatamka uwe unayavuuutaaaa yanasaund vizuri!
😂😂😂😂
Kitu ambacho mpaka Sasa natamani nijue man Ni Nani mkali au mkuu mkubwa wa kila kitu kwa vyote yaaani!!
Na maanisha aliyewaumba hao miungu wote akina anunakki(Yesu,Allah,budhaa,etc..) Ni Nani huyo au yupo nje ya fikra zetu?
 
mkuu nenda kasome kuwahusu hao ANNUNAKI ni deities yaani ni Muunganiko wa miungu wenye more power
Ukiwasoma inadaiwa wao ni the all na master kwenye Universe!
Kwao Ndio ilitoka nadharia ya Mungu mkuu maana Hata yule aliabudiwa na Israelites yaani El/YHW/Elohim/Jehovah nae ni Mmoja wa miungu wanaounda Muunganiko wa ANNUNAK na story za uumbaji walizileta wao!
Mkuu hivi hao majamaa walivyokuja huku hawakukuta hata bahari au ardhi yenye majani? Kama wamekuta viliumbwa na nani?
 
Halafu; Kama walikuja kuchimba dhahabu, inamaana basi dhahabu kuna alieziumba ( aliefanya ziwe hapo) nae huyo mwenye ukuu kupita wao mpaka wana haja na vitu vyake ni nani? maana tumeambiwa vitu havitoki tu from no where[emoji849][emoji849][emoji849]
Yeah.. it's like that
 
Shule ulienda kusomea ujinga bi mkubwa?

Hivi formation ya madini yote si ipo kisayansi zaidi kuliko unavyofikiria Hata kama ulikimbia jogi na physics Ndio useme dhahabu ziliumbwa?
Mada ya formation za miamba ulikimbia wewe 😁😁
Stop dreaming and joking aisee
Hivi waafrika hizi elimu zetu za hapa na pale Ndio zinatufanya tuaamini Kila kitu kilitokea kimiujiza kumbe sometimes ni Phsycs imeaply simple and crear na ushahidi upo!
Do not attack her like this!,anachomaanisha hizohizo process mpk kufikia kufanyika dhahabu. Kama hao annunaki wangekuwa na maarifa zaidi wangeweza pia kuzitengeneza na sio kuzitafuta!.
Kiufupi annunaki hawana sifa ya Uungu kwa asilimia mia.
 
Ah Kenzy!!

Mtu = Robots
Dhahabu = Mars
Annunaki = Elon

Hii ndio maana yangu kweye swali lako sehemu ya dhahabu uliza why elon awekeze kwenye robots kwenda Mars (Mtu kuchimba dhahabu) na sio Elon kutengenza Mars (Annunaki kutengeneza dhahabu).
Itachukua gharama kubwa sana ambayo kuimudu ni mzigo wa kubeba jua Kama binadamu akitengeneza mars!.. vivyohivyo kwenye dhahabu inachukua gharama kubwa sana kutengeneza dhahabu kwenye maabara kiasi kwamba hata ukitaka kuiza huwezi pata faida maana hakuna atakaenunua nakuacha hizo zinazojiunda physically ambazo hupatikana kwa sisi kuzitafuta tu.

Sasa swali langu linageuka tena ila hili sijui wanijibu annunaki wenyewe..😂
Ni kivipi na wao hawawezi ku afford gharama za kutengeneza dhahabu..?
Ikiwa wanaweza kutumia gharama kiasi cha kuweza kutoka sayari yao mpk yetu kwa wakati huo kupi Kuna gharama zaidi..??

Haya maswali ngoja nikaushe tu maana kupata majibu mpk niwapate annunaki..😂
 
Itachukua gharama kubwa sana ambayo kuimudu ni mzigo wa kubeba jua Kama binadamu akitengeneza mars!.. vivyohivyo kwenye dhahabu inachukua gharama kubwa sana kutengeneza dhahabu kwenye maabara kiasi kwamba hata ukitaka kuiza huwezi pata faida maana hakuna atakaenunua nakuacha hizo zinazojiunda physically ambazo hupatikana kwa sisi kuzitafuta tu.

Sasa swali langu linageuka tena ila hili sijui wanijibu annunaki wenyewe..😂
Ni kivipi na wao hawawezi ku afford gharama za kutengeneza dhahabu..?
Ikiwa wanaweza kutumia gharama kiasi cha kuweza kutoka sayari yao mpk yetu kwa wakati huo kupi Kuna gharama zaidi..??

