Nimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja...
Well said mkuuClass haibadiriki ila perfomance inakuja nakupotea
Naungana na wewe kabisa, huyu Aziz Ki simuelewi kabisa. Hata mechi ya kule mali alivyoingia akaharibu kabisa uchezaji wa timu. Kama unavyosema kupoteza mipira hovyo, pasi mkaa. Anyway tuendelee kumpa muda.Nimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja...
ukiwa nje ya uwanja siku zote unakuwa mchezaji bora kabisa. Sasa na wewe hebu nenda ukajaribu tuone hiyo performance yako uwanjani.Nimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja. Kwa kifupiAziz amebaki kuwa mchezaji wa "moment" yaani kupiga mijishuti tu basi zaidi ya hapo hana maajabu tena. Namba 10 gani unapoteza takriban kila mpira?
Unafikiri Chama yule?Nimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja...
Ndio mana kocha anatakiwa awe nje ya uwanja ndo ataona makosa Kwa uzuri , na hata baada ya mechi huwa wanaenda kuangalia video Kwa mchezaji mmoja mmoja ili kurekebisha na kuona Kwa uzuri zaidi makosa yalipo Kwa kila mchezaji ... Mtu aliyeko nje ndo anaweza ona Kwa usahihi , watu husema sifa sahihi hutoka nje sio ndani ....ukiwa nje ya uwanja siku zote unakuwa mchezaji bora kabisa. Sasa na wewe hebu nenda ukajaribu tuone hiyo performance yako uwanjani.
Gomez hakupaswa kuwa singida United. The guy is good on the pitchNimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja...
Yaani Match Analyst Jana anasema Aziz ki alikuwa kama abiria uwanjani,ha ha haNaungana na wewe kabisa, huyu Aziz Ki simuelewi kabisa. Hata mechi ya kule mali alivyoingia akaharibu kabisa uchezaji wa timu. Kama unavyosema kupoteza mipira hovyo, pasi mkaa. Anyway tuendelee kumpa muda.
Hawakumtukana ila watamtukana mtoa mada, Azizi kwanza hana pumzi huhema sana.Nijuacho ni mchezaji mzuri lakini mwenye majivuno na mbwembwe.Yaani Match Analyst Jana anasema Aziz ki alikuwa kama abiria uwanjani,ha ha ha
Ni nonsense kweliOngea wewe sense tuone sasa.