Another BossLady in the House, Hodiii

Another BossLady in the House, Hodiii

Karibu ukumbini

Napenda kujua kwanini umerusha picha zako!? Ila umenitamanisha nirushe zangu pia maana wanione tu kwa jinsi nilivyo mpole sana humu.



hahahaha rushaaaaaaa! wenye sura zao na shape zao! mtu km mie na umichelini huu naanzaje kwanza ! teh teh kwanza internet itakata masaa 8! ikirufi inakuwa down siku 3!hatari sana
 
Wanaume wa humu kweli viwembe yaani hata kabla Hamjamsoma vizuri mnajikanyaga kanyaga??
 
Halafu huku ukaja kukana kuwa huijui PM.


Nahitimisha kwa kusema kuwa wewe sio mgeni hapa JF, nimefuatilia post zote kuanzia page ya 1 hadi ya 6

Halafu huku ukaja kukana kuwa huijui PM.


Nahitimisha kwa kusema kuwa wewe sio mgeni hapa JF, nimefuatilia post zote kuanzia page ya 1 hadi ya 6 inathibitisha hiyo.

Usituhadae na ID mpya, dhamira hako ya kuwa na hii ID mpya utaitimiza.
Hivi mdogo wangu umeanza lini ukachero.
 
Back
Top Bottom