Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,001
- 933
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaUnaweza kuta jf ina member wasio zidi 40.
kiutani utani umemkaribisha ME sio KEHeeee hii thread why nimechelewa kuiona jamani? Karibu the Bosslady
Sie ndo wenyeji humu.
Alikuwa sahihi 100%Hivi mdogo wangu umeanza lini ukachero.
Popote ulipo agiza kinywaji ukipendacho nitalipa mimiHapa ulionesha kuwa unaijua PM
Halafu huku ukaja kukana kuwa huijui PM.
Nahitimisha kwa kusema kuwa wewe sio mgeni hapa JF, nimefuatilia post zote kuanzia page ya 1 hadi ya 6 inathibitisha hiyo.
Usituhadae na ID mpya, dhamira yako ya kuwa na hii ID mpya utaitimiza.
Unasema......taja mkuukuna sehemu umezitoa hizo picha...mwenye picha original ninamfaham na sio mbongo.
Hujaiona bado?Naomba unisaidie ID yako ya zamani.
Mara Paap!!! TapeliKaribu sana bibie..
Kiukweli u mrembo sana Hadi mm nimekupenda..
Vzr ungeweka na namba ya simu
Sawa HB
Kuna watu watano jf wana jumla ya ID zisizopungua 37.
Yaani ni sawa na mtu anaview Seduce me mara 100 alafu views zinaonekana nyingi
''Aut Vincere Aut Mori''
Mkuu hiyo post ya emmyta uliyoi quote ipo namba ngapi?Alikuwa sahihi 100%
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
shosti wapi??Walimu mkuje kumsalimia mwenzenu humu sasa...
Karibu mwalimu, karibu boss, karibu shost.....