princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Na sio uko tuPia ikumbukwe kuwa ni yey alitufusha huko Tunisia dhid ya waarabu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
jamaa kama ana kismet flani cha kutuvusha pagumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sio uko tuPia ikumbukwe kuwa ni yey alitufusha huko Tunisia dhid ya waarabu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata hivyo huwezi kumfanisha master key na huyo bobmarley.Kwenye nyumba za ibada inaitwa sadaka, msibani inaitwa rambirambi
Ni jina tu linabadilika ila kitu ni kile kile (pesa)
Kwa Kibu ni ubovu ila kwa Azizi Ki ni ups and down
Acha uongo wewe. unajua ni mara ngapi ten hag kamchana Ronaldo kwenye interview?Na sio kawaida kwa kocha kumsema negative mchezaji public kama vile
Mara nyingi mchezaji akifanya vibaya unaweza ukaona kocha anamsitiri mbele ya kamera halafu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo anamchana tena akimuwakia
Sasa ukiona Nabi hilo limemshinda kuvumilia ndio ujue kuwa situation aliyofikia sio bad bali ni worst
Ten hang huyo huyo alimfichia madhaifu FernandezAcha uongo wewe. unajua ni mara ngapi ten hag kamchana Ronaldo kwenye interview?
Yeah, Kibu hana mikimbioHata hivyo huwezi kumfanisha master key na huyo bobmarley.
Exactly.Na sio kawaida kwa kocha kumsema negative mchezaji public kama vile
Mara nyingi mchezaji akifanya vibaya unaweza ukaona kocha anamsitiri mbele ya kamera halafu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo anamchana tena akimuwakia
Sasa ukiona Nabi hilo limemshinda kuvumilia ndio ujue kuwa situation aliyofikia sio bad bali ni worst
Hapana,wale jamaa Bamako wanapress haswa,nilikua na hofu na Hilo tangu awali,yanga waliiga pressing ya wale jamaa kipindi Cha pili,ikasaidia,na Aziz anshindwa kucheza mpira wa chapuchapu na wenzako sababu hawapo huko,Mara kadhaa hulalama kwa nini hawafungui awape pasi au hawampi mpira harakaLabda misumari
Kibu hajapata mwalimu sahihi,anacheza kwa shinikizo,kibu alipaswa kufundishwa na nabi,ana kitu yule dogo hapo mi yanga,stars kule namtarajia yeye na mzizeYeah, Kibu hana mikimbio
Kiingereza Cha mchongoNimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja.
Kwa kifupi Aziz amebaki kuwa mchezaji wa "moment" yaani kupiga mijishuti tu basi zaidi ya hapo hana maajabu tena. Namba 10 gani unapoteza takriban kila mpira?
Tulitegemea baada ya Fei kuondoka adhihirishe ubora wake lakini kashindwa. Nawashauri Yanga wafanye mpango kumchukua Gomez wa Singida BigStars kama replacement ya Fei ila sio huyu jamaa kupwa na kujaa. Im very disappointed with his performance. Anapoteza sana mpira, pasi mkaa nyingi na hasaidii wenzake kukaba anazurula tu.
Atakuwa kapigwa misumariNimeshamuongelea mara kadhaa siku za nyuma na nisingependa kurudia saana! Kuna watu hawakunielewa kabisa nadhani jana Nabi kawaonyesha panapovuja.
Kwa kifupi Aziz amebaki kuwa mchezaji wa "moment" yaani kupiga mijishuti tu basi zaidi ya hapo hana maajabu tena. Namba 10 gani unapoteza takriban kila mpira?
Tulitegemea baada ya Fei kuondoka adhihirishe ubora wake lakini kashindwa. Nawashauri Yanga wafanye mpango kumchukua Gomez wa Singida BigStars kama replacement ya Fei ila sio huyu jamaa kupwa na kujaa. Im very disappointed with his performance. Anapoteza sana mpira, pasi mkaa nyingi na hasaidii wenzake kukaba anazurula tu.
Hiki ulichoandika hapa hakioneshi "sense yoyote"
Samahani nisaidie kuandika ulichokiandika kwa Kiingereza.Kiingereza Cha mchongo
Sawa, sasa kama wenye akili wawili tu, sisi wengine tuliobaki si ni mbumbumbu tu,. Manara katudharau sana.Ajabu wanaoumia ni Mbumbumbu
Broken EnglishSamahani nisaidie kuandika ulichokiandika kwa Kiingereza.
Sasa hiki mbona kama chake huyo jamaa uliyedai ana "kiingereza cha mchongo"!Broken English
Hivi nyie wachang'ombe wa sikuiz. Mikimbio ni nini??😁Yeah, Kibu hana mikimbio
Mikimbio ni Azizi KiHivi nyie wachang'ombe wa sikuiz. Mikimbio ni nini??😁
Kambole alikuwa anahudumu kwenye timu yenye kocha gani?Kibu hajapata mwalimu sahihi,anacheza kwa shinikizo,kibu alipaswa kufundishwa na nabi,ana kitu yule dogo hapo mi yanga,stars kule namtarajia yeye na mzize