Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Ukifatilia kwa undani na ukifanya utafiti utaona wazi ya kuwa habari za Annunak zimekuta habari za Adamu tangu zamani ndiyo maana nawauliza wamuanishie mtu wa kwanza kuelezea habari hizo. Suala la Annunaki ni nadharia iliyo pandikizwa ili kuwatoa watu katika dini, sababu habari hizo zimewakuta wanadamu wapo tayari.
Nimejaribu kukufuatilia Toka mwanzo na maswali Yako,nikaamua kukausha ila hapa nimeshindwa vumilia Aisee,
Yaani unadai ANNUNAK walikumkuta huyo Adam wa kwenye vitabu vya dini Yako yupo?

Nathibitisha hapa huna hulijualo kuwahusu,ila umekuja na uzushi ule ule Kwa kupendelea na kuvutia kamba upande wako bila ufahamu wa mambo,
Kiifupi ni Hivi Watafiti wa mambo kale wamethibitisha ya kwamba
Pyramids za Giza zimejengwa Pre human civilization Ikiwa na maana kabla modern human hajaexist katika hii Dunia na wanaenda mbali Hayo majengo sio makaburi kama tulivyoaminishwa,
Hayo madude ni Power Plants za kuzalisha umeme hapo kale na sio man made kabisaaaa,

Akili kumkichwa kama yalikuwepo pre human civilization kuwepo alijenga nani kama Sio hao ANNUNAK Ina maana wewe una akili sana kuwazidi watafiti waliokuja na ushidi kuprove wrong?

Ubishi haufai ingia field kujifunza Arif achana na maswala kupinga Pinga vitu bila ushahidi unatia aibu ni nyie huku Afrika still Bado mnaoamini mapokeo ya kidini yenye uzushi badala ya ukweli unathibitishwa Kwa fact na science!
 
Nimejaribu kukufuatilia Toka mwanzo na maswali Yako,nikaamua kukausha ila hapa nimeshindwa vumilia Aisee,
Yaani unadai ANNUNAK walikumkuta huyo Adam wa kwenye vitabu vya dini Yako yupo?

Nathibitisha hapa huna hulijualo kuwahusu,ila umekuja na uzushi ule ule Kwa kupendelea na kuvutia kamba upande wako bila ufahamu wa mambo,
Kiifupi ni Hivi Watafiti wa mambo kale wamethibitisha ya kwamba
Pyramids za Giza zimejengwa Pre human civilization Ikiwa na maana kabla modern human hajaexist katika hii Dunia na wanaenda mbali Hayo majengo sio makaburi kama tulivyoaminishwa,
Hayo madude ni Power Plants za kuzalisha umeme hapo kale na sio man made kabisaaaa,

Akili kumkichwa kama yalikuwepo pre human civilization kuwepo alijenga nani kama Sio hao ANNUNAK Ina maana wewe una akili sana kuwazidi watafiti waliokuja na ushidi kuprove wrong?

Ubishi haufai ingia field kujifunza Arif achana na maswala kupinga Pinga vitu bila ushahidi unatia aibu ni nyie huku Afrika still Bado mnaoamini mapokeo ya kidini yenye uzushi badala ya ukweli unathibitishwa Kwa fact na science!
Mkui unapoteza muda kuwajibu, haya yote yashaelezwa humu siyo kwamba hawajuhi, yaani mtu anakwambia adam alikuwepo na Annunaki wamemkuta, ndiyo maana nawajibu kwa ufupi. Adam na Eve uwepo wapo hapa duniani ni less than 300000 year ago, habari za Annunaki ni 450000 years ago, bado mtu atabisha tu.
 
Sumerians ni watu kama huyo mtume Muhammed wako, hawa walikuwa wanatunza rekodi na matukio mbali mbali katika lugha yao kwenye tablets, lugha hizo ndizo zinafanyiwa utafiti na kutafsiriwa kwa sababu ndiyo watu wa kwanza kuanzisha civilization.
Huu ujinga mwingine. Ukisoma katika kitabu kiitwacho "Al-Bidayat wa al-Nihayyah" cha Imam Ibn Kathir utaona asili ya tamko "Ustaarabu(Civilization)" limetoka wapi. Ustaarabu umeletwa na mitume na manabii, sababu walikuwa wanapewa muongozo toka kwa Allah, mathalani ukisoma maana ya Ustaarabu, kwanini umeitwa kwa jina hilo, sababu walikuwa wakiwafanyia wema wanawake, ndiyo maana Waarabu wa kale wakaitwa "Wastaarabu/Mstaarab".

Swali langu la msingi bado liko pale pale huwezi kukuta maandishi kisha ukayafasiri ukahitimisha ya kuwa ni ukweli bila kutafuta asili na kulinganisha na maandiko yasiyo kuwa na shala ndani yake.

Nitakuuliza je hao Sumerians walikuwa walikuwa wanapata habari za mambo yaliyo fichikana kupitia nini ?

Hata Waarabu walikuwa wanatunza maandiko yao kutunza maandiko hakumaanishi ya kuwa maandiko yao ni ya kweli.
 
Nimejaribu kukufuatilia Toka mwanzo na maswali Yako,nikaamua kukausha ila hapa nimeshindwa vumilia Aisee,
Yaani unadai ANNUNAK walikumkuta huyo Adam wa kwenye vitabu vya dini Yako yupo?

Nathibitisha hapa huna hulijualo kuwahusu,ila umekuja na uzushi ule ule Kwa kupendelea na kuvutia kamba upande wako bila ufahamu wa mambo,
Kiifupi ni Hivi Watafiti wa mambo kale wamethibitisha ya kwamba
Pyramids za Giza zimejengwa Pre human civilization Ikiwa na maana kabla modern human hajaexist katika hii Dunia na wanaenda mbali Hayo majengo sio makaburi kama tulivyoaminishwa,
Hayo madude ni Power Plants za kuzalisha umeme hapo kale na sio man made kabisaaaa,

Akili kumkichwa kama yalikuwepo pre human civilization kuwepo alijenga nani kama Sio hao ANNUNAK Ina maana wewe una akili sana kuwazidi watafiti waliokuja na ushidi kuprove wrong?

Ubishi haufai ingia field kujifunza Arif achana na maswala kupinga Pinga vitu bila ushahidi unatia aibu ni nyie huku Afrika still Bado mnaoamini mapokeo ya kidini yenye uzushi badala ya ukweli unathibitishwa Kwa fact na science!
Huu utoto mwingine ushawahi kuhakiki habari ya kale yoyote ukajua ukweli wake ?

Habari za mapangoni au maandishi hata ufanye vipi utafiti haiwezi kuwa kweli kama haina "Chain" inayofika mpaka leo hii wangapi wanajiandikia mambo kadha wa kadha. Je utafiti huo unaufanyaje kuhakiki ukweli wa kilicho andikwa ?

Nakuuliza swali, ustaarabu umeletwa na nani ?
 
Za Annunaki na Adam zinauzibitisho, ila za Mungu hazina uthibitisho. Hakuna kitu chochote chenye force of manifestation alafu kisi exist katika physical form.

Na nimekuuliza yapita miaka mingapi tangu uwepo wa adam hapa duniani?
Mkuu achana na Hawa watu wao haya mambo Ndio kwanza wameyapata hapa Kwa mara ya kwanza hawana source nyingine zaidi yetu Ndio maana wanakuja kubisha hapa,
Kingine wengi nimejua historia ya hii Dunia na vipindi ilivyopitia hawavijui yaani Ile time chat inawapiga chenga that's why ni wajinga tu wakuwapuuza,

Sasa Mtu anakuja kukuambia Adam alikuwepo kabla ya Annunak Unaona huyo anaijua Dunia kweli,
Time chatline inaonesha kabisa Pyramids zilikuwepo kabla ya huyo Adam wake kuumbwa na huyo mungu wao waliyemuweka vichwani mwao

Sasa itawezekanaje majengo yawepo kabla ya wajenzi si inamaana Kuna viumbe tofauti na watu Ndio wajenzi na walikuwepo?

Kazi Ipo ama kweli bara la Afrika Lina maajabu yake,Moja ya ajabu Hilo ni watu wake na ufahamu wao!
 
Kwahiyo Mungu wako humjuhi?

Nakujibu tena kwamba ni watu wa kale kutoka sumerians kabla ya mtume Muhammed na Yesu hawajatokea katika huu ulimwengu.
Swali langu liko pale pale muainishe mtu wa kwanza kuelezea habari za Annunaki. Je wamejielezea weenyewe au hao mnaowaita watafiti wamekuja kuwaelezea ?

Unajua kabla ya Mtume na Yesu walipita mitume na manabii wengine, unaweza kututuibitishia ya kuwa hao Annunaki hawajamkuta Adamu ?
 
Mwanzoni kanisa lilikuja juu kwa kumpinga lakini badae kadri wanasayansi na watafiti walivyozidi kutoa machapisho yao, kanisa likakubaliana.
Nitaomba refference ya kipengere hicho mkuu.

Although haya mambo huwa napensa kutafuatilia ili kupata ukweli na uongo wa real life we've pamoja na kwamba baadhi ya vunbuzi ziliandaliqa mahususi kutaka kuhafifisha imani za watu flani.

Hebu twende kwanza...
 
hii haina tofauti na mtu akuulize ukristo aliuanzisha Nani, ukategemea atajwe mtu mmoja tu, haiwezekani. Lazima Kuna kamati ilikaa chini
Hili si kweli aliyeanzisha Ukristo anajulikana ni Mtu mmoja.

