Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
KabisaqKibu dee na azizi key siku hizi hawana tofauti lao moja [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaqKibu dee na azizi key siku hizi hawana tofauti lao moja [emoji3]
Aziz Ki anawatia madole tu sasa hivi ili muendelee kuweweseka.Nimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja.
Kwa kifupi Aziz amebaki kuwa mchezaji wa "moment" yaani kupiga mijishuti tu basi zaidi ya hapo hana maajabu tena. Namba 10 gani unapoteza takriban kila mpira?
Tulitegemea baada ya Fei kuondoka adhihirishe ubora wake lakini kashindwa. Nawashauri Yanga wafanye mpango kumchukua Gomez wa Singida BigStars kama replacement ya Fei ila sio huyu jamaa kupwa na kujaa. Im very disappointed with his performance. Anapoteza sana mpira, pasi mkaa nyingi na hasaidii wenzake kukaba anazurula tu.
AahaaaaaNimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja.
Kwa kifupi Aziz amebaki kuwa mchezaji wa "moment" yaani kupiga mijishuti tu basi zaidi ya hapo hana maajabu tena. Namba 10 gani unapoteza takriban kila mpira?
Tulitegemea baada ya Fei kuondoka adhihirishe ubora wake lakini kashindwa. Nawashauri Yanga wafanye mpango kumchukua Gomez wa Singida BigStars kama replacement ya Fei ila sio huyu jamaa kupwa na kujaa. Im very disappointed with his performance. Anapoteza sana mpira, pasi mkaa nyingi na hasaidii wenzake kukaba anazurula tu.