Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye kumudu kumlipa sikubaliani na wewe.. kwa maana Tilisho sio kampuni ya mabasi inayojitafutaNi kweli amekuwa maarufu mtandaoni kutokana na kazi yake Tilisho. Lakini kwa nguvu aliyonayo sasa mtandaoni Tilisho hawawezi mudu kumlipa huyo.
Mtaendelea kusikiaNa mm nimesikia hivyo...ila wabongo watatafuta kila kitu wakuchafue
Kama pisi yako Jane iliyo overdoseNi pisikali
Tofauti kivipi unataka kusema filter zinambebaKabisa yani, huko mitandaoni anaonekana mkubwa ila live hapana aisee kwa mwanaume timamu hawezi kwakweli. Mimi mwenyewe nimeshtuka nilivyoambiwa ni yeye maana ni tofauti na mitandaoni
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Huyu Jane ni pisi ipi tena Mkuu?Kama pisi yako Jane iliyo overdose
Nakaziaa.Mafanikio ya binadamu hasa mwanamke yana Usiri mkubwa sana.
Nimecheka mweneyewe hapa ofisini mpaka watu wananishangaaWatakuja kusema boss wa TILISHO anaogolea Hapo! Subir vijana jobless waje na hasira zao
Kumbe tupo office Moja, anhaaa nshajua ww ndo unatumia hii ID..... 🤣Nimecheka mweneyewe hapa ofisini mpaka watu wananishangaa
✍️✍️✍️ Sio kwel kwamba yeye ni Bora Zaid ya wengn Bali tuseme tu bahati yake imekubwa kubwa kuliko wengne......ukumbuke kuna watu wenye nguvu ya ushawishi kuliko yeye lkn connection ya kujuana ikazima ndoto ya aliyestahili hiyo nafasi.............mtoa post umekosea SanaUkiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me!
Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.
Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.
Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya
View attachment 2826006
Wewe chungu hukujui? Acha ufala kachimbie na wewe halafu uje utuoneshe mafanikio yako.Huyo ukienda kukagua ofisi yake lazima ukute kachimbia chungu
Mzee Jesse Pinkman alafu humjui JaneHuyu Jane ni pisi ipi tena Mkuu?
Poa mwana kumbe unamzungumzia yule demu wangu aliyenifanya nikaanza kutumia Meth. Nilishamsahau si unajua alikata moto.Mzee Jesse Pinkman alafu humjui Jane
Yaani wanadhani mpaka utoe rushwa ya ngono ndio unafanikiwa. Hao ni haters tu, roho mbaya zimewajaaWatu na negative minds zenu,,hamjawahi kukosekana
Yes, kupitia yeye hata naona wadada wengi makondkta nao wanajitokeza. Unajua kazi hii ilikuwa inadharaulika sana ndio maana wanawake wengi walikuwa wanaona aibu kujitangaza kuwa wao ni makondakta. Kuna yule kijana anajiita mhasibu wa daladala, sasa hivi anakula shavu za matangazo. Nimeona jana kapiga picha na kina Nacy akiwa kwenye gari ya tilisho.Naku uliza hivi 👇
Unathibitisha vipi kwamba wanawake wengine hawafanikiwi kwa vile hawawi strategic?
Kwamba kilicho mfanya huyo Nayce Moshi kufanikiwa, Ni yeye kuwa strategic person?
Wapo kila mahali, na wanavyomsema sasa utadhani kazi anayofanya hawaioniYaani wanadhani mpaka utoe rushwa ya ngono ndio unafanikiwa. Hao ni haters tu, roho mbaya zimewajaa