Another big blow to CoW (Kenya): Uganda prefers route through Tanzania for her oil exports

Another big blow to CoW (Kenya): Uganda prefers route through Tanzania for her oil exports

Ndipo akili zenu bavicha zinapoishiaga, sasa tigo imetoka wapi hapa, mkishindwa hoja mnahamia matusi nani awakabidhi nchi, nyinyi bado ni wapumbavu na malofa.

Jukwaa jukwaa, mnaona sifa kujaza watu majukwaani, mnadhani mtashinda, toka lini wapumbavu na malofa wakapiga kura. Idiot.

Mkuu nina swali kama outsider, CCM imekuwa madarakani zaidi ya nusu karne, imetoa sera kila baada ya miaka mitano inapotaka kurudi madarakani, wanatimiza zingine lakini nyingi hazitimizwi, swali langu ni, unaridhika na CCM wanavyo endesha nchi? Tanzania iko kimaendeleo mahali inapofaa kuwa? Hauoni kuna haja ya kujaribu chama nyingine uone kama kutakuwa na mabadiliko nchini? Wasipoleta maendeleo basi mtawatimua tu baada ya miaka mitano.

Mwai Kibaki na serikali yake walituonyesha kuwa nchi inaweza badilika, mafisadi walikuwa kwenye chama lakiini mabadiliko kabambe yalionekana. KANU ilikuwa na mafisadi walionyonya kila kitu na hakuna maendeleo waliotuletea, sera yao ilikuwa kuhubiri amani na wananchi wanateseka bila kazi wala miundo msingi, hivi sasa binafsi nimeona mabadiliko tangu tulipoitoa KANU madarakani. Naomba pia nyinyi mjaribu chama mbadala muone kama nchi haitabadilika.
 
Mkuu nina swali kama outsider, CCM imekuwa madarakani zaidi ya nusu karne, imetoa sera kila baada ya miaka mitano inapotaka kurudi madarakani, wanatimiza zingine lakini nyingi hazitimizwi, swali langu ni, unaridhika na CCM wanavyo endesha nchi? Tanzania iko kimaendeleo mahali inapofaa kuwa? Hauoni kuna haja ya kujaribu chama nyingine uone kama kutakuwa na mabadiliko nchini? Wasipoleta maendeleo basi mtawatimua tu baada ya miaka mitano.

Mwai Kibaki na serikali yake walituonyesha kuwa nchi inaweza badilika, mafisadi walikuwa kwenye chama lakiini mabadiliko kabambe yalionekana. KANU ilikuwa na mafisadi walionyonya kila kitu na hakuna maendeleo waliotuletea, sera yao ilikuwa kuhubiri amani na wananchi wanateseka bila kazi wala miundo msingi, hivi sasa binafsi nimeona mabadiliko tangu tulipoitoa KANU madarakani. Naomba pia nyinyi mjaribu chama mbadala muone kama nchi haitabadilika.
Asante!
Nawashangaa sana ndugu zangu kama huyo hapo. Cha ajabu no kuwa wapo wengi tuwenye mawazo mgando kama yeye.
Kwa kweli hapa tulipofika we need divine intervention. We can't afford to lose another 5yrs to CCM!
 
Asante!
Nawashangaa sana ndugu zangu kama huyo hapo. Cha ajabu no kuwa wapo wengi tuwenye mawazo mgando kama yeye.
Kwa kweli hapa tulipofika we need divine intervention. We can't afford to lose another 5yrs to CCM!

Muhimu ni kuamka asubuhi na kupiga kura, hapa kwenye majukwaa watu huwa wanaongea tu lakini siku ya kura wala hawatoki kuchagua viongozi, hakikisha watu wako wanapiga kura hapo ndipo mtashinda.

Alfau mkuu kwenye mada zingine kule unatupiga makumbo wakenya ati hatujali kuhusu Tanzania na siasa zake, sisi ni majirani na chuki za hapa mtandaoni tunaziwacha huku, hatuna chuki ni competition tu.
 
