Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo sisi vivurugeKuna maneno tukimwambia na nyie mkiwepo yanaweza kuharibu hali ya hewa, huyu mgeni anatakiwa kukaribishwa vizuri.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]niliwamiss pia sana tu kwakweli ile thread haikumuacha mwanamke anaejielewa salama lol
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Reina kapotea kweli, sijui ndio anatafuta visosa!!!!
Reina kapotea kweli, sijui ndio anatafuta visosa!!!!
Hahaa nilimsahauje mwali mwangu Princess reina[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mie simo mjue...lol!
Wapi kungwi wake labda ndie anaejua alipo
Heaven Sent
Reina kapotea kweli, sijui ndio anatafuta visosa!!!!
Danga
Hahahahahaa Shemeji naona unataka nikuite Yale majina ya puani teh teh tehHaya bwana nitasogea kuanzia leo usiku usiniite Daby niite dullah.
Ndani ya Nyumba![emoji3][emoji3] karibu , umerudi
Hahahaaaa!! Na mioyo ishapondeka.siku kungwi sasa atufundishe na ya visosa sasa mengn tushakwivaaaa
Haha hayo majina ya pua ni raha yake yanaendana na madikodiko ya kesho bwana. Haya yetu sijui Elly nani sijui Emmanuel acha niyapuuze kwa hizi siku mbiliHahahahahaa Shemeji naona unataka nikuite Yale majina ya puani teh teh teh
Hahah wewe kiumbe wewe. Eti ndani ya Nyumba.Ndani ya Nyumba!
Hahahaaaa!! Na mioyo ishapondeka.
Shem ntaku PMHaha hayo majina ya pua ni raha yake yanaendana na madikodiko ya kesho bwana. Haya yetu sijui Elly nani sijui Emmanuel acha niyapuuze kwa hizi siku mbili
Haaa haaa haaaaa haaaaaaaaaa[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mie simo mjue...lol!
Wapi kungwi wake labda ndie anaejua alipo
Heaven Sent