Mshana Jr
Baba lao la jf hata kama hawampendi ila ndo hivyo jamaa ana moyo wa kipekee sana ...tofauti na hawa waremba mwandiko kumbe mabedui yanageresha ili kupata mingo ya Dada zangu...
Ila uache uchawi ufike mbinguni
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mpeleke babu kwa ras nayeye bana 😅
Asprin babu hebu kaza msuli ujifunze KigalatiaNilishampeleka lakini tatizo lake anathamini k vant kuliko muda wa pindi....kiufupi sio muhudhuriaji mzuri
Nimecheka kama dakika moja nzima.Kumbe unajuaga kiswahili. Leo umenipunguzia tatizo la kusoma post yako bila kutumia dikshenare. chaliifrancisco akipita hapa atapata baraka sana
Ni kweli wewe ni "babu" ? Au ni jina tuu?Don Clericuzio naona umenigongea like. Umeona Paula Paul leo kaposti kwa lugha ya taifa?Kaniokoa leo nimefanya mfungo wa Kwaresma... K Vant itanisamehe
Huyo aliyeandika ni mimi Don. Zile nyingine ndio sio mimiNimeona Babu, najua atakuwa amekutupunguzia gharama za tuition kwa Ras Simba.
Ila ni Paula Paul kweli au kuna mtu kaiba password yake?
Siku nyingine ukinitukana nitag manake sikumbuki
Kama ulimtukana my dia mjukuu Joanah ujue ulinitukana na mimi... nadhani ushajua cha kufanya kabla sijagongesha kojoleo langu kwenye kichuguu
Bangi zako zinakusaidiaga sana wewe mrembo[emoji23]
Napenda sana aina ya usndishi wako[emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...yo nutsSiku nyingine ukinitukana nitag manake sikumbuki
Hahaha acha bana kumdanganya babu yangu ananifahamu asije siku kunipa kazi ya kuongea na wazungu nikaaibika bwana. 😅😅Nimecheka kama dakika moja nzima.
Naandikaga kiswahili tena kiswahili fasaha Asprin.
Sasa ukiona nimeandika kingereza huyo uliyem-mention chaliifrancisco ndio huwa anaandika mimi nampa tuu maneno kwa kiswahili.
Ni kweli wewe ni "babu" ? Au ni jina tuu?
Huyo aliyeandika ni mimi Don. Zile nyingine ndio sio mimi
Hahaha...yo nuts
bhangi bhana ni mbaya sana.Siku nyingine ukinitukana nitag manake sikumbuki
Umenikana mara 7. Kweli kabisa unabisha sio wewe unaandikaga?.Hahaha acha bana kumdanganya babu yangu ananifahamu asije siku kunipa kazi ya kuongea na wazungu nikaaibika bwana. [emoji28][emoji28]
Hata mimi anaweza kuwa babu yangu? Na mimi nataka.Asprin ni babu yetu wa humu. Hata sisi hatujui kama huko nje ni babu.
Ooh, okay. Maana babu kaniita kasema hela ya tuition ananywea pombe.
Dah nilikuwa sijacheka hii siku asante sana bossSiku nyingine ukinitukana nitag manake sikumbuki
Hata mimi anaweza kuwa babu yangu? Na mimi nataka.