Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Unacho kiamini ndio ushaidi wenyewe
Unataka Nini Tena ??
Mwenyewe unayasema, Tena unataka ushaidi!!
Husituchanganye weusi na rangi nyingine bwana...

Wewe unasema annunak wali umba si ndio ??
Ukweli halisi unakwambia annunak wali zini na viumbe vingi vinavyo nyonyesha
Kukapatikana viumbe vingi vya ajabu na vyote unavijua.

Kuzaa na kuumba........hapo ndio Kuna matatizo yetu.

Ukijua historia ya wa BANTU huto sumbuka na ukweli tenaaa. Hakika.
Tupe historia ya bantu mkuu
 
Tupo pamoja mkuu, kuna ka document flani bado nakatafta nikaweke apa kuongezea jambo flani kuhusu baada ya kuishi miaka ya hapa duniani, hatua gani inafuata
20220314_184628.jpg
 
If yes, who created other living organisms. Who created Annuanak?? If are natural where are they now?
Thinking any creation lazima iwe na creator or beginning/ end ndio uwezo wetu ulipofikia ila nafikiri life is more than that, nikifikiria sana things like atoms to galaxies ndio najua binadamu hatujui chochote, hata miili yetu iliyotubeba wenyewe hatujui vizuri nini kinaendelea huko ndani
 
Thinking any creation lazima iwe na creator or beginning/ end ndio uwezo wetu ulipofikia ila nafikiri life is more than that, nikifikiria sana things like atoms to galaxies ndio najua binadamu hatujui chochote, hata miili yetu iliyotubeba wenyewe hatujui vizuri nini kinaendelea huko ndani
MKUU MBONA SCIENTIST WAMWEZA KUFANYA RESEARCH NYINGI SANA NAMNA MWILI WA BINADAMU UNAVYOFANYA KAZI, ILA TAMBUA YA KUWA HAKUNA CREATION INAYOJITEGEMEA VINGINEVYO HATA WEWE UNGEWEZA KUWA CREATOR.
 
na ndio maana ukikaa na ma Padre wengi ni Maatheist huwezi amini na hua wanafunguka ukiwa nao Karibu na ukagusia maswala Haya wao wanajua wapo pale Kwa mission maalum,na ndio maana utakuta wapo happy mbususu wanachakata na pombe wanakunywa na hata huyo Mungu hawamuogopi sababu wanajua Ukweli ya kwamba huwezi chonga kinyago kinachokutisha
eboooo!
[emoji16][emoji16][emoji16]
mapadre huwa wanajua mengi sana yaliyosirini kuhusu hizi imani za kidini.

ni vile tu hawawezi kufunguka kwasababu ya viapo vyao wanavyokula.

ndio maana wengi wao lifestyle yao ni more secular than spiritual.
 
usemacho ni kweli Hata Mimi nikiri ukweli katika Maisha yangu na mienendo yangu wengi huadhani ni mtumishi wa Mungu maana hua naongea maneno ya kujenga sana na yenye fact,wengi hua wanafunguka kiroho mfano ni wiki mbili zimepita tangu nimhabarishe Mzee mmoja ambaye ni mgonjwa wa muda mrefu kidogo alikua anasumbuliwa na tumbo lilijaa maji nikawa naenda mtaani kwake anapokaa tunakaa sehemu tunajadili maswala mbali mbali alikua mcheshi sana akawa ananipa habari kwamba yeye kafanya kazi na wazungu wengi na wote walikua maatheist akasema walimfunza mengi sana kiasi kwamba akafunguka akili,
Mimi nikagongelea msumari kuhusu Waafrika kupata mapokeo ya kidini bila ufahamu wowote na nilianza kumueleza dhana ya Mungu Kwa mtazamo tofauti sana,
Nilimwambia Mungu Sio kiumbe kama Kile mlichokaririshwa na viongozi wa dini,Mungu ni Sheria pamoja na kanuni kuu zinazouendesha huu ulimwengu ziwe hasi au chanya na hizo Nguvu Sio kiumbe chochote maana zipo juu ya Kila kitu,

Na kiroho Kila kiumbe katika ulimwengu huzitumia Kwa manufaa yake Kuna viumbe huzitumia Kwa mambo chanya hao huitaa
Mungu na wale wanaozitumia Kwa mambo hasi huita Shetani

Ila hiyo nguvu kuu haipo upande wowote katika hao watumiaji ila watumiaji ndio hupata matokeo either kujenga au kubomoa
Na matokeo hujulikana
Ukizifanyia ubaya zile nguvu matokeo utapata ni uharibifu na ukizifanyia wema matokeo utapata kujenga,
Kitakachowahukumu ni zile Sheria na kanuni mlizojiwekea maana mbaya lazima atawajibishwa Kwa kutumia nguvu vibaya na kuleta uhalibifu na mwema atalipwa mema sawa na matendo yake,

