Another disappointment performance from Aziz Ki

Another disappointment performance from Aziz Ki

Ulipo muweka tu feisal kama kipimo cha kiwango nkaona amna kitu apa
 
Naungana na wewe kabisa, huyu Aziz Ki simuelewi kabisa. Hata mechi ya kule mali alivyoingia akaharibu kabisa uchezaji wa timu. Kama unavyosema kupoteza mipira hovyo, pasi mkaa. Anyway tuendelee kumpa muda.
Huko mali, Assist ya mayele ilitoka kwa nani kama sio Key mwenyew
 
Mtoa uzi acha kuishi kwa mihemko, hujui mpira kwa kifupi ww ni mpenzi mtazamaji.
 
Hizi ndio mada zako
Ulianza kupenda timu kabla ya mpira hili ndio tatizo

Unabidi ufike wakati ubadilike uondokane na fikra duni

Nabi kasema kile kile ambacho sisi tumekuwa tukikisema na wewe ukatuita hater na maneno mengi ya hovyo

Sasa nataka nikusikie ukimuita Nabi yale maneno uliyokuwa unatuita sisi
 
Aziz hajaenda kwao kutambika kwa muda mrefu subil apewe likizo ya wiki moja kwenda kwao alafu aludi utaona moto wake
 
Hata Nondo Bakary si mlisema nyie hamna kitu ss anawaziba midomo.
Mchezaji yeyote wa football lzm apitie ups and down
kwa hiyo kwa sasa ni downs za Aziz Ki, au sio?
 
Wengi watamtetea kwasababu ya ushindi walioupata jana,,but i bealive Yanga angepoteza jana, huu uzi ungejaa kila aina ya povu kumuhusu Aziz Ki.
 
kwa hiyo kwa sasa ni downs za Aziz Ki, au sio?

Kwenye nyumba za ibada inaitwa sadaka, msibani inaitwa rambirambi

Ni jina tu linabadilika ila kitu ni kile kile (pesa)

Kwa Kibu ni ubovu ila kwa Azizi Ki ni ups and down

Still the same thing
 
Nimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja.

Kwa kifupi Aziz amebaki kuwa mchezaji wa "moment" yaani kupiga mijishuti tu basi zaidi ya hapo hana maajabu tena. Namba 10 gani unapoteza takriban kila mpira?

Tulitegemea baada ya Fei kuondoka adhihirishe ubora wake lakini kashindwa. Nawashauri Yanga wafanye mpango kumchukua Gomez wa Singida BigStars kama replacement ya Fei ila sio huyu jamaa kupwa na kujaa. Im very disappointed with his performance. Anapoteza sana mpira, pasi mkaa nyingi na hasaidii wenzake kukaba anazurula tu.
We jamaa ni mshamba kweli, unafikiri kila siku itakuwa njema kazin, huna jipya nenda kalale tu.
 
Wengi watamtetea kwasababu ya ushindi walioupata jana,,but i bealive Yanga angepoteza jana, huu uzi ungejaa kila aina ya povu kumuhusu Aziz Ki.
Na sio kawaida kwa kocha kumsema negative mchezaji public kama vile

Mara nyingi mchezaji akifanya vibaya unaweza ukaona kocha anamsitiri mbele ya kamera halafu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo anamchana tena akimuwakia

Sasa ukiona Nabi hilo limemshinda kuvumilia ndio ujue kuwa situation aliyofikia sio bad bali ni worst
 
Jana Leonel Messi ametuangusha sana PSG na kapoteza mipira mingi, Azizi Ki kacheza chini ya kiwango na Mbappe mashuti ya mtoto
 
Back
Top Bottom