msemakweli Nyie naona hata nani awe rais wenu, bado hampo tayari kwa masuala ya biashara, mnapenda kuwa personal sana na kubeba visasi na majungu wakati ulimwengu wa sasa hauna muda na hayo. Hii ifahamike wanachofanya Waganda ni sahihi, put all options on the table, nothing personal, biashara haina undugu wala udada.Ni jambo bora kwa wao kutathmini ni route ipi nzuri kwao, hivyo ni jukumu la Tanzania na Kenya kila mmoja kujinadi kama ndiye sahihi. Sisi hatubebi mambo kama haya kimajungu majungu kama nyie, hatuwezi lalamika kama jinsi mngefanya nyie, tunarudi kwenye drawing board na kuangalia jinsi gani ya kujaribu kuwashawishi Waganda upya. Na ikishindikana, basi kila mtu ana riziki yake kutoka kwa Mola.
hahaha MK254 nimefurahi kuona nawe unajua hilo hapo vizuri
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nina swali kama outsider, CCM imekuwa madarakani zaidi ya nusu karne, imetoa sera kila baada ya miaka mitano inapotaka kurudi madarakani, wanatimiza zingine lakini nyingi hazitimizwi, swali langu ni, unaridhika na CCM wanavyo endesha nchi? Tanzania iko kimaendeleo mahali inapofaa kuwa? Hauoni kuna haja ya kujaribu chama nyingine uone kama kutakuwa na mabadiliko nchini? Wasipoleta maendeleo basi mtawatimua tu baada ya miaka mitano.Mwai Kibaki na serikali yake walituonyesha kuwa nchi inaweza badilika, mafisadi walikuwa kwenye chama lakiini mabadiliko kabambe yalionekana. KANU ilikuwa na mafisadi walionyonya kila kitu na hakuna maendeleo waliotuletea, sera yao ilikuwa kuhubiri amani na wananchi wanateseka bila kazi wala miundo msingi, hivi sasa binafsi nimeona mabadiliko tangu tulipoitoa KANU madarakani. Naomba pia nyinyi mjaribu chama mbadala muone kama nchi haitabadilika.
Wewe ccm itimize au isitimize mjadala huu vinahusika vipi!!! KANU KANU KANU wa TZ inatuhusu nini
 
Muhimu ni kuamka asubuhi na kupiga kura, hapa kwenye majukwaa watu huwa wanaongea tu lakini siku ya kura wala hawatoki kuchagua viongozi, hakikisha watu wako wanapiga kura hapo ndipo mtashinda.Alfau mkuu kwenye mada zingine kule unatupiga makumbo wakenya ati hatujali kuhusu Tanzania na siasa zake, sisi ni majirani na chuki za hapa mtandaoni tunaziwacha huku, hatuna chuki ni competition tu.
Nakubariana na wewe kwenye suala la ujirani lakini nyie na sisi si ndugu kamwe, kuna udugu na ujirani ujirani upo udugu no tena nyie wahovyo kwa watz kungelikuwa na uwezo wa kumhamisha jirani nyie tungewahamishia katikati ya bahari ya pasifik
 
Nakubariana na wewe kwenye suala la ujirani lakini nyie na sisi si ndugu kamwe, kuna udugu na ujirani ujirani upo udugu no tena nyie wahovyo kwa watz kungelikuwa na uwezo wa kumhamisha jirani nyie tungewahamishia katikati ya bahari ya pasifik

Siombi ukoo mimi, ukubaliane na mimi ukatae, hiyo hainuhusu, am voicing an opinion as a member of JF. Pia wewe nimekuweka ignore list, this is my last comment ever on any of your post, sipendi kubishana na watu ambao nina shaka kama walienda skuli.
 
Mkuu nimekusoma vizuri, kwa kweli siridhiki kabisa, ndugu me nataka changes sana, 2010 nilikuwa upinzani, ila mwaka huu upinzani bongo umevamiwa, sio wale wa 2010, jambo bora wamefanya ni kuweka umoja hata kabla lowasa hajaja, wamebugi kuvunja demokrasia na kumweka mtu alietoswa na ccm kwa ufisadi.
Amini usiamini huyu bwana lowasa angebaki ccm ndio ingekuwa attacking point yao of weakness because jamaa ni fisadi na evidence zipo nje sema ni mkakati ambao hauwezi pelekwa mahakamani, u know those kinda deals. Unachoona sasa hivi upinzani ni sababu money makes the world go round, ze guy and his co are filthy rich people na ni wapiga deals, sasa kwa mimi kwa kweli kuliko kufanya experiment ati sababu kenya walifanya hivo it is very risks, ccm wamejitajidi, watu wanajua tizama na kujudge mabaya tu, kuna mengi wamefanya mazuri na magufuli tunamjua ni mchapakazi.
Sasa hivi upinzani umefanya mistake navoona, therefore bora executive wakae wale wale, bungeni ndio tujaze upinzani.
 