Yule Mzee nilimfunulia mengi akakiri hiyo Elimu kubwa hajawahi Pata popote yaani alinistaajabu sana maana nilimpa maneno ya kumfariji mno kiasi kwamba akawa ananitambulisha Kwa Kila mtu pale akawa anasema aaah Aisee huyu jamaa ni mtumishi wa bwana wa ukweli kabisa maana nilimpa na mbinu za kuomba kufungua milango ya mbinguni Bila kumtumia wakala anayeitwa mchungaji nikamwambia Kila binadamu ana nguvu ila wengi hushindwa zitumia kufungua milango ya kiroho kutuma maombi Kwa Mungu direct bila kupata muombezi,
Na aliniahidi atabadilika na taanza kumtegemea Mungu Kwa roho na kweli bila msaada wa kiumbe yeyote hapa Duniani,
Siku ya pili nikakutana nae akasema SoMo ulilonipa nimelitafakari na limenifungua na furaha sana moyoni Sina hofu na chochote
Daaaa so sad haijapita hata wiki mbili tumbo likaanza msumbua Tena maana lilivimba Kwa Miaka miwili Sasa akaenda hospital akamwaga maji yote akawa kawaida anatembea fresh na Kuna jirani akaenda kumpa hai akaniliulizia maana nilipata salamu zake maana nilishindwa kwenda kumuona sababu nilikua na changamoto pia baada ya siku kadhaa akahamishwa hospital juzi kafariki Jana kazikwa moyo unaniuma sana,
Maana alipanga akirudi tutaongea mengi sana ya kujenga
Na ndio maana aliniulizia kule hospital licha ya kua ni mgonjwa

So sad R.I.P
Mkuu ukipata muda ebu anzisha Uzi khs Mungu,Kuna mengi ya kujifunza hapa.
 
MKUU MBONA SCIENTIST WAMWEZA KUFANYA RESEARCH NYINGI SANA NAMNA MWILI WA BINADAMU UNAVYOFANYA KAZI, ILA TAMBUA YA KUWA HAKUNA CREATION INAYOJITEGEMEA VINGINEVYO HATA WEWE UNGEWEZA KUWA CREATOR.
Scientist hawajui kila kitu kuhusu mwili wa binadamu, hata uelewa wa brain yetu wenyewe inavyofanya kazi hakuna mtu anayejua kwa uhakika, google hiyo topic utagundua we dont know even 1% of our own bodies, mfano mmoja scientist hawajui kwa nini watu wana different blood types
 
Scientist hawajui kila kitu kuhusu mwili wa binadamu, hata uelewa wa brain yetu wenyewe inavyofanya kazi hakuna mtu anayejua kwa uhakika, google hiyo topic utagundua we dont know even 1% of our own bodies, mfano mmoja scientist hawajui kwa nini watu wana different blood types
Hizo ndizo concepts ambazo watu wanatakiwa kuzisoma na kuzifuatilia kiundani, sio mambo ya Passed like a shadow.
 
Scientist hawajui kila kitu kuhusu mwili wa binadamu, hata uelewa wa brain yetu wenyewe inavyofanya kazi hakuna mtu anayejua kwa uhakika, google hiyo topic utagundua we dont know even 1% of our own bodies, mfano mmoja scientist hawajui kwa nini watu wana different blood types
Mwenye tatizo la uelewa hapa naona ni wewe, una angaika na vitu ambavyo havipo.
 
Japo hizi ni story tu kama zile za kwenye kahawa.

Lakini mimi huwa siamini kabisa haya madhahabu yote yanayochimbwa duniani yanatumika kutengeneza mikufu, saa, cheni and the likes pekee.

Tani zote zile ni kwa ajili ya vito vya thamani pekee. Hapana kuna sehemu hawa wazungu wanapeleka.
😁😁😁 Inafikirisha
 
shukrani Mkuu
mtu chake pia unaweza kuongeza hii kwanini kabla ya Abraham Mungu hakujulikana Kwa majina?
Ukisoma Ile mwanzo Abraham yupo pale Kaanan ndio akatokewa
Na El/YHW/Elohim/Jehovah
Anamwambia
Nanukuu
"Mimi ni Mungu wa Baba zako"

Hiyo kauli inathibitisha kumbe Mungu wa mababu zake wa Abraham wa kule Uru ya Ukaldayo Mesopotamia ya kale ambao kimsingi ndio hao ANNUNAKI/El/ANU/Murduc/Enki

Ndio wale wale wamemrudia na yeye kumpa agano Tena litakalodumu milele pia hiyo Hali ilijirudia Kwa mwanae Jackob nae wanadai alikutana na huyo Mungu Tena ana Kwa ana na wakashindana mieleka usiku kucha 😂
Sasa Ndugu zangu muunge dot wenyewe ilikuaje jamaa akutane na Mungu na apigane nae mbona kama hiyo character inatupa uhalali wa kithibitisha kumbe huyo Mungu ana character ya viumbe watu kabisa?
Nje ya box!
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom