Another disappointment performance from Aziz Ki

Another disappointment performance from Aziz Ki

Form is temporary but class is permanent

Azizi ki is high class player
 
Anawapa mnachotaka kusikia
Akisema Nabi inakuwa fresh na usemi wake mnautolea tafsiri nyingine "anawapa nachotaka kusikia"

Kwa maana hiyo bado mind set yako inapingana na Nabi kuwa Azizi Ki anacheza vizuri na kile alichokisema ni utani

Mahaba ya wapi haya?
 
Akisema Nabi inakuwa fresh na usemi wake mnautolea tafsiri nyingine "anawapa nachotaka kusikia"

Kwa maana hiyo bado mind set yako inapingana na Nabi kuwa Azizi Ki anacheza vizuri na kile alichokisema ni utani

Mahaba ya wapi haya?
Kasema game zote au ya Jana?
 
Mbona off point bro!?..ubongo wako una shida gani!?
Sio off point, Kibu amekosa mwalimu mzuri kama Nabi ili awe na performance nzuri

Ili hilo liwe kweli niambie Kambole alikuwa anacheza Yanga ambayo kocha alikuwa nani?
 
Ten hang huyo huyo alimfichia madhaifu Fernandez

Kocha anapoona situation imekuwa critical anakosa uvumilivu and that's what happened to Nabi
Wewe umesema hujawahi kuona kocha akimponda mchezaji wake ndio nimekupa mfano.
 
Sio off point, Kibu amekosa mwalimu mzuri kama Nabi ili awe na performance nzuri

Ili hilo liwe kweli niambie Kambole alikuwa anacheza Yanga ambayo kocha alikuwa nani?
Sentensi 'ana kitu yule dogo' hukuiona,au unajlhisi Haina maana!?
 
Sasa mbona mnamsema Kibu Deee??
Acheni ngenga
 
Back
Top Bottom