Siombi ukoo mimi, ukubaliane na mimi ukatae, hiyo hainuhusu, am voicing an opinion as a member of JF. Pia wewe nimekuweka ignore list, this is my last comment ever on any of your post, sipendi kubishana na watu ambao nina shaka kama walienda skuli.
Huna lolote ujualo ukifanya hivyo inapendeza sana
 
mkuu nimekusoma vizuri, kwa kweli siridhiki kabisa, ndugu me nataka changes sana, 2010 nilikuwa upinzani, ila mwaka huu upinzani bongo umevamiwa, sio wale wa 2010, jambo bora wamefanya ni kuweka umoja hata kabla lowasa hajaja, wamebugi kuvunja demokrasia na kumweka mtu alietoswa na ccm kwa ufisadi. Amini usiamini huyu bwana lowasa angebaki ccm ndio ingekuwa attacking point yao of weakness because jamaa ni fisadi na evidence zipo nje sema ni mkakati ambao hauwezi pelekwa mahakamani, u know those kinda deals. Unachoona sasa hivi upinzani ni sababu money makes the world go round, ze guy and his co are filthy rich people na ni wapiga deals, sasa kwa mimi kwa kweli kuliko kufanya experiment ati sababu kenya walifanya hivo it is very risks,ccm wamejitajidi,watu wanajua tizama na kujudge mabaya tu,kuna mengi wamefanya mazuri na magufuli tunamjua ni mchapakazi.sasa hivi upinzani umefanya mistake navoona,therefore bora executive wakae wale wale,bungeni ndio tujaze upinzani.
cc😡chakaza
 
Markets | Tue Sep 15, 2015 6:45am EDTRelated: STOCKS, MARKETS
[h=1]France's Total considers Tanzania pipeline route for Ugandan oil[/h]KAMPALA, SEPT 15 | BY ELIAS BIRYABAREMA
France's Total, an investor in Ugandan oilfields, said it is considering a pipeline through Tanzania as a possible way to export Ugandan oil, challenging Uganda's proposal of a Kenyan route which has raised some security concerns.

Kenya and Uganda last month announced a decision to link Uganda to Kenyan oil finds and then to Kenya's north Lamu coast, a move that had been seen as helping oil firms make their investment decisions.
Experts say that linking Kenyan and Ugandan fields could prove cheaper as all developers would share one pipeline. But the northern Kenyan route has also raised security concerns as it lies near Somalia, from where Islamist militants have launched attacks on Kenya.
One alternative idea has been for a pipeline further south in Kenya that would end in the port of Mombasa, while another route would run from Uganda to neighbouring Tanzania.
"We're exploring all technically and economically viable options and Tanzania is among those options," Total Uganda spokeswoman Ahlem Friga-Noy said.
She said the Tanzania route extended from Uganda's western town of Hoima to Tanga on Tanzania's coast. She did not give any further details about why the company was considering the route.
China's CNOOC is also investing in Uganda, while Britain's Tullow Oil has a stake there and is also developing Kenyan fields with partner Africa Oil. (Writing by Edmund Blair; editing by Jussi Rosendahl)

France's Total considers Tanzania pipeline route for Ugandan oil | Reuters
 
Alot on our plate? You can't be serious! All we have on our plate is just bread crumbs!
When it comes to projects that have huge economic significance, there is no such thing as a full plate. If there is no room, we should make some.
This recent move by oil companies in Uganda should provide more impetus for the development of Tanzania's northern transport corridor that terminates at Tanga port.The billions that were to be channeled into building the (useless) Bagamoyo port should be routed towards building Tanga's Mwambani port and the port of Mtwara, to serve SAGCOT and the upcoming petrochemical industry.
Dar es salaam could keep serving the Central Corridor.
Why they never consult me in this things i will never understand! LOL!

.."a lot on our plate" kwasababu ya matatizo tuliyonayo kila mahali.

..halafu pia naangalia hawa viongozi tulionao. kwa kweli there are very incompetent, and unproductive.

..kwa kifupi nimeangalia challenges zilizopo, halafu nikapima watu tuliowaamini kutuongoza kupambana nazo. kwa kweli sina matumaini nao hata kidogo.

..sasa hivi Tz inahitaji RELI ZA NDANI mpya zifuatazo: Dar to Mwanza; Tabora to Kigoma; Arusha to Musoma; Southern Corridor railway toka machimbo ya makaa na chuma kwenda bandari ya Mtwara. halafu ongeza na vipande vya reli vitakavyotuunganisha na Burundi na Rwanda.