Haya maswali ngoja nikaushe tu maana kupata majibu mpk niwapate annunaki..😂
Jibu la hili swali lazma ujue ni kiasi gan cha dhahabu waliondoka nacho na kwann dhahabu na sio madin mengne?
Unaweza kuta dhahabu walizoondoka nazo ni nyingi kuliko uwekezaji walioufanya na wenda kwenye ulimwengu wao dhahabu thamani ni kubwa kuliko ss tunavyo fikria.
 
swal lang dogo.
je viumbe wengime samak,panz chura nao waliumbwa na nani?
mifumo yao madhubut ya uumbwaji wao
mfano Nzi(musca domestica) ni sayans ipi ambayo imeweza kuumba bawa lake tu acha anayoyasababisha mfano kuleta ajira .kwa kusababisha kuwa na madaktat bingwa wa cholera gonjwa allisababishalo.yeye kwa migui yake
bawa lake moja lina dawa moja ugonjwa mpaka wa.leo sayans haijakasema gonjwa lipi dawa lipi.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu la hili swali lazma ujue ni kiasi gan cha dhahabu waliondoka nacho na kwann dhahabu na sio madin mengne?
Unaweza kuta dhahabu walizoondoka nazo ni nyingi kuliko uwekezaji walioufanya na wenda kwenye ulimwengu wao dhahabu thamani ni kubwa kuliko ss tunavyo fikria.
Tutabaki kudhania haya mpaka lini..? Wasituzingue kila mmoja afanye mitikasi yake!.. wao Kama wanaona dhahabu ni dili waje mara hii waone tunavyowatoa baru Kama mbwai iwe mbwai tu.. wakatafute sayari nyengine wainyonye tumechoka ubepari wao..🤣
 
Tutabaki kudhania haya mpaka lini..? Wasituzingue kila mmoja afanye mitikasi yake!.. wao Kama wanaona dhahabu ni dili waje mara hii waone tunavyowatoa baru Kama mbwai iwe mbwai tu.. wakatafute sayari nyengine wainyonye tumechoka ubepari wao..🤣
KENZY pengine kwenye Galaxy ya milky way dhahabu zinapatikana duniani pekee na walishachota za kushato
 
Kitu ambacho kimeshangaza wanasayansi wengi ni ile elimu ya kabila la dogoni "THE DOGON TRIBE" kule nchini Mali. Ambapo wao husema kwamba asili yao ni Misri ya kale (Ancient Egypt), na wanasema walihama na kuja Mali. Walihama pia na ujuzi wao wa siri kutoka Misri ya kale. Miaka 70 iliyopita wanasayansi wa mambo ya anga walikutana na chifu wa kabila la Dogoni na kwasababu walimuamini walimpa baadhi ya siri za kabila lao.

Kilichoshangaza sana ni kwamba hawa jamaa walikuwa na michoro ya mfumo wa jua (The Solar System) na sayari zake zote ambao una miaka zaidi ya 2000. Kilichoshangaza zaidi ni kwamba walikuwa na michoro mingine ambayo ilionesha mkusanyiko wa sayari nyingine ambazo ziko nje ya mfumo wetu wa jua. Sayari hizo zinaitwa Sirius, na wakaonesha jinsi zilivyojipanga. Baadhi ya wanasayansi wa NASA walihisi ni uongo labda, lakini miaka 70 mbele wakakuta ile michoro iko sahihi na sayari kweli zimejipanga vilevile.

Ambacho wadogoni wanaamini ni kwamba ule utaalamu walifundishwa na miungu wao maelfu ya miaka iliyopita kule Misri ya kale. Pia Mfumo wa sayari wa Sirius ndiko ambako miungu wao wanaishi. Hili lipo Officially Documented na unaweza kulitafuta mtandaoni na kulipata........

Sasa unachokisema kuhusu imani za Kisumeria na miungu kutokea angani kipo karibia kwenye tamaduni nyingi za kale ambazo hazijawahi kuwa na muingiliano wowote ule. Ukiangalia michoro ya Misri ya Kale, Michoro ya Babeli, Michoro ya Umedi na Uajemi utatambua kuna mambo mengi sana yamefanana. Kuna sehemu utaona binadamu wadogo wakiabudu binadamu wakubwa na warefu kuliko wao waliotokea juu. Au utakuta binadamu ana uso wa mnyama na mabawa.

Meso-America nako ni hivyohivyo: The Aztecs, The Mayans, The Anasazi na wengine wana ushahidi wa kihistoria wa kutembelewa na miungu wao kutokea angani, ambao waliwapa maarifa na ujuzi wa baadhi ya vitu. Ukija kwenye tamaduni za Kiyahudi kwenye kitabu cha Henoko (The Book of Enoch) na Kitabu cha Jasher (The Book of Jasher) unaambiwa kwamba baada ya anguko la Adamu na Hawa, malaika 200 (The Watchers) wakiongozwa na Semyaza walishuka duniani na kuzaa na wanawake binadamu.

Wakazaa nao na kutoa wanefili, halafu wakaanza kuwafundisha elimu za kila aina kama kusoma nyota, miti-shamba, uchoraji, uhunzi, na kutengeneza dhana za kivita. Wasomi wa masomo ya kibiblia wanaenda mbali zaidi na kuzungumzia mambo ya ajabu yaliyofanyika kwenye kitabu uzao wa Kaini kwenye kitabu cha MWANZO 4, ambapo vitukuu vya Kaini yaani Yabali, Yubali na Tubal-Kaini ndiyo waliofanya ugunduzi wa mambo makubwa duniani.

