Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's just a waste of time dealing with Tanzanian government, they normally rush to sign Mou and never fulfil there promise,hopefully everything will change when Ukawa wins GE.msemakweli Nyie naona hata nani awe rais wenu, bado hampo tayari kwa masuala ya biashara, mnapenda kuwa personal sana na kubeba visasi na majungu wakati ulimwengu wa sasa hauna muda na hayo. Hii ifahamike wanachofanya Waganda ni sahihi, put all options on the table, nothing personal, biashara haina undugu wala udada.
Ni jambo bora kwa wao kutathmini ni route ipi nzuri kwao, hivyo ni jukumu la Tanzania na Kenya kila mmoja kujinadi kama ndiye sahihi. Sisi hatubebi mambo kama haya kimajungu majungu kama nyie, hatuwezi lalamika kama jinsi mngefanya nyie, tunarudi kwenye drawing board na kuangalia jinsi gani ya kujaribu kuwashawishi Waganda upya. Na ikishindikana, basi kila mtu ana riziki yake kutoka kwa Mola.
Sikiliza ndugu, suluhu ya matatizo yao sio ccm pekee na hilo wanajua, hakuna chama kitakutatulia matatizo yako bali kufanya kazi pekee, serikali itajitahidi kukupa usalama na kumrahisishia mwananchi maisha ahueni.
Ccm itashinda this time, si kwamba watu ni wajinga, la hasha.
Mkuu, mabadiliko yanahitajika, Kenya tuliona mabadiliko pindi tulipobwaga KANU chini, usiwadanganye wenzako.
Wewe hujui hata shughuli za serikali, na hujui namna ambavyo serikali inaweza ikasababisha watu wakakosa maendeleo pamoja na kwamba wanafanya kazi....Sikiliza ndugu, suluhu ya matatizo yao sio ccm pekee na hilo wanajua, hakuna chama kitakutatulia matatizo yako bali kufanya kazi pekee, serikali itajitahidi kukupa usalama na kumrahisishia mwananchi maisha ahueni.
Ccm itashinda this time, si kwamba watu ni wajinga, la hasha.
Huku tena unataja serikali ya kikomunisti ya China....ukisema komunisti, kwani Tanzania ni Komunisti? Umesahau historia kilichotokea mwaka 1992....Haya mawazo ya Magufuli yanaingia kwenye akili za wale wasio na uelewa wa mambo....China is doing well with its one communist party, so will tz.
Halafu sasa hivi ukawa hawataweza kupata, jiandae kwa mfadhaiko.
Tatizo unaangalia mtu mmoja, mimi naangalia Timu nzima kwa sababu Rais hafanyi kazi mwenyewe anaunda Team....Wewe unaetaka kuongozwa na fisadi huwezi nieleza kitu mimi, hujui kitu.
Kwa iyo wewe unataka Lowasa awe raisi, u must be sick. Bora lesser devil. He's in the list of shame, Magufuli hayupo, period. Ccm watashinda october, hutaki hama nchi.
Wewe unaetaka kuongozwa na fisadi huwezi nieleza kitu mimi, hujui kitu.
Kwa iyo wewe unataka Lowasa awe raisi, u must be sick. Bora lesser devil. He's in the list of shame, Magufuli hayupo, period. Ccm watashinda october, hutaki hama nchi.
Wewe hujui hata shughuli za serikali, na hujui namna ambavyo serikali inaweza ikasababisha watu wakakosa maendeleo pamoja na kwamba wanafanya kazi....
Kuna haja ya Lowassa kuwekeza sana kwenye Elimu, maana unatia aibu kwa kutoelewa mambo ya msingi....
CCM inashabikiwa sana na wanaofaidika na mfumo wake, waliokosa kuona nuru, ambao hawajasafiri nchi za nje, lakini zaidi ni wale wasio na elimu au uelewa wa mambo...eti mtu anapenda CCM kwa sababu ya Diamond na Ali Kiba....ukimuuliza CCM imeahidi nini, hajui.....eti nchi itakosa amani CCM wakiondoka madarakani....huoni jinsi ambavyo CCM walihakikisha wananchi wanakuwa wajinga ili waendelee kuichagua....
Kwa jinsi ulivyoandika, umeunganisha maneno yote kama mtoto wa la saba...sijakuelewa kabisa unachozungumza, rudia kuandika vizuri...kumbuka kuweka nukta, koma, alama zingine na kutenganisha aya...haya ndio matatizo ya elimu ya shule za kata....Hapa swala si diamond wala Ali kiba ni swala ambalo watanzania wamelielewa kwa Ccm na kuhusu elimu ukisoma bila kufanya kazi ndo kuna leta maendeleo Ccm wamezungumzia elimu viwanda na namna watakavyo weza kuyatekeleza hayo na hayo mambo ya ukilitimba kutaka MTU aambatane nawe eti tuu kw sbb wew unahis umetimia kifikra si sawa swala la amani ni la kuliombea hata kama ccm IPO madarakani na si swala la kuzungumzia et ikitoka Ccm na amani inatoweka ilo labda na kulingana na mienendo yenu
Kwa jinsi ulivyoandika, umeunganisha maneno yote kama mtoto wa la saba...sijakuelewa kabisa unachozungumza, rudia kuandika vizuri...kumbuka kuweka nukta, koma na kutenganisha aya...haya ndio matatizo ya elimu ya shule za kata....
Ndio maana nakwambia hujui kitu, Magufuli hakumnadi chenge, wala hata hakumpa ilani ya chama kama anavofanyia wabunge wengine. Tafuta threads kuhusu ziara ya magufuli kwa chenge urudi kuedit hii kitu umeandika hapa.
Wewe timu ya ccm ndio unaitilia shaka vipi timu ya friends of lowasa na mafisadi rostam, hao ndio unataka watutawale? Pole mzee jiandae na maumivu october.
Wewe gamba nimeshakwambia kuna jukwaa la siasa hapa JF, hamna kipya ulichokiongea hapa, nyani kasoro mkia wewe.Maskini ni hizo fikra zako jombaa, ndio maana Mkapa akawaita wapumbavu na malofa. Huwa mnanifurahisha sana wafa maji mnavotapatapa.
Mkafuge ng'ombe baada ya uchaguzi, msituletee balaa, hatumtaki fisadi.