Inaonekana hujasoma elimu ya uhakiki wa habari, habari kama hii inamuhusisha mtu mmoja sababu inarejea kwenye mamlaka.

Ndiyo maana swali langu liko pale pale ya kuwa nani wa Kwanza kuelezea habari za Annunaki ?
 
Huu ujinga mwingine. Ukisoma katika kitabu kiitwacho "Al-Bidayat wa al-Nihayyah" cha Imam Ibn Kathir utaona asili ya tamko "Ustaarabu(Civilization)" limetoka wapi. Ustaarabu umeletwa na mitume na manabii, sababu walikuwa wanapewa muongozo toka kwa Allah, mathalani ukisoma maana ya Ustaarabu, kwanini umeitwa kwa jina hilo, sababu walikuwa wakiwafanyia wema wanawake, ndiyo maana Waarabu wa kale wakaitwa "Wastasrabu".

Swali langu la msingi bado liko pale pale huwezi kukuta maandishi kisha ukayafasiri ukahitimisha ya kuwa ni ukweli bila kutafuta asili na kulinganisha na maandiko yasiyo kuwa na shala ndani yake.

Nitakuuliza je hao Sumerians walikuwa walikuwa wanapata habari za mambo yaliyo fichikana kupitia nini ?

Hata Waarabu walikuwa wanatunza maandiko yao kutunza maandiko hakumaanishi ya kuwa maandiko yao ni ya kweli.
Nimekupuuza wewe Mauraish mweusi huna ulijulo zaidi ya ngano za kiarabu,na tulijua tu kwenye huu Uzi watu kama nyie mtauvamia na kuleta vioja,Kwa ubishi na kutaka mashindano na mabishano
Nahitimisha

"Watafiti wamesoma vitabu 500 ila Bado Wana kiu na maarifa"
Bali
"Watu wa dini wamesoma kitabu kimoja wanajiona wanajua Kila kitu"

Religion is Opium!
 
Unaposema hivyo, basi hata habari zenu za dini ni visa vya kubuni, wewe uliwahi kumuona mtume Muhammed/Yesu?
Safi kabisa hapa ndipo nilikuwa nataka ufike, kwetu sisi hasa Waislamu sisi tuna sanadi (Chain) ya habari mpaka kufika kwa mtu wa kwanza, na hii elimu maalumu ya uhakiki wa habari ambayo wengine hamna.
 
Huu ujinga mwingine. Ukisoma katika kitabu kiitwacho "Al-Bidayat wa al-Nihayyah" cha Imam Ibn Kathir utaona asili ya tamko "Ustaarabu(Civilization)" limetoka wapi. Ustaarabu umeletwa na mitume na manabii, sababu walikuwa wanapewa muongozo toka kwa Allah, mathalani ukisoma maana ya Ustaarabu, kwanini umeitwa kwa jina hilo, sababu walikuwa wakiwafanyia wema wanawake, ndiyo maana Waarabu wa kale wakaitwa "Wastasrabu".

Swali langu la msingi bado liko pale pale huwezi kukuta maandishi kisha ukayafasiri ukahitimisha ya kuwa ni ukweli bila kutafuta asili na kulinganisha na maandiko yasiyo kuwa na shala ndani yake.

Nitakuuliza je hao Sumerians walikuwa walikuwa wanapata habari za mambo yaliyo fichikana kupitia nini ?

Hata Waarabu walikuwa wanatunza maandiko yao kutunza maandiko hakumaanishi ya kuwa maandiko yao ni ya kweli.
😂😂😂😂😂😂 wewe jamaa una shida, unakiamini hicho kitabu kilichondikwa na mtu, alafu umekazana kweli sisi tusiyaamini haya yaliyoandikwa na watu wengine real? Kwanza nikujibu kwamba hakuna unalolijua kuhusu chimbuko la civilization zaidi ya kumeza meneno yako ya Quran tu. Eti civilization imeletwa na mitume?, unajua ni muda gani umepita tokea uwepo wa mitume? Civilization unajua imeanza miaka ya ngapi huko nyuma?

Alafu naitimisha kwa kusema itabaki kuwa sumerians kama wewe unavyokiamini hicho kitabu na hiyo Quran ndugu, zaidi ya jibu hili itabidi ujijibu.
 
Safi kabisa hapa ndipo nilikuwa nataka ufike, kwetu sisi hasa Waislamu sisi tuna sanadi (Chain) ya habari mpaka kufika kwa mtu wa kwanza, na hii elimu maalumu ya uhakiki wa habari ambayo wengine hamna.
Nimeuliza swali wewe Muislam ulishawahi kumuona Muhammed?
 