Yabali aligundua mbinu za kilimo, Yubali akagundua muziki na vyombo vyake na Tubal-Kaini akagundua kufua chuma. Sasa ni sawa na kusema leo hii nyumba moja itoe watoto kama Tesla, Einstein na Mozart, jambo linaloshangaza kidogo. Yaani watoto wa Lameki ambaye ni mjukuu wa Kaini ndiyo wagundue kila teknolojia muhimu duniani kwa wakati huo ??? Kuna mambo yanashangaza kidogo.

Mwisho kabisa: Lakini pia vita ya Annunaki, baina ya miungu Enki na Enlil kugombaniana utawala wa dunia hii na nani awe nani. Wanasayansi walichimba mafuvu ya kale eneo la Babeli na kutambua yana mionzi (Radio-Active Carbon Isotope). Najiuliza sana teknolojia ya kinyuklia ambayo sisi tunajivuania kugundulika mnamo karne ya ishirini, iliwezaje kufanana na mionzi ambayo imekutwa kwenye mafuvu ya watu wa Mesapotamia ya kale. Kuna mambo yanafikirisha ati ??? Hili nalo ushahidi wake unaweza kuupata kule Britannica....

Historia na vitabu vitakatifu vya dini kama AGANO LA KALE linakiri uwepo wa hawa miungu wengine huko Babeli, Uajemi na Misri. Biblia inasema kwamba YHW (YAHWEH) alisema kabisa anawachukia sana hawa miungu wengine. Lilikuwa ni kosa la kuuwawa endapo Muhebrania ukikamatwa unafanya ibada za Babeli (Assyrians/Sumerians) au zile za kimisri za kuabudu hawa (Annunaki a.k.a The Ancient Astronauts).

YAHWEH mwenyenye anakiri kwamba hawa viumbe uliowataja "The Annunaki" kuwepo, na amewaita kwa majina mengi kama "malkia wa mbinguni" au "Jeshi la mbinguni" au "mkuu wa uajemi" au "miungu ya misri" lakini kwanini awachukie sana na kukataa kabisa wahebrania kushirikiana nao ???

Ikumbukwe Babeli ya Nimrodi baada ya gharika ya Nuhu walikuwa wanawaabudu "Annunaki" , hii ni moja ya sababu ya YAHWEH kuwatawanya kwa nguvu. Pale sisi tunasema kwamba lugha zilivurugwa lakini kuna mambo mazito yalitokea hadi watu wakaacha kujenga mji na mnara na kukimbia. Hebu tusaidiane wadau...
Mambo maziti ya babeli ni yapi hayo
 
KENZY pengine kwenye Galaxy ya milky way dhahabu zinapatikana duniani pekee na walishachota za kushato
Sipendagi ubishi lakini kwa hili takubishia bure tu!😂
Possibility za kuwepo kwa dhahabu kwenye Galaxy yetu haifit kwenye dunia tu no and never!. Angalau hata ungeniambia quality aidha kiduchu ningekuelewa ila yote kwa yote bado hizi ni nadharia tu bado hata hatujatoka nje ya mfumo wa jua letu!.. nafikiri tuache nadharia sasa tuingie kwenye tafiti.
 
mkuu nenda kasome kuwahusu hao ANNUNAKI ni deities yaani ni Muunganiko wa miungu wenye more power
Ukiwasoma inadaiwa wao ni the all na master kwenye Universe!
Kwao Ndio ilitoka nadharia ya Mungu mkuu maana Hata yule aliabudiwa na Israelites yaani El/YHW/Elohim/Jehovah nae ni Mmoja wa miungu wanaounda Muunganiko wa ANNUNAK na story za uumbaji walizileta wao!
Huyu elohim ndo atachoma watu moto sio?
 
Hata Wasabato wanadai wanamuamini Yesu but is a Cult na zipo sababu,tena biblical!Kwa upande wa alicho present Artificial Intelligence,facts zina onyesha kwamba alicho present ni heresy,na nimeonyesha why.
We Jamaa mbona kama ni jinga sana , ni kitu gani ambacho siyo heresy,🤣🤣🤣, umekazana na heresy utazani Kuna kitu umekishuhudia kuhusu Dunia ambacho sio heresy,
 
Huyu elohim ndo atachoma watu moto sio?
huyo ndie Mungu wa Abraham na Israelites ana hasira Sana atatuchoma moto wote Kwa kushindwa kumtii yeye,
Mungu mbaguzi aliyejichagulia kakikundi ka familia Moja na kuita wabarikiwa huku akiacha maelfu ya makabila yakiangamia Kwa kushindwa kumjua, na Hapo Hapo aliwafungia vioo wasimjue Wala kumshobokea watakaowapinga Israelites wauawe kuanzia wanaume, wanawake na watoto zao
Huyo Huyo ndie Leo anaabudiwa na wakristo na Waislam wa buza Kwa mpalange na wamatumbi kua ni Mungu mkuu muumbaji,

Waafrika akili tulizizika mapangoni Aiseee!
😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom