Mkuu nimeuliza swali naomba unijibu kisha na wewe ndio uniulize,hii ya kwwmba hujanijibu kisha unataka ujibiwe wewe haitoleta tija.Ushahidi
Unaniulizaje wakati swali langu hujajibu kaka ?Nikuulize tena kupitia huo ushahidi wa maandishi una amini kwamba kuna Mungu au hayupo?
Mkuu nimeuliza swali naomba unijibu kisha na wewe ndio uniulize,hii ya kwwmba hujanijibu kisha unataka ujibiwe wewe haitoleta tija.Ushahidi
Unaniulizaje wakati swali langu hujajibu kaka ?Nikuulize tena kupitia huo ushahidi wa maandishi una amini kwamba kuna Mungu au hayupo?
Mimi siamini kama kuna miungu naamini kama kuna Mungu mmoja tu mkuu.Ok. Nikuulize tena una amini kuna miungu au hakuna?
Hajatokana na ananukiSawa, kutokana na haya maelezo, je binadamu wa sasa ametokana na Annunaki au hajatokana na Annunaki?
Nikirejea The book of enock, kuna uzao uliotokana na Annunaki na uzao ambao umetokana na watu wa asili alio waumba Mungu.Sawa, kutokana na haya maelezo, je binadamu wa sasa ametokana na Annunaki au hajatokana na Annunaki?
Aĺl of us we are Too slow .[emoji4]
Ukitaka kumuansha mtu usimguse we muangalie machoni tu ataamka.
Venus Star
Halafu jamaa uandishi wake pia ni tatizo si muandishi mzuri.Nimepitia sana kuanzia mwanzo hadi mwisho ila nagundua hii ni kama masimulizi ya ALUFU LELA ULELA
Mkuu ukiwa kwenye ndoto unakuwa unajua kila kitu mfano mimi niliona space ship kubwa sana yenye rangi ambazo sijawahi kuziona hapa duniani. Nikajikuta najitambua utofauti na upekee wa ndoto hiyo na nika nyoosha kidole na kusema annunaki wale.
Mtu akilala si anafunga macho.Aĺl of us we are Too slow .😊
Ukitaka kumuansha mtu usimguse we muangalie machoni tu ataamka.
Venus Star
Kuhusu huko kuvuna hiyo negative energy kutoka kwa wanadamu wanapokuwa na hofu, mimi najua ni majini ndio wanahusika na hilo.Idea kwamba Annunaki wametuumba binadamu wa sasa bado ina ukinzani, Kwa kusoma kwangu na kupitia source mbali mbali, hawa Annunaki ni sehem ya viumbe/fallen angels wanao control Earth affairs, kwa kufanya mind control, genetic manipulation kwa binadamu ili waweze ku incarnate kwenye ulimwengu wetu, na kuweza kuproject concsousness zao kwenye mind za watu,
Kuhusu Annunaki kuumba binadamu wa sasa, nadhani walichofanya na wanacho endelea kufanya ni ku manipulate human DNA ziendane na za kwao, ili waweze ku control Earth na solar system affairs, pia wapate cheap labour, mfano wa majaribio yao yalio fail siku za nyuma ni kuunganisha DNA zao na neanderthal ili wapate cheap labour wa kuwanyisha kazi na kwa ajili ya kuwapeleka kwenye sayari yao ya Nibiru.
Kuna inshu ya Royal family zilizopo hapa Duniani mfano England na viongozi kalibia wote wa Mataifa makubwa, hawa DNA zao zina mchanganyiko na hawa Annunaki/Reptilia, ndio wanatumiwa kutekeleza agenda za hawa Annunaki/ Draconians apa Duniani.
Pia kuna Dhana kwamba hawa annunaki/reptilians/draconias wana vuna negative energy/Adrenaline kutoka kwa wanadamu wanayo i release wanapo kuwa na hofu,. Ndio maana utaona nchi za magharibi kila kukicha wao ni kuanzisha vita, tetesi za vita, maginjwa ya mlipuko watu wawe na hofu, wana chochea umaskini watu wawe na hofu ya kukosa chakula, na mengine mengi.
Hahaha, Hapana mkuu sema nilisimama na mfupi, siunajua Kila mtu ni mrefu ila inategemea amesimama na nani, sa niliekuwa namjibu alikuwa mfupi kwangu, Najua umenielewajamaa unaakili nyingi sana wewe nipunguzie
Sio kwamba kwenye kufasiri ndio tatizo?Halafu jamaa uandishi wake pia ni tatizo si muandishi mzuri.
Na huyo Mungu mkuu mmoja basi
Mkuu kabla ya Anunaki kuja duniani kulikuwa kuna viumbe gani wanaishi?Hao mitume ni uzao wa Annunaki pia.
Vyote tu.Sio kwamba kwenye kufasiri ndio tatizo?
Umesoma vitabu vyote lakini mkuuVyote tu.
Unakusudia vitabu gani mkuu?U
Umesoma vitabu vyote lakini mkuu
Your too slow my friendMtu akilala si anafunga macho.