😂😂😂😂😂😂 wewe jamaa una shida, unakiamini hicho kitabu kilichondikwa na mtu, alafu umekazana kweli sisi tusiyaamini haya yaliyoandikwa na watu wengine real? Kwanza nikujibu kwamba hakuna unalolijua kuhusu chimbuko la civilization zaidi ya kumeza meneno yako ya Quran tu. Eti civilization imeletwa na mitume?, unajua ni muda gani umepita tokea uwepo wa mitume? Civilization unajua imeanza miaka ya ngapi huko nyuma?

Alafu naitimisha kwa kusema itabaki kuwa sumerians kama wewe unavyokiamini hicho kitabu na hiyo Quran ndugu, zaidi ya jibu hili itabidi ujijibu.
Hahahahahaha nanukuu

"Civilization zilianzishwa na mitume"

Hizi akili za kijangwa jangwa kabisa from saudia Mecca!
😂😂😂😂😂
 
Swali langu liko pale pale muainishe mtu wa kwanza kuelezea habari za Annunaki. Je wamejielezea weenyewe au hao mnaowaita watafiti wamekuja kuwaelezea ?

Unajua kabla ya Mtume na Yesu walipita mitume na manabii wengine, unaweza kututuibitishia ya kuwa hao Annunaki hawajamkuta Adamu ?
Ndiyo hawajamkuta Adam, uwepo wa Adam ni less than 300000 yrs ago , Annunaki ni greater than 450000 yr ago.
 
Nimekupuuza wewe Mauraish mweusi huna ulijulo zaidi ya ngano za kiarabu,na tulijua tu kwenye huu Uzi watu kama nyie mtauvamia na kuleta vioja,Kwa ubishi na kutaka mashindano na mabishano
Nahitimisha

"Watafiti wamesoma vitabu 500 ila Bado Wana kiu na maarifa"
Bali
"Watu wa dini wamesoma kitabu kimoja wanajiona wanajua Kila kitu"

Religion is Opium!
Hata wangesoma vitabu elfu kwa maelfu kama hawaelezi habari wamezipata wapi na wamezihakiki vipi bado habari inakuwa haina mashiko.

Natamani sana mngejiua au kuona namna watu wanavyo hakiki habari za kale na kujua ukweli wake.
 
Nitaomba refference ya kipengere hicho mkuu.

Although haya mambo huwa napensa kutafuatilia ili kupata ukweli na uongo wa real life we've pamoja na kwamba baadhi ya vunbuzi ziliandaliqa mahususi kutaka kuhafifisha imani za watu flani.

Hebu twende kwanza...
Reference ya mtu au kitabu ndugu? Alafu vitu kama hivi vipo hata mitandaoni pia.
 
Huu ujinga mwingine. Ukisoma katika kitabu kiitwacho "Al-Bidayat wa al-Nihayyah" cha Imam Ibn Kathir utaona asili ya tamko "Ustaarabu(Civilization)" limetoka wapi. Ustaarabu umeletwa na mitume na manabii, sababu walikuwa wanapewa muongozo toka kwa Allah, mathalani ukisoma maana ya Ustaarabu, kwanini umeitwa kwa jina hilo, sababu walikuwa wakiwafanyia wema wanawake, ndiyo maana Waarabu wa kale wakaitwa "Wastasrabu".

Swali langu la msingi bado liko pale pale huwezi kukuta maandishi kisha ukayafasiri ukahitimisha ya kuwa ni ukweli bila kutafuta asili na kulinganisha na maandiko yasiyo kuwa na shala ndani yake.

Nitakuuliza je hao Sumerians walikuwa walikuwa wanapata habari za mambo yaliyo fichikana kupitia nini ?

Hata Waarabu walikuwa wanatunza maandiko yao kutunza maandiko hakumaanishi ya kuwa maandiko yao ni ya kweli.
Mkuu huyo hawezi kukuelewa yani wao wanachokiZingatia ni hilo la kusema kuwa hizo habari zimekuwepo kabla ya biblia na zilipokutwa hizo habari ila suala la kuhoji zilijulikana vp hizo habari kwenye hiyo jamii? Hapo ndio palipo na utata, maana jinsi zinavyo hadithiwa ni kama unaangalia movie vile.

Hao Annunaki mara unaambiwa walikuwa miungu mara sijui hawakuwa miungu ila walichukuliwa kama miungu na kuabudiwa ila walikuwa viumbe tu wenye nguvu, mimi hata sielewi haya masimulizi.
 
Hata wangesoma vitabu elfu kwa maelfu kama hawaelezi habari wamezipata wapi na wamezihakiki vipi bado habari inakuwa haina mashiko.

Natamani sana mngejiua au kuona namna watu wanavyo hakiki habari za kale na kujua ukweli wake.
Yaani mtu aandike na kuchapisha kitabu, bila kuhakiki habari zake, unayajua unayo yaongea hapa kweli wewe.
 
Back
Top Bottom