Another BossLady in the House, Hodiii

Another BossLady in the House, Hodiii

Hapa ulionesha kuwa unaijua PM


Halafu huku ukaja kukana kuwa huijui PM.


Nahitimisha kwa kusema kuwa wewe sio mgeni hapa JF, nimefuatilia post zote kuanzia page ya 1 hadi ya 6 inathibitisha hiyo.

Usituhadae na ID mpya, dhamira yako ya kuwa na hii ID mpya utaitimiza.
Popote ulipo agiza kinywaji ukipendacho nitalipa mimi

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
 
Bosslady pole kwa siku ya kwanza tu umeshindwa kuficha fake ID.
Mtego mdogo sana umeingia king mwenyewe.

Kuwa na systematic na strategy ili kufanikisha kufake au kutekeleza jambo.


Asprin

Daby
Eti umesema.....

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
 
Kuna watu watano jf wana jumla ya ID zisizopungua 37.

Yaani ni sawa na mtu anaview Seduce me mara 100 alafu views zinaonekana nyingi

''Aut Vincere Aut Mori''
 
Karibu sana bibie..
Kiukweli u mrembo sana Hadi mm nimekupenda..
Vzr ungeweka na namba ya simu
Sawa HB
Mara Paap!!! Tapeli

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
 
Back
Top Bottom