..hiyo ni miradi ambayo umewashinda viongozi wetu kuianza, sasa tayari wamerukia bomba la mafuta kwenda Uganda.

..sisi wa-Tz tumezoea kudanganywa-danganywa. yaani viongozi wetu wameshatusoma kwamba tunaridhika na ahadi tamutamu. hii inaanzia kwa wabunge mpaka wananchi wa kawaida. yaani wananchi au wabunge wakipiga kelele tu, serikali inakuja na taarifa kwamba kuna mradi mkubwa utaanza wakati wowote.

NB:

..JK, Bilal, Pinda, wote wamekwenda China kutafuta fedha za ujenzi wa reli na bandari. They have been there more than one time. Mikataba ilisainiwa lakini hatuoni chochote kikifanyika on the ground.

..Uhuru Kenyatta amekwenda China mara moja tu, na tayari ujenzi wa reli ya sg umeanza toka Mombasa na sasa wanakaribia kufika Nairobi.

cc Ab-Titchaz, Kimweri, msemakweli, MK254
 
Uganda official says could pick Tanzania over Kenya for oil pipeline

KAMPALA, SEPT 16
Uganda's government is still considering a pipeline through Tanzania to export oil if it proved cheaper than alternatives, an official said on Wednesday, even though the Ugandan president indicated last month that a route through Kenya had been picked.


Ugandan President Yoweri Museveni and Kenya's Uhuru Kenyatta made a joint call in August to implement a pipeline project via north Kenya "without further delay", a decision seen as helping investors to decide on oilfield development in both states.


But France's Total, an investor in Uganda, raised new uncertainty about that route on Tuesday, saying it was looking at a possible Tanzanian option.


Asked whether the government was still considering the Tanzanian route as an alternative to Kenya's Lamu region, senior Ugandan energy ministry official Robert Kasande told Reuters:


"We've talked about the northern Lamu route. However, in order to ensure that we have least cost ... we're also looking at the one that terminates at Tanga in Tanzania."


"We will take the one which is cheaper and if it is the one to Tanga, we will take the one to Tanga," said Kasande, director of downstream at the ministry, speaking on the sidelines of an oil and gas conference in Kampala.


The joint presidential statement on the Lamu route in August had said Kenya would need to guarantee security, financing and cheaper fees than other routes, but it had indicated that both leaders were now committed to that option.


The Kenyan route has raised some industry concerns because it would run in a region near the border with Somalia, from where Islamist militants have launched attacks on Kenya before.


Uganda's presidential spokesman and Kenyan energy officials were not immediately available for comment.


China's CNOOC is also investing in Uganda, while Britain's Tullow Oil has a stake there and is developing Kenyan fields with partner Africa Oil.


(Writing by Edmund Blair; Editing by Dale Hudson)

nomasana,
MK254, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, bagamoyo,Ngongo, AbTitchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee Mwanakijiji,Mwananchi
 
So, when they say 'security concerns', to u they are only intimating at terror concerns in Kenya? Not vandalism to the pipeline by pipo seeking to siphon its content?

Why would any right thinking oil investor consider having such an expensive infrastructure run through that largely desolate country that is Tanzania where the risk of pipe perforation might be higher and harder and costlier to keep in check?
angalia kwenye red mzee. the point here is that, the route from uganda to Tanga is shorter than the route from uganda to Lamu. if you did not know this before, you need to have it in your mind, plus security concern....there is where the discussion is centered on. even if Tanzania is so large, larger than your country kenya, the route from tanga to uganda is pretty shorter than the one from Lamu to uganda.
 
angalia kwenye red mzee. the point here is that, the route from uganda to Tanga is shorter than the route from uganda to Lamu. if you did not know this before, you need to have it in your mind, plus security concern....there is where the discussion is centered on. even if Tanzania is so large, larger than your country kenya, the route from tanga to uganda is pretty shorter than the one from Lamu to uganda.

I havent refuted any of that. Infact, I stated somewhere here that the issue with the distance is the only logical reason for Uganda opting for the Tanga route but not Lamu. Indeed even I would have recommended that option for Uganda to cut cost and time.

But it is some Tanzanian Kenyaphobic elements here that tried to suggest that the Uganda's decision is owing to the fear of the Alshbb terrorists and some malignant elements inherent in the Kenyan society, as if these are problems only exclusive to Kenya. Terrorists and vandals are everywhere in East Africa....i think.
 
I havent refuted any of that. Infact, I stated somewhere here that the issue with the distance is the only logical reason for Uganda opting for the Tanga route but not Lamu. Indeed even I would have recommended that option for Uganda to cut cost and time.

