shukrani Mkuu
mtu chake pia unaweza kuongeza hii kwanini kabla ya Abraham Mungu hakujulikana Kwa majina?
Ukisoma Ile mwanzo Abraham yupo pale Kaanan ndio akatokewa
Na El/YHW/Elohim/Jehovah
Anamwambia
Nanukuu
"Mimi ni Mungu wa Baba zako"
Hiyo kauli inathibitisha kumbe Mungu wa mababu zake wa Abraham wa kule Uru ya Ukaldayo Mesopotamia ya kale ambao kimsingi ndio hao ANNUNAKI/El/ANU/Murduc/Enki
Ndio wale wale wamemrudia na yeye kumpa agano Tena litakalodumu milele pia hiyo Hali ilijirudia Kwa mwanae Jackob nae wanadai alikutana na huyo Mungu Tena ana Kwa ana na wakashindana mieleka usiku kucha 😂
Sasa Ndugu zangu muunge dot wenyewe ilikuaje jamaa akutane na Mungu na apigane nae mbona kama hiyo character inatupa uhalali wa kithibitisha kumbe huyo Mungu ana character ya viumbe watu kabisa?
Nje ya box!