Nimejaribu kukufuatilia Toka mwanzo na maswali Yako,nikaamua kukausha ila hapa nimeshindwa vumilia Aisee,
Yaani unadai ANNUNAK walikumkuta huyo Adam wa kwenye vitabu vya dini Yako yupo?
Nathibitisha hapa huna hulijualo kuwahusu,ila umekuja na uzushi ule ule Kwa kupendelea na kuvutia kamba upande wako bila ufahamu wa mambo,
Kiifupi ni Hivi Watafiti wa mambo kale wamethibitisha ya kwamba
Pyramids za Giza zimejengwa Pre human civilization Ikiwa na maana kabla modern human hajaexist katika hii Dunia na wanaenda mbali Hayo majengo sio makaburi kama tulivyoaminishwa,
Hayo madude ni Power Plants za kuzalisha umeme hapo kale na sio man made kabisaaaa,
Akili kumkichwa kama yalikuwepo pre human civilization kuwepo alijenga nani kama Sio hao ANNUNAK Ina maana wewe una akili sana kuwazidi watafiti waliokuja na ushidi kuprove wrong?
Ubishi haufai ingia field kujifunza Arif achana na maswala kupinga Pinga vitu bila ushahidi unatia aibu ni nyie huku Afrika still Bado mnaoamini mapokeo ya kidini yenye uzushi badala ya ukweli unathibitishwa Kwa fact na science!