Mkuu naomba unitumie changu kwa JF pesa, mimi ni mpenzi wa mbege kwa mama naniliuu hapa nitaenda kuvuta Chipuku moja tu nakuwa chakari kabisaPopote ulipo agiza kinywaji ukipendacho nitalipa mimi
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
hujaiona mkuuID yako ya zamani ni ipi?
aiseeKaribu shoga angu wasikuonee wivu maana wao hawawezi hata rusha vidole humu
Tatizo hujajua?? bora iwe KE-KE ila sio ME-KE KAMA HIVIKwani ikiwa id mpya kuna tatizo gani
Mi nilijuaga keTatizo hujajua?? bora iwe KE-KE ila sio ME-KE KAMA HIVI
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
uliona mbali sanaWewe ni mwenyeji jaman
😀😀😀😱😱😱😱😱[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
shikamoo PAPRIKAKama sio dume basi una lako jambo!!! [emoji53][emoji53][emoji53]
Uingiaji huo sio wa mgeni ujue mgeni hajui ata jukwaa la makaribisho liko wapiuliona mbali sana
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
TeamMond ktk ubora wakoKuna watu watano jf wana jumla ya ID zisizopungua 37.
Yaani ni sawa na mtu anaview Seduce me mara 100 alafu views zinaonekana nyingi
''Aut Vincere Aut Mori''
Nipo hapa kabisaSaint ivuga na joseverest piteni huku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jilipue kwa Dumewakuu mimi nataka nijilipue kwa huyu mrembo!! kwani nini bhaana
aiseeKaribu sana Mkuu.
Kweli, you are the boss Lady.
Umepata mapokeo ya Kishindo. Thread yako imechangiwa zaidi, hiyo inatofautisha na wengine makapuku.
Kila la kheri katika Harakati zako JF. Wasalimie wanafunzi.