Dah kumbe mada ishafika huku
Kwanza mnaompiga mleta mada wote hakuna aliyeleta hoja, zaidi ya kuuliz vimaswali uchwara tu
Baada ya kusoma koments nimegundua watu kama@Kisai,@Saad30,
Tz mbongo,
safuher ni watu ambao wana tohara ya dini, yaani brainwashed with nomidio paraoxia brain thinking, wat ambao wanauliz rhetorical qns wakitegemea mleta mada hawajib wanavyotak badala ya kumping kwa hoja.
Watu kam haw ni wale wenye low capacity thinking index, yaani mtu anasema hajaona kitu fulan kilipondikw, mweny mada amesema mwanzon kabisa haya yametok babylonian, akkadian n.k, ila bado mtu anauliza
Wanaamini Mungu alijiumba, nje ya hapo hawatak kuamin kna kiumbe mwingne akiyejiumba, what a shame for them?
Tz mbongo anaanz kuruka na mambo ya uhandish, come on jibu hoja, bado mtu anaamini ushahidi wa mandiko ya vitabu vya dini ila huu wa maandishi ya sumer, mesopotamia n.k hataki, sasa mtu kama huyu si paradox kabisa.
Katika hii mada huyu amegusia physical n spritual aspects, nyinyi watu wa dini mumekomalia spritual je hamuoni kama jamaa kawashinda?
Theologians waliosoma dini na kuyaelewa maandiko wapo wengi humu, ila wamepiga kimya kwa sababu wanaona kuna logic hapa jamaa kaleta, lakn cha kushangaza vinabo wachache walioishia kusoma katikisimu tu, wamekazana na maswali uchwara yasiyo na hoja bal kuleta mabishano tu.
Nyinyi watu wa dini ili mumshinde jamaa jibuni kwa vifungu vya maneeno n physical aspects kama yeye alivyofanya, mambo ya kumuattack bila hoja za maana itaonekana mmeshndwa kumjibu jamaa.