But it is some Tanzanian Kenyaphobic elements here that tried to suggest that the Uganda's decision is owing to the fear of the Alshbb terrorists and some malignant elements inherent in the Kenyan society, as if these are problems only exclusive to Kenya. Terrorists and vandals are everywhere in East Africa....i think.
Umesoma hii paragraph:
The EastAfrican has learnt that besides security concerns, the companies are also uncomfortable with the cost of the Lamu route, arguing that the southern route through Tanzania would be cheaper and offer better commercial terms to the users.
Na hii nyingine from this article brought here by Geza Ulole:
The Kenyan route has raised some industry concerns because it would run in a region near the border with Somalia, from where Islamist militants have launched attacks on Kenya before.
Sasa kama hizo si security concerns ni nini?
 
THE DISTANCE: it's realy the only plausible reason for Uganda to go Tanga route. The fear of the alshbb terrorists is misplaced. Theirs is a menace that'll peter out soon, with the concerted efforts from the regional security operatives.
Their activities within Kenya are well contained.
msemakweli, do not for once cogitate that Tz isnt susceptible to the threats of terror. That would be guiling yourselves.
This isnt a trouble just for the other countries.
Were it not for the many setbacks the alshbb has suffered in the recent times,wouldnt they by now have broadened their span of heinous activities to include even Tanzania? Who knows! Arent there Tanzanians already indoctrinated into their ideology of violence? Who knows what would set them off to start their thuggery well within Tz itself.

Even within Ug itself, there are islamic terrorists, and elemens opposed to Mr. Museveni's rule, who would resort to any means to undermine his regime. They would even cripple such vital infrastructure.
 
Last edited by a moderator:
Alot on our plate? You can't be serious! All we have on our plate is just bread crumbs!
When it comes to projects that have huge economic significance, there is no such thing as a full plate. If there is no room, we should make some.
This recent move by oil companies in Uganda should provide more impetus for the development of Tanzania's northern transport corridor that terminates at Tanga port.The billions that were to be channeled into building the (useless) Bagamoyo port should be routed towards building Tanga's Mwambani port and the port of Mtwara, to serve SAGCOT and the upcoming petrochemical industry.
Dar es salaam could keep serving the Central Corridor.
Why they never consult me in this things i will never understand! LOL!


You can't execute a project without setting aside 10%'s for the leaders to give you a greenlight.
And all big projects have the elements of corruptions including the bagamoyo port.
 
Uganda official says could pick Tanzania over Kenya for oil pipeline

KAMPALA, SEPT 16
Uganda's government is still considering a pipeline through Tanzania to export oil if it proved cheaper than alternatives, an official said on Wednesday, even though the Ugandan president indicated last month that a route through Kenya had been picked.


Ugandan President Yoweri Museveni and Kenya's Uhuru Kenyatta made a joint call in August to implement a pipeline project via north Kenya "without further delay", a decision seen as helping investors to decide on oilfield development in both states.


But France's Total, an investor in Uganda, raised new uncertainty about that route on Tuesday, saying it was looking at a possible Tanzanian option.


Asked whether the government was still considering the Tanzanian route as an alternative to Kenya's Lamu region, senior Ugandan energy ministry official Robert Kasande told Reuters:


"We've talked about the northern Lamu route. However, in order to ensure that we have least cost ... we're also looking at the one that terminates at Tanga in Tanzania."


"We will take the one which is cheaper and if it is the one to Tanga, we will take the one to Tanga," said Kasande, director of downstream at the ministry, speaking on the sidelines of an oil and gas conference in Kampala.


The joint presidential statement on the Lamu route in August had said Kenya would need to guarantee security, financing and cheaper fees than other routes, but it had indicated that both leaders were now committed to that option.


The Kenyan route has raised some industry concerns because it would run in a region near the border with Somalia, from where Islamist militants have launched attacks on Kenya before.


Uganda's presidential spokesman and Kenyan energy officials were not immediately available for comment.


China's CNOOC is also investing in Uganda, while Britain's Tullow Oil has a stake there and is developing Kenyan fields with partner Africa Oil.


(Writing by Edmund Blair; Editing by Dale Hudson)

nomasana,
MK254, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, bagamoyo,Ngongo, AbTitchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee Mwanakijiji,Mwananchi


This is business. No friendship over money and profit.
 
So the oil companies are saying that,it will be cheaper to build to oil pipelines in East africa as compared to one?
 
Back
Top Bottom